Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa

Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa

Mallerina

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2023
Posts
1,236
Reaction score
2,060
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
 

Attachments

  • InShot_20250130_224322505.jpg
    InShot_20250130_224322505.jpg
    232.6 KB · Views: 4
  • InShot_20250130_224437384.jpg
    InShot_20250130_224437384.jpg
    258.5 KB · Views: 3
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Kawaida hiyo hata wanawake kila siku wanapeleka kilio kwa wanaume ila tulijifunza kufa tukitabasamu.
Atamsahau tu ila bila shaka anamfuatilia mtandaoni anachungulia kapost nini, anaendeleaje
 
Naangalia movie nzuri mbc max nikimaliza nitarudi kushauri ila kwa Sasa mkumbushe ale ni muhimu sana
Hapa inatakiwa anakula chakula kizuri like kuku choma ama samaki choma nzuri iliyopikwa kiustadi ama nyama ya kondoo iliyochomwa na kachumbari ya kutosha, just to change her emotions, Kama anapenda mziki awekewe ule mziki anaoupenda , akae na watu wapige stori ,pia ajaribu kucheki mkaka anayemvutia awe anapiga Naye stori ama atembezwe mahala anapopenda sana, ikiwezekana apelekwe masaje parlour
 
Hapa inatakiwa anakula chakula kizuri like kuku choma ama samaki choma nzuri iliyopikwa kiustadi ama nyama ya kondoo iliyochomwa na kachumbari ya kutosha, just to change her emotions, Kama anapenda mziki awekewe ule mziki anaoupenda , akae na watu wapige stori ,pia ajaribu kucheki mkaka anayemvutia awe anapiga Naye stori ama atembezwe mahala anapopenda sana, ikiwezekana apelekwe masaje parlour
Yah ushauri mzuri ila kutafuta mwanaume sishauri mwanamke anatakiwa kutafutwa sio kutafuta Cha msingi awe na "girls talk"nyingi ili kurejesha hisia zake zijae sawa
Nimeshauri ale vizuri sababu mwili ulioshiba ni dawa ya akili kuwaza vema na kufanya maamuzi
Sema wanelewa basi
 
Back
Top Bottom