Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa

Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa

Mwenzio azingue halafu aachwe, uje useme wanaume hatuna huruma hata chembe...!?

Hapo kwenye conversation yenu umezungumzia alivoukwepa usingle mother.. kumbe hata ninyi hamuupendi...

Avumilie tu atazoea.. heartbreking hainaga tiba. Ni kupiga tu moyo konde.
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Gamgbang round moja tu inamtosha
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye

Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Mnazinguaga sana nyinyi
 
Asikilize hizi nyimbo:
Better in Time by Leona Lewis🥰
Even Heaven Cries by Monrose😇
Stronger by Kelly Clarkson 💪
If You want Love by NF🤗
Happy by Pharrell Williams😃
Sepa by Appy😏
Enjoy by Jux🥳
Attention by Whozu 😄
Mubaba wangu by Rose Ree 🙌🏻
Poa by Maua Sama 👍
Shuu! by Aslay 👌
 
Mwambie aache kujiendekeza, mwezi mzima unalia kisa mtu huo ni upuuzi. Wazazi wake wamemlipia ada akasome sio kuendekeza mapenzi chuo. Ainuke hapo akasome na hasira zote ahamishie kwenye kitabu matunda atayaona baadae
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Awache uasherati na uzinzi.
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Kama anapenda mikuyati mwambie kwa hali ilipofikia sasa aachane na Gen Z atafute tu mwanaume mtu mzima amlee. Katika hili atakuja kunishukuru! Siku hizi kwa hii milegeza sarawili hakuna wanaume hapo!
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Mwambie hakuzaliwa naye na hatakufa naye.. Mapenzi ni fashion kupendwa na kuachwa hakujaanzia kwake
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye

Time heals, ajitahidi tu na kuacha upumbavu asije kufa kabla time aija Mheal; nimepita hapo kwenye maumivu similar na hayo; unaweza kufa ukiwa mpumbavu!
 
Yaan mtu aache kuhudhuria vipindi Chuo, kisa kuachwa na BF?
hicho ndo alicho endea huko Chuo? Dooooh

Msibaa huu, [emoji22][emoji22][emoji22]
Likely huyo alikuwa ameolewa kwa hizi ndoa bubu za wanachuo - akifua, kupika na kupelekewa moto kila siku. Amepigwa chini ghafla vu bin vu sasa cha moto anakiona.

Inavyoonekana bado yupo kwenye denial stage; na hajakubaliana na hali halisi kuwa keshaachwa. Akija kuondoka kwenye denial stage basi ndiyo safari halisi ya uponaji itaanza. Kwa sasa anahitaji watu wa kuwa karibu naye na kumtia moyo. Kama chuo kina washauri nasaha au wanasaikolojia ya mandeleo basi aende akaongee nao. Naamini atakuwa OK na akijipa muda atakuja kukiona kipindi hiki kuwa ni cha muhimu sana kwake maana kitakuwa ndicho hasa kimemfundisha mambo mengi ya muhimu kuhusu mahusiano na maisha kwa ujumla. Na pengine hatarudia tena kosa la kuolewa na hivi vivulana vyenzie vya chuoni 🚮

Screenshot_20250126_061526_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom