Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa

Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa

Kama anapenda mikuyati mwambie kwa hali ilipofikia sasa aachane na Gen Z atafute tu mwanaume mtu mzima amlee. Katika hili atakuja kunishukuru! Siku hizi kwa hii milegeza sarawili hakuna wanaume hapo!
Asante
 
Kwenye kuachana mwanamke hua inamchukua muda mrefu kuumia. Kama alikua anampenda sana jamaa. Muache aumie baadae atakaa sawa na maisha yataendelea.
 
Asikilize hizi nyimbo:
Better in Time by Leona Lewis🥰
Even Heaven Cries by Monrose😇
Stronger by Kelly Clarkson 💪
If You want Love by NF🤗
Happy by Pharrell Williams😃
Sepa by Appy😏
Enjoy by Jux🥳
Attention by Whozu 😄
Mubaba wangu by Rose Ree 🙌🏻
Poa by Maua Sama 👍
Shuu! by Aslay 👌
Asante
 
Hapo ni ishu ya subconscious mind brain servers tu alijaza 90% positive things zaidi kuhusu huyo boy mwambie atafute mabaya au madhaifu ya huyo boy ayajaze kwenye savers ya akili yke then ndani ya mwezi atakuwa amepona.
Sociology healing
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Acha ajinyonge tu huyo ili wajinga wapungue apa Bongo labda tunaweza kupata maendeleo kama taifa.
 
Hapo ni ishu ya subconscious mind brain servers tu alijaza 90% positive things zaidi kuhusu huyo boy mwambie atafute mabaya au madhaifu ya huyo boy ayajaze kwenye savers ya akili yke then ndani ya mwezi atakuwa amepona.
Sociology healing
I'll let her know
I appreciate
 
Nimejaribu kuvuta picha ya Boyfriend wa Chuo nikachoka 😅😅😅😅😅😅

mwambie aache chuo utanishukuru, huyo kaka ataoa na maisha yataendelea 😅
Waanakuwaga choka mbaya hana hata mia...umenikumbusha ile mbali enzi za Uni 2014 tunaenda cafteria kutafuta ubwabwa uliobaki mnauziwa jero sahani
 
Watoto wetu wa kike mungu awasaidie

Mwambie uyo shoga Ako aende shule wazaz wamelipa ada haoni uchungu wa pesa za wazaz wake anaonauchungu wa kuachwa na kivulana
Thanx God mie sio shabik wa mapenz sipend hekaheka
 
Watoto wetu wa kike mungu awasaidie

Mwambie uyo shoga Ako aende shule wazaz wamelipa ada haoni uchungu wa pesa za wazaz wake anaonauchungu wa kuachwa na kivulana
Thanx God mie sio shabik wa mapenz sipend hekaheka
Aya dada imemfikia📌
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Nipe namb yako wewe,nikushauri jinsi ya kumsaidiarafiki yako
 
Back
Top Bottom