THE JAGGERS
JF-Expert Member
- Apr 3, 2023
- 545
- 410
Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏
Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi
Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani
Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.
Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .
Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.
Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi
Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani
Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.
Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .
Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.
Naombeni msaada kwenu
Wasalam .