a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
APELEKWE HOSPITALI HOSPITALI KUBWA kuonana na daktari wa CTC klinic ya wagonjwa waathirika HIV/AIDS(VVU,UKIMWI) pia aonwe na dakatari bingwa wa magonjwa wa ndani PHYSICIAN.
UGONJWA WAKE unatibika HOSPITALI
WALA sio kwa waganga wa kienyeji wala sio kwa maombi.wala sio kwa mitishamba.
EPUKA MATAPELI usitibiwe kwenye simu,HOSPITALI ndio sehemu sahihi ya yeye kutibiwa.
UGONJWA WAKE unatibika HOSPITALI
WALA sio kwa waganga wa kienyeji wala sio kwa maombi.wala sio kwa mitishamba.
EPUKA MATAPELI usitibiwe kwenye simu,HOSPITALI ndio sehemu sahihi ya yeye kutibiwa.