Msaada: Mama yangu anasumbuliwa na tatizo la akili ambalo hospitali halionekani

Msaada: Mama yangu anasumbuliwa na tatizo la akili ambalo hospitali halionekani

Kuna Shida Japo Sidhani kama Hospitali walishidnwa Kuijua..

Kwanza Kabisa the Main Themes ya Ugonjwa wake ipo kwenye Hiyo SeroStatus yake "HIV +VE)..

Waathirika Wengi wenye maambukizi ya HIV walio na Wingi wa Virusi wanaweza Kupata Baadhi ya Magonjwa ambayo Huwa yana Mimic Baadhi ya Magonjwa ya Akili na Yanaweza Kugusa Ubongo moja kwa moja au Kugusa Baadhi ya cells za Ubongo..

Kuna Magonjwa ambayo Tunayaita Neural Psychosis kwa Mtu mwenyr HIV huwa anaweza kupata HIV induced Psychosis(japo ina chances chache za Kupata ila anaweza kupata pia)..

Kuna Magonjwa kama Cryptococco Meningitis, Toxoplasmosis,HIV encephalitis au Progressive multifocal leukoencephalopathy (PML)..

kuna HAND au unaweza ukaiita HIV-Associated Neurocognitive Disorder ..

Kiufupi Kuna magonjwa Mengi ila Common kwetu Tanzania Ni Cryptococco meningitis na Toxoplasmosmis..


kuna Muda Ukweli Usemwe tu Shida Kubwa Aliyo nayo mama Yao ni Kuwa Ameacha Kunywa Dawa Tena na Hata Ukiulizia Kiwango chake cha Virusi kipo juu Kwenye HVL aliopima Karibuni (Simjui ila kwa maelezo yake inaonyesha hivyo)..

Kitu cha Msingi Azingatie Kumsupport Kunywa Dawa na Wakazane kwenda Clinic (CTC) Watapata Msaada na ninaamini aliambiwa Aende huko Ila Hakuona Umuhimu.. hajui kuwa Virusi Vikishuka magonjwa mengi yataepukika kwake..

Kuhusu Hayo magonjwa Mara Nyingi ni Fungus so yanaweza Kutibiwa Vizuri..

Kikubwa ampeleke hospitali (Nazungumzia Kuanzia RRH [Reginal Refferal Hospital]) aeleze Maelezo yote ikiwemo hilo la Mama Yake kuwa Ni HIV na Atasaidiwa Vizuri sana..

Afanye Vipimo..MRI,HVL,CD4 Afanye CSF analysis ,Serum crypt na Vingine atakavyoambiwa..

Anatibika Awahi kabla haijawa samahani


Ushauri mzuri sana mkuu!

Naamini wakizingatia mama yao atakuwa sawa!
 
Fungua radio ya Mwamposa kilasiku kuanzia saa 8 usiku anafanya maombezi yatamasaidia mama yako...
 
Kuna Shida Japo Sidhani kama Hospitali walishidnwa Kuijua..

Kwanza Kabisa the Main Themes ya Ugonjwa wake ipo kwenye Hiyo SeroStatus yake "HIV +VE)..

Waathirika Wengi wenye maambukizi ya HIV walio na Wingi wa Virusi wanaweza Kupata Baadhi ya Magonjwa ambayo Huwa yana Mimic Baadhi ya Magonjwa ya Akili na Yanaweza Kugusa Ubongo moja kwa moja au Kugusa Baadhi ya cells za Ubongo..

Kuna Magonjwa ambayo Tunayaita Neural Psychosis kwa Mtu mwenyr HIV huwa anaweza kupata HIV induced Psychosis(japo ina chances chache za Kupata ila anaweza kupata pia)..

Kuna Magonjwa kama Cryptococco Meningitis, Toxoplasmosis,HIV encephalitis au Progressive multifocal leukoencephalopathy (PML)..

kuna HAND au unaweza ukaiita HIV-Associated Neurocognitive Disorder ..

Kiufupi Kuna magonjwa Mengi ila Common kwetu Tanzania Ni Cryptococco meningitis na Toxoplasmosmis..


kuna Muda Ukweli Usemwe tu Shida Kubwa Aliyo nayo mama Yao ni Kuwa Ameacha Kunywa Dawa Tena na Hata Ukiulizia Kiwango chake cha Virusi kipo juu Kwenye HVL aliopima Karibuni (Simjui ila kwa maelezo yake inaonyesha hivyo)..

Kitu cha Msingi Azingatie Kumsupport Kunywa Dawa na Wakazane kwenda Clinic (CTC) Watapata Msaada na ninaamini aliambiwa Aende huko Ila Hakuona Umuhimu.. hajui kuwa Virusi Vikishuka magonjwa mengi yataepukika kwake..

Kuhusu Hayo magonjwa Mara Nyingi ni Fungus so yanaweza Kutibiwa Vizuri..

Kikubwa ampeleke hospitali (Nazungumzia Kuanzia RRH [Reginal Refferal Hospital]) aeleze Maelezo yote ikiwemo hilo la Mama Yake kuwa Ni HIV na Atasaidiwa Vizuri sana..

Afanye Vipimo..MRI,HVL,CD4 Afanye CSF analysis ,Serum crypt na Vingine atakavyoambiwa..

Anatibika Awahi kabla haijawa samahani
Shukuran sana mkuu ila hapo kwenye CD4 na habari za fungal walishapima wakasema hakuna tatizo kila kitu kipo balanced
 
Je bado anatumia Dawa za ARV.

Ikiwa ameacha basi ukimwi umeanza kuingia kichwani .

Mimi nimeona hali Kama hii Kwa wagonjwa wa ukimwi pale wanapoacha dawa
Anatumia vizuri dawa tunamzingatia kila siku pamoja na msosi
 
Kuna science ya asili, hii inakwenda kwa njia ya IMANI. Hapa tunaongelea nguvu (energy za kiroho au spiritual power. Unaweza ukadharau lakini hili lina nguvu kubwa kubwa sana. Mawazo au thoughts ni moja ya hizo nguvu, zikitekwa ndio hiyo shida mnaiona inaionesha mwilini..

Ili kuweza kuzikabili yabidi apatikane mmoja wenu au mtu mwingine mwienye nguvu kuliko alinazo kuzizima hizo, maana yeye hapo alipo ni mateka.

Sasa nini cha kufanya, haijalishi wewe ni mkristo, mhindu au mwislam nk. Yesu kristo ana nguvu juu ya hili na anatenda kupitia watu wake. Ninyi wenyewe mkiwa na imani mnaweza kumsaidia kupitia imani ya Yesu. Lakini kwa msaada wa haraka mpelekeni kwenye madhabahu za maombezi, kuna Suguye pale Matembele ya pili au Mwamposa pale Kawe wote wapo Dar es salaam. Haujataja mkoa ulipo, ila pia unaweza kuona watu wengine wenye nguvu (imani) ya kuombea hapo ulipo utapata matokeo.

Nashauri kwa Mwamposa Kawe Dar es salaam.

Lakini pia kama upo mbali na Dar es Salaam, mwekeni kwenye tv mfuatilie maombi pamoja na yeye, Arise and Shine Tv ni kila siku usiku saa 3.

Angalizo.
Uponyaji wa Yesu haulipiwi, ukiona mtoa huduma anakwambia lipia hata kama ni shilingi mia kabla au hata baada ya huduma hapo hakuna kitu kimbia.

Unaweza kutoa sadaka mwenyewe ili huduma iendelee kwa wengine na mtoa huduma na wasaidizi wake wapate mahitaji yao. Hii ni hiari na unavyojisikia
PIA NA RECOMMEND KWA PROPHET JAMES NYAKIA, NABII WA AJABU PALE MWENGE MPAKANI, DSM KWANI NIMEONA NA KUSHUHUDIA WATU WENYE MATATIZO MBALI MBALI WAKIPONA MAANA NABII YULE ANAENDA KWENYE CHANZO CHA MATATIZO HAYO YOTE ANAKUAMBIA NA WATU WANAPONYWA.

SOMETIMES WATU WASIWE WABISHI KWENYE MAMBO YA KIROHO! MBONA KWA WAGANGA WANAENDA SANA! WASI DAUTI NGUVU ZA MUNGU HATA KIDOGO
 
Kuna Shida Japo Sidhani kama Hospitali walishidnwa Kuijua..

Kwanza Kabisa the Main Themes ya Ugonjwa wake ipo kwenye Hiyo SeroStatus yake "HIV +VE)..

Waathirika Wengi wenye maambukizi ya HIV walio na Wingi wa Virusi wanaweza Kupata Baadhi ya Magonjwa ambayo Huwa yana Mimic Baadhi ya Magonjwa ya Akili na Yanaweza Kugusa Ubongo moja kwa moja au Kugusa Baadhi ya cells za Ubongo..

Kuna Magonjwa ambayo Tunayaita Neural Psychosis kwa Mtu mwenyr HIV huwa anaweza kupata HIV induced Psychosis(japo ina chances chache za Kupata ila anaweza kupata pia)..

Kuna Magonjwa kama Cryptococco Meningitis, Toxoplasmosis,HIV encephalitis au Progressive multifocal leukoencephalopathy (PML)..

kuna HAND au unaweza ukaiita HIV-Associated Neurocognitive Disorder ..

Kiufupi Kuna magonjwa Mengi ila Common kwetu Tanzania Ni Cryptococco meningitis na Toxoplasmosmis..


kuna Muda Ukweli Usemwe tu Shida Kubwa Aliyo nayo mama Yao ni Kuwa Ameacha Kunywa Dawa Tena na Hata Ukiulizia Kiwango chake cha Virusi kipo juu Kwenye HVL aliopima Karibuni (Simjui ila kwa maelezo yake inaonyesha hivyo)..

Kitu cha Msingi Azingatie Kumsupport Kunywa Dawa na Wakazane kwenda Clinic (CTC) Watapata Msaada na ninaamini aliambiwa Aende huko Ila Hakuona Umuhimu.. hajui kuwa Virusi Vikishuka magonjwa mengi yataepukika kwake..

Kuhusu Hayo magonjwa Mara Nyingi ni Fungus so yanaweza Kutibiwa Vizuri..

Kikubwa ampeleke hospitali (Nazungumzia Kuanzia RRH [Reginal Refferal Hospital]) aeleze Maelezo yote ikiwemo hilo la Mama Yake kuwa Ni HIV na Atasaidiwa Vizuri sana..

Afanye Vipimo..MRI,HVL,CD4 Afanye CSF analysis ,Serum crypt na Vingine atakavyoambiwa..

Anatibika Awahi kabla haijawa samahani
Anhaaa kumbe mtu akiacha kunywa dawa akili inakua namna gani vipi.

Kuna jirani yangu hakumeza dawa kwa muda mrefu nae akili ilikua haiko sawa, alikua anasema dawa zimemchosha.

Bill njoo uchukue ushauri wa kitabibu huku, Mungu kawapa maarifa hamyatumii mnarudi kwake tena wakati keshawapa vyote
 
Hiyo hali nimewahi kushuhudia kwa wagonjwa wa HIV.
 
Watu wengine wanakaa kusema aende kwenye maombi wakati tatizo liko wazi....
 
PIA NA RECOMMEND KWA PROPHET JAMES NYAKIA, NABII WA AJABU PALE MWENGE MPAKANI, DSM KWANI NIMEONA NA KUSHUHUDIA WATU WENYE MATATIZO MBALI MBALI WAKIPONA MAANA NABII YULE ANAENDA KWENYE CHANZO CHA MATATIZO HAYO YOTE ANAKUAMBIA NA WATU WANAPONYWA.

SOMETIMES WATU WASIWE WABISHI KWENYE MAMBO YA KIROHO! MBONA KWA WAGANGA WANAENDA SANA! WASI DAUTI NGUVU ZA MUNGU HATA KIDOGO
Acha ujinga....
 
Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏

Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.

Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi

Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani

Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.

Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .

Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.

Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
Pole sana mdogo wangu..
CC Setfree
 
poleni aisee. homa ngumu sana hiyo. ni ngumu sio kidogo. kuna jamaa yetu aliwahi pata shida kama hiyo aliponea kwa sangoma yupo fresh hadi leo. ni wale sangoma wa vijijini ndanindani kabisa uko. ila ni miaka mingi imepita na yule sangoma alishatangulia mbele za haki.
 
Shukuran sana mkuu ila hapo kwenye CD4 na habari za fungal walishapima wakasema hakuna tatizo kila kitu kipo balanced
Sijaelwa Walipima Wakawapa majibu kuwa CD4 iko Kiasi gani?

Na Kingine Hakuna Majibu ya Fungal Ilo balance Its either Unayo au Hunayo Means Either Positive or Negative its Neither Balance Hutakiwi kuwa na Fungus
 
Anhaaa kumbe mtu akiacha kunywa dawa akili inakua namna gani vipi.

Kuna jirani yangu hakumeza dawa kwa muda mrefu nae akili ilikua haiko sawa, alikua anasema dawa zimemchosha.

Bill njoo uchukue ushauri wa kitabibu huku, Mungu kawapa maarifa hamyatumii mnarudi kwake tena wakati keshawapa vyote
Yeah Ni kweli kabisa kuna Vingi sana Kuhusu HIV vinapaswa Kuwekwa Wazi ambavyo wengi huvichukulia Poa
 
Mkuu pole sana, je anatumia ARV coz kunajamaa hapa mtaa alipatwa na tatizo kama hilo na yeye alikuwa muathirika wa HIV lakini alipo pelekwa hospital alikaa sawa mpaka sasa
 
Back
Top Bottom