zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
DR Mambo Jambo msaada wako huku kuna mgonjwa wako emu tia nenoPia nimuathirika wa VVU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DR Mambo Jambo msaada wako huku kuna mgonjwa wako emu tia nenoPia nimuathirika wa VVU.
Nimetia neno kwenye comment #34 na Post #39DR Mambo Jambo msaada wako huku kuna mgonjwa wako emu tia neno
Nitumie namba zako kwa msaada zaidiPole sana.
Nafikiri ana tatizo ndiyo maana ana dalili hizo. Kama hana maradhi mengine yoyote yanayomsumbua basi afya yake ya akili haiko sawa.
Milembe hospital mliambiwa hana tatizo lolote lakini kwa hizo dalili (kupiga kelele, kushindwa kutafisiri vitu/kutoa majibu tofauti nk) kuna kitu hakiko sawa.
Kitaalamu kuna tatizo/ugonjwa unaoitwa Wernicke's Aphasia (Receptive Aphasia) ambapo mtu huwa na dalili za kuchanganyikiwa, hasira, kushindwa kutafisiri vitu au kutoa majibu tofauti na maswali, kuwa na sonona (depression) nk.
Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na:
-kuumia ubongo (traumatic brain injury)
-uvimbe kwenye ubongo (brain tumors)
-maambukizi kwenye mfuko wa neva
-magonjwa mengine ya ubongo kama Alzheimer's, Dementia nk
Ili kuweza kubaini tatizo hili, Wernicke's Aphasia (Receptive Aphasia) vipimo vifuatavyo hufanyika:
-CT scan brain au
-MRI brain
Pia wataalamu wa lugha (speech therapists) wana vipimo vyao maalumu vya kuwafanyia wagonjwa hao.
Kwa hiyo kwa dalili zake hizo kuna shida ambayo inaweza kuwa hiyo hapo juu [Wernicke's Aphasia (Receptive Aphasia)] au vingine. Haitoshi kusema kwamba yupo sawa.
Hivyo ni muhimu pengine mkampeleka hospital nyingine kubwa zaidi kama hakuwahi kwenda kwingine zaidi ya Milembe hospital.
Kila la kheri.
Shida inakuwa nini hasa?ni sahihi kabisa kwa miaka hii waathirika wengi wa HIV wanaotumia dawa hlf wakaamua kuziacha hizo dawa ndio wanakuwa na hizo dalili za kuvurugikiwa akili au ukichaa kupanda kichwani na mara nyingi ikifika hapo na akakosa matibabu sahihi ni lazma wanakata moto.
wataalam wameshaelezea vizuri soma posts za mwanzoni, sisi wengine tunaleta ushuhuda tu kwa yanatokea huku kitaani tulipo, hatuna utaalam wowote.Shida inakuwa nini hasa?
mkuu hapa umesema huyo ni mama wa kufikia. km hutajali unaweza kuelezea mama yako halisi yuko wapi au aliondoka kwenu katika mazingira gani? kama aliondoka kwa kinyongo inaweza kuwa ndo chanzo cha hayo yanayotokea.wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia
Poleni sana. Hapo kwa hospital kusema ''hana tatizo la kiakili'' badilisha iwe ''walishindwa kugundua ana tatizo gani''. Hii ni kwa sababu unaweza kuzunguka hopsital hata tatu, ya nne ndiyo wakagundua tatizo lako. Msikubali kutumia waganga wa kienyeji, mtafilisika. Hata hawa mitume wa kisasa muwe macho nao. Mpelekeni hospital kubwa kama Muhimbili aonane wa mabingwa.Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏
Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi
Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani
Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.
Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .
Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.
Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
daah kumbe Half american ni mtu halisi? nimefarijika kuona leo umeandika kitu mkuu. maana wewe na mkuu raraa reree hamueleweki kama ni watu au robots😅muda wote nyie ni wazee wa likes na dislikesPoleni sana wanafamilia.
Hizi homa za hivi ni changamoto kwelikweli anaweza kumaliza hospitali juu ya hospitali akatoka kapa. ni vyema kujaribu maeneo mbalimbali hata izo tiba mbadala kama wakuu wanavyoshauri hapa hauwezi kujua ataponea wapi.Poleni sana. Hapo kwa hospital kusema ''hana tatizo la kiakili'' badilisha iwe ''walishindwa kugundua ana tatizo gani''. Hii ni kwa sababu unaweza kuzunguka hopsital hata tatu, ya nne ndiyo wakagundua tatizo lako. Msikubali kutumia waganga wa kienyeji, mtafilisika. Hata hawa mitume wa kisasa muwe macho nao. Mpelekeni hospital kubwa kama Muhimbili aonane wa mabingwa.
Hospital kwanza. Narudia tena, hospital kwanza. Ile miaka ya nyuma ya kudhani kuna kulogwa inafikia ukingoni na karibu kila kitu kina maelezo ya kisayansi. Sikatai kuwa kuna dawa za kienyeji lakini unapopatwa na tatizo la kiafya hospital ndiyo sehemu ya kimbilio. Bahati nzuri sana tunaweza ku copy and paste kutoka majuu ambako wameshapitia hizi changamoto na kuzipatia ufumbuzi.Hizi homa za hivi ni changamoto kwelikweli anaweza kumaliza hospitali juu ya hospitali akatoka kapa. ni vyema kujaribu maeneo mbalimbali hata izo tiba mbadala kama wakuu wanavyoshauri hapa hauwezi kujua ataponea wapi.
kuna sehemu apo juu nimeshuhudia kuna jamaa yetu alipata wazimu km huyo tulianza naye huko mahospitalini lakini alikuja kuponea kwenye tiba mbadala. huwa tunazichukulia poa lakn zinafanya kazi almradi tu wasiwe ni hawa matapeli waliojaa mijini. masangoma OG wengi wapo vijijini ndanindani uko na styms ni ngumu kuwapata maana wengi wa ivo hawapendi kujulikana.
Shukuran mkuuPoleni sana wanafamilia.
Hapo kwenye situation ya bimkubwa sidhani ila nakumbuka baada ya bimkubwa kugundua mwamba (mzee)amezalisha mwanamke mwengine ndipo akamamua kubeba vitu vyake na kusepamkuu hapa umesema huyo ni mama wa kufikia. km hutajali unaweza kuelezea mama yako halisi yuko wapi au aliondoka kwenu katika mazingira gani? kama aliondoka kwa kinyongo inaweza kuwa ndo chanzo cha hayo yanayotokea
Shukuran pia na ww mkuuHospital kwanza. Narudia tena, hospital kwanza. Ile miaka ya nyuma ya kudhani kuna kulogwa inafikia ukingoni na karibu kila kitu kina maelezo ya kisayansi. Sikatai kuwa kuna dawa za kienyeji lakini unapopatwa na tatizo la kiafya hospital ndiyo sehemu ya kimbilio. Bahati nzuri sana tunaweza ku copy and paste kutoka majuu ambako wameshapitia hizi changamoto na kuzipatia ufumbuzi.
Poa karibuHapo anatatizo kwenye ubongo naweza mpatia matibabu nahitaji tuzungumze ni pm.
Upo mkoa ganiWalishaifanya hiyo mkuu