Msaada: Mama yangu anasumbuliwa na tatizo la akili ambalo hospitali halionekani

Msaada: Mama yangu anasumbuliwa na tatizo la akili ambalo hospitali halionekani

polleni sana naweza kumtibu nintajitolea kumtibu kwamakubaliano ambayo tutakubalia pande mbili.baada ya mgonjwa kupata nafuu nauhakika wa afya yake kwaidhini ya uubaji wake mtalipia gharama ambazo zitakua ndani yamakubaliano.
Shukurani mkuu acha kwanza tumpeleke jumapili sehemu ya ibada ila mambo yakiwa tofauti nitakujulisha..
 
Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏

Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.

Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi

Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani

Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.

Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .

Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.

Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
Kabla sijafikia hapo kwenye Pia ni muathirika.

Nilikua tayari nmeshaanza kukushauri apime vipimo vya HIV, Syphilis, Vipimo vya Ini , Figo n.k .

Hizo ni CNS manifestations zinazotokana na HIV Kwa Mama yako.

Inawezekana, Hatumii dawa vizuri au anatumia lkn regime ya dawa anazomeza ndo inampa shida .


Mtafutieni Sodium Valproate aanze na dozi ndogo ya 750mg Kila siku , Muendelee kuangalia Maendeleo yake.!!.
 
Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏

Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.

Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi

Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani

Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.

Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .

Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.

Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
Dawa zimemdhoofisha hasa ARVs!!!!?
Huduma za maombi labda!

Poleni sana!
 
Ila ninyi wa mpelekeni kwa Mwamposa sijui Sunguye ilhali kuna wataalamu wa hayo masuala mnampoteza mwenzenu aisee.

Hivi kweli hakuna wataalamu wa hayo magonjwa mpaka apelekww kwenye maombii tu ilhali dalili ziko wazi kabisa??
DR Mambo Jambo
Herbalist Dr MziziMkavu msaidieni mwamba apa
 
Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏

Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.

Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi

Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani

Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.

Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .

Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.

Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
Pole sana mwanangu Mungu ni mwaminifu
 
Pole sana.

Nafikiri ana tatizo ndiyo maana ana dalili hizo. Kama hana maradhi mengine yoyote yanayomsumbua basi afya yake ya akili haiko sawa.

Milembe hospital mliambiwa hana tatizo lolote lakini kwa hizo dalili (kupiga kelele, kushindwa kutafisiri vitu/kutoa majibu tofauti nk) kuna kitu hakiko sawa.

Kitaalamu kuna tatizo/ugonjwa unaoitwa Wernicke's Aphasia (Receptive Aphasia) ambapo mtu huwa na dalili za kuchanganyikiwa, hasira, kushindwa kutafisiri vitu au kutoa majibu tofauti na maswali, kuwa na sonona (depression) nk.

Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na:
-kuumia ubongo (traumatic brain injury)

-uvimbe kwenye ubongo (brain tumors)

-maambukizi kwenye mfuko wa neva

-magonjwa mengine ya ubongo kama Alzheimer's, Dementia nk

Ili kuweza kubaini tatizo hili, Wernicke's Aphasia (Receptive Aphasia) vipimo vifuatavyo hufanyika:
-CT scan brain au
-MRI brain
Pia wataalamu wa lugha (speech therapists) wana vipimo vyao maalumu vya kuwafanyia wagonjwa hao.

Kwa hiyo kwa dalili zake hizo kuna shida ambayo inaweza kuwa hiyo hapo juu [Wernicke's Aphasia (Receptive Aphasia)] au vingine. Haitoshi kusema kwamba yupo sawa.

Hivyo ni muhimu pengine mkampeleka hospital nyingine kubwa zaidi kama hakuwahi kwenda kwingine zaidi ya Milembe hospital.

Kila la kheri.
Nahisi Point kubwa Iko Kwenye "Ni muathirika wa Virusi vya Ukimwi"..
Na Sidhani kama Atakuwa na Aphasia!
Japo Umetoa Ushauri Mzuri sana yangu ni Hayo mkuu
 
Kama mnampeleka kwenye nyumba za ibada basi muwe na imani yakutoshaa haswa lasvo hamtaona matokeo yoyote

Imani iman
 
Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏

Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.

Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi

Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani

Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.

Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .

Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.

Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
Hiki kisa mbona kimejirudia humu?

Kuhusu kukakamaa mwili inaweza tokana na athari HIV nina experience ya ndugu yangu kuwa na hali kama hiyo. Kinachonishangaza ni kusema hana tatizo la akili kwa viashiria vyote hivyo.
 
Je bado anatumia Dawa za ARV.

Ikiwa ameacha basi ukimwi umeanza kuingia kichwani .

Mimi nimeona hali Kama hii Kwa wagonjwa wa ukimwi pale wanapoacha dawa
 
Ila ninyi wa mpelekeni kwa Mwamposa sijui Sunguye ilhali kuna wataalamu wa hayo masuala mnampoteza mwenzenu aisee.

Hivi kweli hakuna wataalamu wa hayo magonjwa mpaka apelekww kwenye maombii tu ilhali dalili ziko wazi kabisa??
DR Mambo Jambo
Herbalist Dr MziziMkavu msaidieni mwamba apa
Kuna Shida Japo Sidhani kama Hospitali walishidnwa Kuijua..

Kwanza Kabisa the Main Themes ya Ugonjwa wake ipo kwenye Hiyo SeroStatus yake "HIV +VE)..

Waathirika Wengi wenye maambukizi ya HIV walio na Wingi wa Virusi wanaweza Kupata Baadhi ya Magonjwa ambayo Huwa yana Mimic Baadhi ya Magonjwa ya Akili na Yanaweza Kugusa Ubongo moja kwa moja au Kugusa Baadhi ya cells za Ubongo..

Kuna Magonjwa ambayo Tunayaita Neural Psychosis kwa Mtu mwenyr HIV huwa anaweza kupata HIV induced Psychosis(japo ina chances chache za Kupata ila anaweza kupata pia)..

Kuna Magonjwa kama Cryptococco Meningitis, Toxoplasmosis,HIV encephalitis au Progressive multifocal leukoencephalopathy (PML)..

kuna HAND au unaweza ukaiita HIV-Associated Neurocognitive Disorder ..

Kiufupi Kuna magonjwa Mengi ila Common kwetu Tanzania Ni Cryptococco meningitis na Toxoplasmosmis..


kuna Muda Ukweli Usemwe tu Shida Kubwa Aliyo nayo mama Yao ni Kuwa Ameacha Kunywa Dawa Tena na Hata Ukiulizia Kiwango chake cha Virusi kipo juu Kwenye HVL aliopima Karibuni (Simjui ila kwa maelezo yake inaonyesha hivyo)..

Kitu cha Msingi Azingatie Kumsupport Kunywa Dawa na Wakazane kwenda Clinic (CTC) Watapata Msaada na ninaamini aliambiwa Aende huko Ila Hakuona Umuhimu.. hajui kuwa Virusi Vikishuka magonjwa mengi yataepukika kwake..

Kuhusu Hayo magonjwa Mara Nyingi ni Fungus so yanaweza Kutibiwa Vizuri..

Kikubwa ampeleke hospitali (Nazungumzia Kuanzia RRH [Reginal Refferal Hospital]) aeleze Maelezo yote ikiwemo hilo la Mama Yake kuwa Ni HIV na Atasaidiwa Vizuri sana..

Afanye Vipimo..MRI,HVL,CD4 Afanye CSF analysis ,Serum crypt na Vingine atakavyoambiwa..

Anatibika Awahi kabla haijawa samahani
 
Ila ninyi wa mpelekeni kwa Mwamposa sijui Sunguye ilhali kuna wataalamu wa hayo masuala mnampoteza mwenzenu aisee.

Hivi kweli hakuna wataalamu wa hayo magonjwa mpaka apelekww kwenye maombii tu ilhali dalili ziko wazi kabisa??
DR Mambo Jambo
Herbalist Dr MziziMkavu msaidieni mwamba apa
Kwani hawa ujuzi waliupata wapi kama sio kwa Mungu?

Kwanini iwe shida kwenda kuombewa kwa Mungu?
 
Back
Top Bottom