THE JAGGERS
JF-Expert Member
- Apr 3, 2023
- 545
- 410
- Thread starter
-
- #21
Shukurani mkuu acha kwanza tumpeleke jumapili sehemu ya ibada ila mambo yakiwa tofauti nitakujulisha..polleni sana naweza kumtibu nintajitolea kumtibu kwamakubaliano ambayo tutakubalia pande mbili.baada ya mgonjwa kupata nafuu nauhakika wa afya yake kwaidhini ya uubaji wake mtalipia gharama ambazo zitakua ndani yamakubaliano.
Amini tu, tambua unaenda kwenye nguvu iliyoumba vyote duniani na mbinguni. Nenda na jambo moja moyoni la kupokea uponyajiShukurani mkuu acha kwanza tumpeleke jumapili sehemu ya ibada ila mambo yakiwa tofauti nitakujulisha..
Kwani huwa unatoza?Kama haupo mbali naweza kuja kumwona nimwombee for free .
Unaweza kufafanua zaidi hapa?imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana
sawa kila lakheri huko kote ndio njia Moja nitumaini langu atapata nafuu.Shukurani mkuu acha kwanza tumpeleke jumapili sehemu ya ibada ila mambo yakiwa tofauti nitakujulisha..
Kabla sijafikia hapo kwenye Pia ni muathirika.Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏
Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi
Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani
Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.
Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .
Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.
Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
Dawa zimemdhoofisha hasa ARVs!!!!?Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏
Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi
Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani
Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.
Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .
Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.
Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
Anakuwa anawaza mambo ya kichawi chawi anahisi analogwa kwa mf. Tukimuwekea chai kwa majani ya tea bags anahisi ni hirizi etiUnaweza kufafanua zaidi hapa?
Pole sana mwanangu Mungu ni mwaminifuSalamu kwenu wakubwa zangu.🙏
Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi
Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani
Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.
Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .
Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.
Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
Nahisi Point kubwa Iko Kwenye "Ni muathirika wa Virusi vya Ukimwi"..Pole sana.
Nafikiri ana tatizo ndiyo maana ana dalili hizo. Kama hana maradhi mengine yoyote yanayomsumbua basi afya yake ya akili haiko sawa.
Milembe hospital mliambiwa hana tatizo lolote lakini kwa hizo dalili (kupiga kelele, kushindwa kutafisiri vitu/kutoa majibu tofauti nk) kuna kitu hakiko sawa.
Kitaalamu kuna tatizo/ugonjwa unaoitwa Wernicke's Aphasia (Receptive Aphasia) ambapo mtu huwa na dalili za kuchanganyikiwa, hasira, kushindwa kutafisiri vitu au kutoa majibu tofauti na maswali, kuwa na sonona (depression) nk.
Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na:
-kuumia ubongo (traumatic brain injury)
-uvimbe kwenye ubongo (brain tumors)
-maambukizi kwenye mfuko wa neva
-magonjwa mengine ya ubongo kama Alzheimer's, Dementia nk
Ili kuweza kubaini tatizo hili, Wernicke's Aphasia (Receptive Aphasia) vipimo vifuatavyo hufanyika:
-CT scan brain au
-MRI brain
Pia wataalamu wa lugha (speech therapists) wana vipimo vyao maalumu vya kuwafanyia wagonjwa hao.
Kwa hiyo kwa dalili zake hizo kuna shida ambayo inaweza kuwa hiyo hapo juu [Wernicke's Aphasia (Receptive Aphasia)] au vingine. Haitoshi kusema kwamba yupo sawa.
Hivyo ni muhimu pengine mkampeleka hospital nyingine kubwa zaidi kama hakuwahi kwenda kwingine zaidi ya Milembe hospital.
Kila la kheri.
Hiki kisa mbona kimejirudia humu?Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏
Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo hivi ndani ya siku za hivi karibuni since last year katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri. Kwa mfano; ukimuuliza kitu fulani anajibu kengine, anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama ana ukichaa fulani hivi
Tulifanikisha kumpeleka hadi hospitali ya ukichaa (Milembe) lakini wakasema hana tatizo lolote la akili. Binafsi nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana. Kuna muda anakuwa sawa kuna muda hawi sawa especially asipopata kulala na ni mbishi mno ukimwambia kitu hakuelewi ifikapo usiku halali kutwa anazunguka tu hadi panakucha na ikitokea tukawa hatupo (school or market statue) huwa anatoroka nyumbani
Kitu kinachotisha zaidi kuna muda mwili wake unakakamaa na akiwa hivyo basi huwa haongei kabisa wala halali kiufupi anakuwa kama zezeta na ikitokea akiongea basi huwa anapiga kelele mpaka majirani wanamsikia.
Kwa hofu huwa tunamfunga na kamba ili asifanye lolote baya. Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
Misikiti pamoja na hata Makanisa haisaidii pia .
Pia nimuathirika wa VVU. Samahanini lakini ila kuna wakati tunashindwa kuendesha masomo yetu vizuri mimi pamoja na wadogo zangu.
Naombeni msaada kwenu
Wasalam .
Kuna Shida Japo Sidhani kama Hospitali walishidnwa Kuijua..Ila ninyi wa mpelekeni kwa Mwamposa sijui Sunguye ilhali kuna wataalamu wa hayo masuala mnampoteza mwenzenu aisee.
Hivi kweli hakuna wataalamu wa hayo magonjwa mpaka apelekww kwenye maombii tu ilhali dalili ziko wazi kabisa??
DR Mambo Jambo
Herbalist Dr MziziMkavu msaidieni mwamba apa
Kwani hawa ujuzi waliupata wapi kama sio kwa Mungu?Ila ninyi wa mpelekeni kwa Mwamposa sijui Sunguye ilhali kuna wataalamu wa hayo masuala mnampoteza mwenzenu aisee.
Hivi kweli hakuna wataalamu wa hayo magonjwa mpaka apelekww kwenye maombii tu ilhali dalili ziko wazi kabisa??
DR Mambo Jambo
Herbalist Dr MziziMkavu msaidieni mwamba apa