a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
Baba nipo nae mkuu
MorogoroUpo mkoa gani
Anhaaa kumbe mtu akiacha kunywa dawa akili inakua namna gani vipi.
Kuna jirani yangu hakumeza dawa kwa muda mrefu nae akili ilikua haiko sawa, alikua anasema dawa zimemchosha.
Bill njoo uchukue ushauri wa kitabibu huku, Mungu kawapa maarifa hamyatumii mnarudi kwake tena wakati keshawapa vyote
Nilikuwa na kijana wangu alipata tatizo hilo, hospitaki ilishindikana nikatumia kienyeji, amepona kabisa, Shida uko mbali, hapa ni kanda ya ziwaMorogoro
Yes Mungu katupa maarifa, ila sisi tunayapuuza. Tumuombe atukumbushe tuguse wapi tupone.Mwanzo hiyo quote ya ugonjwa mleta uzi hakuiweka. Hilo linaeleweka kama kweli alikuwa akitumia dawa, kinga ya mwili inashuka, na seli zikizidiwa cha kwanza kuathiriwa ni ubongo au seli za ubongo anaanza kuchanganya mafaili.
BTW hakuna kinachosgindikana kwa Mungu, hayo maarifa ya dawa pia ameyatoa Mungu. Atumie dozi kikamilifu
Njia gani hizo tuelezane mkuuNilikuwa na kijana wangu alipata tatizo hilo, hospitaki ilishindikana nikatumia kienyeji, amepona kabisa, Shida uko mbali, hapa ni kanda ya ziwa