Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,625
- 3,307
Na mzingua tu sio seriousMashaallah×3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mzingua tu sio seriousMashaallah×3
Mwenzio yupo serious msaidieNa mzingua tu sio serious
Hahahahahahaha ni hatari sana.Kama pesa unayo wanapatikana maana hata Mimi bado sijazaaa[emoji38]
Utakuwa una matatizo ya kijinsia, nimeenda kushusha pumzi nisimlipue mtu na jiko la gesi kinabo wewe!Umeondoka nyumbani hujarudi yaani umezira duh aiseee
Uhasema kweli?!!!Kama pesa unayo wanapatikana maana hata Mimi bado sijazaaa😆
Swali la kijinga na la kitoto sanaUlikuwa unafanya nini ulipokuwa kijana wa miaka 30-33?
Kwel8 mkuu?!! Najiona mzeeMbona wewe bado ni kijana kwanini una hofu hadi unachukuwa single mothers. Nani alikuambia mwanaume ana kikomo cha umri ktk kuoa. Tena wewe kwa umri huo wa 40's unaweza kuoa mke wa 18 yrs old labda km huna pesa au ajira maalumu.
Umeona ee?!!Swali la kijinga na la kitoto sana
Unauliza jibu wakati ushapewa jibu mkuu Ila PM hua hajibu kwa hio kazi kwakoUhasema kweli?!!!
M bless mwamba kikokotoo kikiwasili ujilie mema ya nchiNakuaminia wewe sindio dalali 😁 stow away hutaki udalali kwani kuna deal huku
We si Ulikuwa Officer Mwandamizi wa Kataa Ndoa?Nimepigwa mno na single mothers ambao niliamini baada ya 'kupigika' tungeyajenga vizuri sana kwa maana wameshayajua maisha, lakini wapi!
Wa kwanza kanipiga, visa havieleweki tu kila siku. Mwishowe tukaamua yaishe.
Wa pili kanipiga, mtoto akikohoa kidogo tu zinaanza safari za 'kwenda kumtibu'. Nikaona nachotaka kufia hapa ni nini?
Huyu wa tatu ndio jana kaniuliza kabisa, huku mdomo akiwa kaupeleka pembeni (ishara ya dharau), "Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
Nimeondoka nyumbani mpaka sasa sijarudi.
Wadau, wapi anapatikana asiyekuwa na mtoto katika umri huo nijiandae kula nae kikokotoo?
Nimekwama, tusaidiane.