- Thread starter
- #61
Ahsante, nimeamini kabisa!Pole mkuu.
Kuna baadhi ya watu waliozaa hawaachani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante, nimeamini kabisa!Pole mkuu.
Kuna baadhi ya watu waliozaa hawaachani.
Habari njema hii!!Nenda kawe kwa mwamposa wapo kibao kama maandazi
Haina nomaSwali la kijinga na la kitoto sana
mhn! ukivuka miaka 40 ni kazi kwelikweli ni bora ubahatishe haohao single mama vinginevyo hivi vitoto unahitaji kuwa kama rais wa Russia. ukibisha jiandae kusoma masomo ya kujitolea bila cheti (postgraduate in clinical officer specialized in sugar,pressure na vidonda vya tumbo) kwa kuwa hakuna dawa hutapata kuacha kuitumia na pia kuwa bingwa wa kuwashauri wengine.Nimepigwa mno na single mothers ambao niliamini baada ya 'kupigika' tungeyajenga vizuri sana kwa maana wameshayajua maisha, lakini wapi!
Wa kwanza kanipiga, visa havieleweki tu kila siku. Mwishowe tukaamua yaishe.
Wa pili kanipiga, mtoto akikohoa kidogo tu zinaanza safari za 'kwenda kumtibu'. Nikaona nachotaka kufia hapa ni nini?
Huyu wa tatu ndio jana kaniuliza kabisa, huku mdomo akiwa kaupeleka pembeni (ishara ya dharau), "Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
Nimeondoka nyumbani mpaka sasa sijarudi.
Wadau, wapi anapatikana asiyekuwa na mtoto katika umri huo nijiandae kula nae kikokotoo?
Nimekwama, tusaidiane.
Kamba hii...Chai hii...
Ndo matatizo ya kuzoea kudanganywa
Mtoto wa kike mzuri kama wewe inakuaje unakuwa na mawazo ya kijambazi hivyo?!!! Yaani kuna lipi hapo lililopitiliza hadi ionekane ni uongo?!!! Nimesema mtu alipaa km ndege?!!Kamba hii...
Aje muongee vizuri kikubwa azingatie maokotoKama pesa unayo wanapatikana maana hata Mimi bado sijazaaa😆
Baby achana nao haoHaina noma
Nakupa ushauri wa kijinga na wa kitoto pia...ukiamua kukataa ndoa kataa ndoa hadi kifo kikutenganishe ili kupunguza stress ukifika 40+ kama mleta mada(na wewe kama ni mmoja wao)
swali nzuri sana ila unaweza usieleweke lakini mara nyingi kijana anahitaji kuoa kati ya miaka 27-32 ili anapofikisha miaka 35 ameanza kukomaa katika kupambana na changamoto familia.Ulikuwa unafanya nini ulipokuwa kijana wa miaka 30-33?
Wewe una watoto wangapi? Hawakutoshi? Wapo wamama 40 wako na maumbo mazuri tuu hawajafanikiwa kuzaa. Kama huna haja ya kuzaa tena wapo.Na umri huu?!!!
Kumbe mna mababy humu ee?!!Baby achana nao hao
Wewe tu hunaKumbe mna mababy humu ee?!!
Mtoto wa kike mzuri kama wewe inakuaje unakuwa na mawazo ya kijambazi hivyo?!!! Yaani kuna lipi hapo lililopitiliza hadi ionekane ni uongo?!!! Nimesema mtu alipaa km ndege?!!
Utakuwa una matatizo ya kijinsia, nimeenda kushusha pumzi nisimlipue mtu na jiko la gesi kinabo wewe!
Hahahahhh sawa babeBaby achana nao hao
Njoo PM mremboKama pesa unayo wanapatikana maana hata Mimi bado sijazaaa😆
swali nzuri sana ila unaweza usieleweke lakini mara nyingi kijana anahitaji kuoa kati ya miaka 27-32 ili anapofikisha miaka 35 ameanza kukomaa katika kupambana na changamoto familia.