- Thread starter
- #41
Mbona hilo liko wazi, unafikiri kuna asiyeliona hilo humu?!!!! Uliyeamua kumtunuku wala hukumtunukia hadharani hv......ulimvizia vichochoroni ukamwambia.Na mzingua tu sio serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hilo liko wazi, unafikiri kuna asiyeliona hilo humu?!!!! Uliyeamua kumtunuku wala hukumtunukia hadharani hv......ulimvizia vichochoroni ukamwambia.Na mzingua tu sio serious
Tulia kwanza ujipe muda halafu urudi baada ya miezi miwili tushauriane.Kwa sasa bado una wenge sana.Tuliza ball.Nimepigwa mno na single mothers ambao niliamini baada ya 'kupigika' tungeyajenga vizuri sana kwa maana wameshayajua maisha, lakini wapi!
Wa kwanza kanipiga, visa havieleweki tu kila siku. Mwishowe tukaamua yaishe.
Wa pili kanipiga, mtoto akikohoa kidogo tu zinaanza safari za 'kwenda kumtibu'. Nikaona nachotaka kufia hapa ni nini?
Huyu wa tatu ndio jana kaniuliza kabisa, huku mdomo akiwa kaupeleka pembeni (ishara ya dharau), "Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
Nimeondoka nyumbani mpaka sasa sijarudi.
Wadau, wapi anapatikana asiyekuwa na mtoto katika umri huo nijiandae kula nae kikokotoo?
Nimekwama, tusaidiane.
Limetamkwa hilo ndugu, hatari sana!!"Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
👆😳
🤣🤣🤣🤣Unauliza jibu wakati ushapewa jibu mkuu Ila PM hua hajibu kwa hio kazi kwako
Kwa hiyo wamburu umewaona ni watu wa hovyo sana acha dharau nduguNenda bush huko tafuta binti.....uje nae town tena unaenda mburu huko.....unakuja unakula weeeeeeeee akijanjaruka .......unamwacha unatimba tena bush kubeba mwingine...
Yaani unakua kama gari la mkaa wakizengua tu wewe unaenda bush tena
Ulikuwa unafanya nini ulipokuwa kijana wa miaka 30-33?
Chips mara moja kwa wiki atapataUkituliza akili bila kuhemkwa unapata mbona. Muhimu tu umpe uhakika kiuchumi, maana umri huo wanaamini lazima ukae sawa kiuchumi.
Waongo waleTatizo la umeme haliwezi kuisha hata siku moja
Unataka uoe under 20 mkuu?Chips mara moja kwa wiki atapata
Sasa mkuu over 20 si ndo hao single mothers?!!!! Kuna mdau hapo juu kanipa moyo kuwa naweza kumpataUnataka uoe under 20 mkuu?
Ila wadada wengi wenye wanakaa na watoto wao , hawana hadhi ya kuitwa single maza , kwa sababu unakuta baba wa mtoto anatuma pesa za matunzo na elimu ya mtoto ila una kuta mdada bado anajiita single maza[emoji849]Nyie si mnajifariji kwamba single mothers wamekata tamaa na huwa wanatafuta mwanaume yeyote tu mradi anapumua, haya sasa taratibu tu mtakuja kuelewa kwamba dunia inabadilika meza zinapinduka na huko tunakoelekea ndio kubaya zaidi, wanawake wamebadilika siyo wa enzi zile na hawajali tena lolote
Pole mkuu.Limetamkwa hilo ndugu, hatari sana!!
Kwa umri huo atakusumbua sana, tafuta walau 25-30 hapo utapata.Sasa mkuu over 20 si ndo hao single mothers?!!!! Kuna mdau hapo juu kanipa moyo kuwa naweza kumpata
Wapo wengi Sana. Tafuta na uwe na pesa kiasi. Tafuta wa 25-30 yrsNimepigwa mno na single mothers ambao niliamini baada ya 'kupigika' tungeyajenga vizuri sana kwa maana wameshayajua maisha, lakini wapi!
Wa kwanza kanipiga, visa havieleweki tu kila siku. Mwishowe tukaamua yaishe.
Wa pili kanipiga, mtoto akikohoa kidogo tu zinaanza safari za 'kwenda kumtibu'. Nikaona nachotaka kufia hapa ni nini?
Huyu wa tatu ndio jana kaniuliza kabisa, huku mdomo akiwa kaupeleka pembeni (ishara ya dharau), "Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
Nimeondoka nyumbani mpaka sasa sijarudi.
Wadau, wapi anapatikana asiyekuwa na mtoto katika umri huo nijiandae kula nae kikokotoo?
Nimekwama, tusaidiane.
Wengi bado ni tegemezi tu kwa hao waliowazalisha. Ndio maana hawaishi kupashana viporo ili huduma zirndelee. Mkuu dunia bado sana ipo mikononi mwa mwanaume, bado sana kupindua meza.Nyie si mnajifariji kwamba single mothers wamekata tamaa na huwa wanatafuta mwanaume yeyote tu mradi anapumua, haya sasa taratibu tu mtakuja kuelewa kwamba dunia inabadilika meza zinapinduka na huko tunakoelekea ndio kubaya zaidi, wanawake wamebadilika siyo wa enzi zile na hawajali tena lolote