Msaada: Miaka hii 43 nampataje mwenza ambaye hana mtoto

Hiyo kazi ya kukutafutia binti mbichimbichi kama Abichams wape dada zako na shangazi zako, haraka sana watakuletea mwali
 
We si Ulikuwa Officer Mwandamizi wa Kataa Ndoa?
 
Nyie si mnajifariji kwamba single mothers wamekata tamaa na huwa wanatafuta mwanaume yeyote tu mradi anapumua, haya sasa taratibu tu mtakuja kuelewa kwamba dunia inabadilika meza zinapinduka na huko tunakoelekea ndio kubaya zaidi, wanawake wamebadilika siyo wa enzi zile na hawajali tena lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…