Msaada: Miaka hii 43 nampataje mwenza ambaye hana mtoto

Tulia kwanza ujipe muda halafu urudi baada ya miezi miwili tushauriane.Kwa sasa bado una wenge sana.Tuliza ball.
 
Ukituliza akili bila kuhemkwa unapata mbona. Muhimu tu umpe uhakika kiuchumi, maana umri huo wanaamini lazima ukae sawa kiuchumi.
 
Unakosaje mwanamke ? Au wewe huwa una matarajio makubwa kutoka kwa mwanamke unae msaka ?
 
Ila wadada wengi wenye wanakaa na watoto wao , hawana hadhi ya kuitwa single maza , kwa sababu unakuta baba wa mtoto anatuma pesa za matunzo na elimu ya mtoto ila una kuta mdada bado anajiita single maza[emoji849]
 
Wapo wengi Sana. Tafuta na uwe na pesa kiasi. Tafuta wa 25-30 yrs
 
Wengi bado ni tegemezi tu kwa hao waliowazalisha. Ndio maana hawaishi kupashana viporo ili huduma zirndelee. Mkuu dunia bado sana ipo mikononi mwa mwanaume, bado sana kupindua meza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…