- Thread starter
- #21
Duuuh Boss yamekuwa hayo tenaNjoo naye nikufungishe hiyo ndoa kibabe,kilichobakia nenda kanisani kwako mtafute kiongozi wa kiroho umalize,harusi Ni hiyari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh Boss yamekuwa hayo tenaNjoo naye nikufungishe hiyo ndoa kibabe,kilichobakia nenda kanisani kwako mtafute kiongozi wa kiroho umalize,harusi Ni hiyari
Rudia tena na tena kusoma alichoa andika ROBERT HERIEL hao juu. Na hakika utakuwa na amani katika mipango yako.Nimekupata mkuu
Kabisa nimemuelewa mwamba ameandika vizuri sanaRudia tena na tena kusoma alichoa andika ROBERT HERIEL hao juu. Na hakika utakuwa na amani katika mipango yako.
Unaweza kutia neno Boss kwan hata mm nimesimamia harusi za wengi na sikua nimeoaNingekushauri ila ni vile umetaka waliooa ngoja waje
Hakuna lisilozungumzikaNjoo naye nikufungishe hiyo ndoa kibabe,kilichobakia nenda kanisani kwako mtafute kiongozi wa kiroho umalize,harusi Ni hiyari
Wapo wengi japo sikuona vbaya kuanzia humu nione namudu kiasi gani bila kusumbua sana watu. Japo majibu ya wengi niliyokutana nayo yamenikata maini hahahKama unajiweza kiuchumi tafuta event planner. If not, huna rafiki yoyote alieoa? Mchumba ako hana marafiki walioolewa? Mnaweza mkashirikiana wenyewe then kwenye kamati kila mtu anakaa na kamati yake
Nakuelewa vizuri BossHapa n wewe na mwenzako. Unataka li kitu kuubwa au unataka small n sweet?
Kwa uchumi ulivo, wachana na masinemarie.
Tafuta hela kias hapo, then ttafta hata bustani hapo kwenu, watu wale mchele hata kilo 50 na kilo chache za ng'ombe yaishe.
Tofaut na hapo subiri waanze kukupelekesha. Ukikubali ukweni wakupeleke hatua za mwanzo hata ndoani watakupelekesha pia.
Yoyote atakaekupa stress mwambie aje umuoe yeye maana ana kiherehere
Watu wa humu hujawajua? Kwanza watakwambia usioe ndoa ni mzigo ila ye yumo anakomaa mwaka wa 20 kwenye ndoa yake. Sa skia, inategemea we unataka sherehe ya aina gani.Wapo wengi japo sikuona vbaya kuanzia humu nione namudu kiasi gani bila kusumbua sana watu. Japo majibu ya wengi niliyokutana nayo yamenikata maini hahah
Umesimamia au umedhamini? Maana yako hebu fafanuaUnaweza kutia neno Boss kwan hata mm nimesimamia harusi za wengi na sikua nimeoa
Hongera. Kwanza kwa mila na desturi nyingi za kiafrika, ukishaposa ukakubalika na kulipa mahari, tayari umeshaoa. Unachokitaka wewe ni uthibitisho wa kidini/serikali na sherehe.Habari ya Uzima wanajamvi. Natumai wengi wetu, Mungu wetu wa Rehema ametuvusha Salama kufika mwaka 2023. Jambo la Kumshukuru sana Mungu.
Nijikite sasa kwenye Mada yetu husika wanajamvi. Kama ilivyoada kila mwanadamu huwa ana malengo yake husika ndani ya Mwaka mzima ili kujiweka juu zaidi katika maendeleo yake.
Mwaka 2023 ni mwaka ambao nimejishuhudia kabsa kwamba, miongo 3 kamili inatosha sasa kwa Kijana Mimi kuishi maisha ya Mume na Mke na kupunguza au kuacha kabisa tabia za uzinzi.
Ninamshukuru Mungu mchumba amenipatia na Hatua zote za awali zilikamilika mwishoni mwa mwaka 2022 (posa na Mahali) na Sasa kilichosalia ni Ndoa ili kusudi familia ya mke wangu mtarajiwa wanikabidhi Mke rasmi.
Ombi langu sasa, Ninaomba Ushauri wenu wa mawazo kwa wale ambao wamefanikiwa kufunga ndoa: Ni hatua gani napaswa kuzifuata sasa ili michakato yote iweze kwenda sawa? Mpaka sasa sijajua wapi naanzia na wapi namalizia!
List ya wanakamati watakaonisaidia hili swala ninayo kichwani na bila shaka hakuna atakayenigomea kwa hao wote.
Swala la kadi za harusi sijajua naliandaaje, je ni kwamba nikaripoti kanisani kwanza ili nijue muda wa harusi ndipo niandae kadi za harusi au niandae kwanza kwa utashi wangu na kuzigawa kwa watu watakaonishika mkono kwa hilo?
Najikuta nachanganyikiwa sana Tafadhali kwa mliofunga ndoa hivi karibuni na mnafahamu hatua zote mlizopitia naomba tusaidieni kimawazo ili kusudi sisi wageni tupate kunufaika katk Hili na tuje kuwasaidia wengine.
Tusaidiane ili kasherehe kawe kazuri nisije nikamuaibisha Muhaya wangu na familia yake.
NB: Ndoa kwa mipango yangu ni mwezi wa sita (6).
Sahihi kabisa mkuu ni hicho tuHongera. Kwanza kwa mila na desturi nyingi za kiafrika, ukishaposa ukakubalika na kulipa mahari, tayari umeshaoa. Unachokitaka wewe ni uthibitisho wa kidini/serikali na sherehe.
Nadhani katika wote walionielewa wewe utakuwa umenielewa zaidi Boss wangu ndicho kikubwa haswaa nilikuwa nakihitaji. Ukiachilia mbali gharama nilihitaji hatua kama hizi ili nitathmini mm mwenyewe uzito wake kwa maana binafsi napenda sana Ndoa ya mchana kweupe kanisani kuliko kujinyakulia tuNimesoma vizuri uzi wako. Kumbe unauliza pia na process za kanisani? We ni dhehebu gani? Kama ni kkkt unaenda kanisani kwako unakosali unawaambia. Watakuuliza maswali. Utaandikisha ndoa hapo kanisani kwenu au usharikani kwenu then kunakuwa na seminar ya wanandoa ambapo utaenda na barua ya utambulisho kutoka usharikani kwenu.
Baada ya hapo unapeleka barua dayosisi kutoka huko utapewa mlolongo mzima. Kama wewe ni Roman catholic sijui ila anzia kanisani kwenu pia utapewa mlolongo. Na uwaambie mwenzako kama ni dhehebu moja na wewe ama vipi. Mmepokea kipaimara? Vyote hivyo vinatakiwa.
Na kingine wapange kabisa wadhamini wa ndoa, watatakiwa kuwa na barua kutoka kwenye usharika wao. Watakua wanahudhuria semina pia. Sijajua kwa madhehebu mengine utaratibu ukoje