Msaada: Mke anataka ndoa ivunjike kwa kuwa mumewe anapewa vya ziada na mchepuko

sure mkuu,
fedheha na mahangaiko, unnyonge wa kisaikolojia kwa watoto wa kike na kiume wa familia zinazokumbanaga na kadhia hii hua ni hadi kaburini , achilia mbali majuto ya wahusika wakuu
kiongozi hili la mke kusomasoma meseji za simu ya mumewe na lenyewe limekaaje maana km lina kaukakasi kidogo nalenyewe. ebu liweke sawa
 
Mtumishi, Mama mchungaji Lamomy kipenzi changu,

Naheshimu sana ghadhabu zako katika hili baya zaidi aisee...

kukiri ni ungwana wa kiwango cha juu sana, na ni dhihirisho la ukweli na majuto ya kuililia Nuru, msamahaha, toba na Utakaso wa ukengeufu kwa binadamu na ni mwanzo mzuri sana wa kupata suluhu mujarabu yenye Baraka za Mungu, na huenda huo ndio ukawa msingi au mwanzo wa huyo mubaba kuwa mchungaji na nabii ili akafundishe watu wa Mungu machukizo yasiyompendeza Mungu...
Amen...
 
mkuu itakuwa umesomea sheria bila shaka maana sio bure una madini adhimu sanaπŸ™Œ
hapana mie si mwanasheria, ispokua ni mshirika katika suluhu na maridhiono kwenye mahusiano, familia, jamii, Kitaifa na kimataifa....
 
hapana mie si mwanasheria, ispokua ni mshirika katika suluhu na maridhiono kwenye mahusiano, familia, jamii, Kitaifa na kimataifa....
daah aisee mi ningekuwa mtawala wa nchi we ndo ungekuwa mwanasheria mkuu hata kama hujasomea uko vizuri mkuu
 


Mshauri:

Amuulize Mama yake ushauri maana yeye ndo ana kumbukumbu na taarifa za ugonjwa wake wa kichaa.
 
kwa hiyo wivu wake ni kuwa kwanini hajaliwa yeye TIGO ama?
 
Wajenge upya ndoa gani?? Ukichepuka umeshavunja uwaminifu kwa mwenzi wako. Mwaambie ache blah blah ampe binti wa watu talaka. Kwani wakati anafunga hakujua suala la kuchepuka ni mambo yanayovunja mahusiano ya mume na mke???
 
kiongozi hili la mke kusomasoma meseji za simu ya mumewe na lenyewe limekaaje maana km lina kaukakasi kidogo nalenyewe. ebu liweke sawa
kuna mjamaa moja aliwahi kuweka bandiko humu jukwaani lenye kichwa hiki, sijui kama nitakua nimemnukuu kiusahihi , kumradhi kwa hilo..

"Mfanye mwenzi wako kuwa rafiki na Mshikaji wako wa karibu"

My friend,
Ukifanya hivyo utamjua na kubaini, mipango na makusudio ya mwenzi wako mapema sana.

Mathalani, kama anaumwa, hana hela, anadaiwa, ameiba, anachepuka, anataka kutoroka, ana njaa, ana hamu nakadhalika nakadhalika...

Huko kwenye meseji ni mbali sana ingawa wengine tayari wameshavuka na kuhamia kwenye email na pdf hivi sasa.....
Ile lovely closeness na chemistry ya wenza kwenye ndoa na mahusiano huimarisha zaidi ndoa na kuepusha kasumba kama hii...
 
Wameowana ndoa ya dini ipi?

Kama ni Uislam hapo, mwanamke anatowa yeye talaka (khuluu), sifahamu imani zingine kuhusu uzinifu hukumu yake ni nini?
Kwa RC kwa vile yeye hajaingiliwa kinyume basi atashauriwa amsamehe mumewe, lakini ingekuwa kaingiliwa mwenyewe hapo ruksa kuomba kutengua ndoa.
 
Kuna sehemu nimekutag naomba ukaseme neno usizuge km hujaona πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hizi ndoa za miaka hii zinatisha!! Hapo mke anasumbuka kujitibu mayutiayi yasiyoisha kumbe mume anafanya vitu vya hovyo 😏

Huyo mwanamke aondoke kabla na yeye hajafanyiwa uharibifu mxiewwww!!!
Njoo unijambie ushuzi mahaba πŸ˜‹ Lamomy
 
Astaghafurullah
Huyo mke aanze kutoa tigo na yeye, kwakuwa yake ni mali mpya bwana wake ataachana na ile used ya mchepuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…