Msaada: Mke anataka ndoa ivunjike kwa kuwa mumewe anapewa vya ziada na mchepuko

Nae amjaribishe.....
 
sema ni aibu saan,watoto wanafaham baba anatifua mitaro pemben[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanajua namna ya kumaliza wenyewe, waache watu na mambo yao
 
are you serious? Mtu hawezi kumpenda mkewe na kumheshimu halafu awe na mchepuko, NEVER!!!!!!
 
Asikuambie mtu hapo ni kwerekweche,mtu kapewa uzazi wa mpango lazima adate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…