malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
- Thread starter
-
- #141
Mkuu Kuna mwanamke wamiaka29 anaweza kupewa mimba bila kutakaKwahiyo tumsuse mtoto kwasababu baba yake yupo na hataki kuwajibika?
.
.
Wanaume mna matatizo...mtu kampa mimba mtoto wa kike kamsababishia usingle maza (hatufahamu sababu za kutoishi pamoja, cases zipo nyingi)...bidada kaamua kusaidiana na mwenzake mtoto apate malezi hlf anatokea mwanaume mwingine kuleta vikwazo, Wala hajaombwa amsomeshe ni chakula tu.
Huwa nashangaa sana mnavyosema wanawake hawapendani lkn wanaume ndo hawajawahi kupendana, kutwa kuharibu jamii badala ya kurekebisha. Nyie ndio source ya jamii mbovu.
jamaa ana roho mbaya...yani weekend tu gubu je akikaa mwezi?Wanaume atupo hivyo kikubwa abadilike.Kwani ana kucost Tsh ngapi akija weekend?
Mbona kama Una gubu?
Hutaki mwanao apate mwenzie wa wa kucheza nae?
Umeandika kwa hasira bila kumsoma vizuri mwandishi,mwenye mtoto si msichana mdogo,pia huyo mama mwenye mtoto hataki kumhusisha malezi baba mtoto sababu huyo jamaa yupo na mwanamke mwengine,na jamaa hajali kiivyo.mwandishi asilazimishwe majukumu.Kwahiyo tumsuse mtoto kwasababu baba yake yupo na hataki kuwajibika?
.
.
Wanaume mna matatizo...mtu kampa mimba mtoto wa kike kamsababishia usingle maza (hatufahamu sababu za kutoishi pamoja, cases zipo nyingi)...bidada kaamua kusaidiana na mwenzake mtoto apate malezi hlf anatokea mwanaume mwingine kuleta vikwazo, Wala hajaombwa amsomeshe ni chakula tu.
Huwa nashangaa sana mnavyosema wanawake hawapendani lkn wanaume ndo hawajawahi kupendana, kutwa kuharibu jamii badala ya kurekebisha. Nyie ndio source ya jamii mbovu.
Hakuna ustawi wa jamii?..baba asuse kumlea mtoto wake kisa kaoa mke mwingine?..hell no,lazima awajibishweKwahiyo tumsuse mtoto kwasababu baba yake yupo na hataki kuwajibika?
.
.
Wanaume mna matatizo...mtu kampa mimba mtoto wa kike kamsababishia usingle maza (hatufahamu sababu za kutoishi pamoja, cases zipo nyingi)...bidada kaamua kusaidiana na mwenzake mtoto apate malezi hlf anatokea mwanaume mwingine kuleta vikwazo, Wala hajaombwa amsomeshe ni chakula tu.
Huwa nashangaa sana mnavyosema wanawake hawapendani lkn wanaume ndo hawajawahi kupendana, kutwa kuharibu jamii badala ya kurekebisha. Nyie ndio source ya jamii mbovu.
MWAnao tabia za kike anazo kwenye gene zake!Mkuu Hana tabia zakishenzi Ila tatizo nikuwa mtoto kashaadapti michezo yakike maana hata umletee vitu vya mchezo wakiume havitumii mda wote unkuta anacheza michez yakike namwezio Sasa kwangu naona nitatizo Hilo maaan mama mtu Hana habar kwake nisawa
Hahaa jamaa litakua liaskari jela maana Lina roho mbayaMke wako ana kazi loooh!
Sasa wewe mazingira ni ya kike unategemea nini hapo!?Hakuna majirani mazingira yanayomzunguka niyakike
MWAnao ndo anakulia tabia chafu!!Mkuu ushazungumzia wangu wamwingne Kama anakulia ktk tabia chafu utakubali awe mda wote na mwanao
Wee nae acha uchoyoHabari wakuu mke wangu ana dada yake ambaye kazalishwa mtoto mmoja na Dada yake hayuko katika ndoa, hajaolewa na aliyemzalishaalikuja akaoa mwanamke mwingne
Sasa basi mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa umri sawa na mtoto wa Dada yake..mke wangu amekuwa akimchukua mtoto wa Dada yake kila ijumaa na kumrudisha Jumapili kwa Dada yake
Sasa akiwa anataka kumrudisha mtoto hataki kurudi kwa mama yake anataka kuendelea kuishi nasi wakati huo baba wa mtoto hana muda na mtoto wake kwa mahitaji ya mtoto yaani amuhudumii
Mama wa mtoto hataki hata siku moja kumpelekea mtoto kwa baba yake sababu ana mke mwingine atamtesa Sasa amekuwa akimsukumia kwangu kwa kigezo Cha kuja kucheza na mwenzake
Je, ni sawa baba wa mtoto yupo na mama wa mtoto kukataa mtoto kwenda kwa baba kutembea kwa kisingizio Cha mama wa kambo atamtesa hivyo kuona ni sahihi aende kwa mama yake mdogo hali yakuwa baba yupo na anajichana na maisha?
Daa Kwaiyo mwamba nae si baba wala nini aiseeAnazoea michezo ya kike kwa sababu hana baba angekuwa na baba angekuwa mtoto wa kiume na tabia za kiume
Ina maana angekuwa wako huyo mtoto wa kike ungesema asicheze na kaka ake kisa ataadapt michezo ya kike?Mkuu sio kiroho mbaya kunatabia ambazo mtoto kashaadapt zakike namama mtu anaona kawaida kwake
Samaki hukunjwa angali mbichi... wewe kama mwanaume na kama mtoto wa kiume basi muweke karibu na wewe sana. Ukitoka mchukue kidogo kutembea nae awe anakaa na wanaume wenzake au hata mtaani km wapo size yake yake muweke acheze nao.Mkuu lengo siko uko mtoto kashaanza kubeba tabia zakike sababu ya mda mwingi yupo nawakike namama harekebishi kwake nisawa
sio mtoto wao, mtoto wa kike wa miaka 6 ni wa mke wa Malembeka soma Kasie hajajibiwaBaba na mama wa mtoto wake chini wajue watasaidiana vip kumlea mtoto wao,sababu wao ndo wazazi wake na ndo walomleta hapa duniani,wasikupe stress wewe.
Basi kuna asilimia huyo mtoto wa kike ni wa mkeo kabla hamjakutana.
malembeka 18 , mm nakuunga mkono sana na kweli silei mtoto wa mtu, kwa hiyo mtoto mrudishe kwao kwa kumuita baba wa mtoto pembeni au hata BarMkuu Kuna mwanamke wamiaka29 anaweza kupewa mimba bila kutaka
Kwa msisitizo WEWE NI MCHOYOMkuu kwangu Wala Sina tatizo
Tatizo sio kupewa mimba, tunafahamu jinsi mahusiano yalivyo..both me na ke ni tatizo, kushindwa kuoana ni Jambo lingine. Lakini inapotokea hivyo basi tujifunze kurekebisha baadhi ya mambo ili kukuza kizazi bora na sio kukomoana. Mwisho wa siku watoto ndio wanapata madhara kwa ubinafsi wetu.Mkuu Kuna mwanamke wamiaka29 anaweza kupewa mimba bila kutaka
Huyu mwenzetu hajaombwa alee mtoto wa mtu, bali ni mtoto wa shemeji yake kuja mara kwa mara.Kulea mtoto ambaye unajua baba yake yupo anazungusha mbupu mjini hapa ni ujinga kabisa,linahitaji moyo sana..labda tu iwe huyo baba ana matatizo yanayofanya ashindwe kuhudumia.
Waafrika especially wabongo tunapenda kubebesha watu mizigo isiyowahusu..no wonder nchi yetu ipo karibia mkiani kwenye list za nchi na furaha duniani
Hahhaha, hovyo kabisa.Baada ya wananzego kumshikia bango jamaa kabadili gear angani