Darkhorse001
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 306
- 538
Dah [emoji23][emoji119]!Mwamposa angekuwa na huo uwezo pasingekuwa na wagonjwa mahospitalini
Poleni sana kwa changamoto mnazopitia ndugu zetuWako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.
Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
Pole sana mkuuWako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.
Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mwamposa angekuwa na huo uwezo pasingekuwa na wagonjwa mahospitalini
Aisee, haya maneno sio mazuri hata kidogo, hujafa hujaumbika ndugu. Kama hatuwezi kuwa faraja kwa wengine basi tusiwavunje moyo wanaohitaji hiyo faraja.Ndo ushazaa bubu sa utafanyaje?
Anamawili mapepo au kuna mtu anamtishia so kaharibika kisaikolojia au bado muda wake dada angu alikaa hadi latatu ndio akanza kusoma kuandika vyema so hawa watoto niwazito kuongea ila wanaakili kinyama sana so ataongea tuWako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.
Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
Mk.........du wako huna akiliNdo ushazaa bubu sa utafanyaje?
Mtoa mada hajahitaji faraja. Kaja kuomba ushauriAisee, haya maneno sio mazuri hata kidogo, hujafa hujaumbika ndugu. Kama hatuwezi kuwa faraja kwa wengine basi tusiwavunje moyo wanaohitaji hiyo faraja.
Asante sana. Hospitali tumeshampeleka mara 2. Wamemchunguza, wanasema tuendelee kum-monitor. Hana tatizo la ukiziwi, ingawa mara nyingi akiitwa itamchukua relatively muda mrefu kurespond.Pole sana mkuu kamchunguze hospital na masikio pia kama anasikia vizuri, hii inatokeaga nimeshawahi kuona visa vya namna hii lakin mwishowe ataongea Tu, pia penda Mwenywe kumuongelesha utabaini vingi
Asante sana. Tunaendelea kujifunza. Tutampeleka mkuuHyo ni Kati ya childhood disorders!!
Nadhan mpeleke kwa watu wa Saikolojia watawambia nn Cha kufanya
Angalia hyo no 134...kama vle inaendana na sifa za mwanao View attachment 2710964
Natumai nyote mko vyema. Moja kwa moja kwenye mada, nina mtoto wa kiume ambaye mwezi wa sita mwaka huu ametimiza miaka miwili. Stages nyingine zote kama kukaa, kutambaa, kutembea, kuanza kuota meno etc. alizipitia kwa wakati. Akiwa na around mwaka mpaka mwaka na nusu alikuwa anaweza kusema mom, dady na kutaja vitu vichache. Lakini ghafla alipoteza uwezo wa kuongea. Kwa sasa anatoa tu sauti zisizo na mpangilio wowote wa lugha. Ninaomba kwa yeyote mwenye uzoefu, anayefahamu tatizo na tiba, anayemfahamu daktari au anayeweza kusaidia kwa namna moja ama nyingine, asaidie. Kwa nyumbani anaishi na kaka yake wa miaka 5, ambae anaongea vizuri tu. Tumemuanzisha pia daycare ili achangamane na watoto wenzake, amefanikiwa tu kuchangamka na kuongeza interaction, lakini suala la kuongea bado limekuwa changamoto. Msaada tafadhali
Asante sana mkuu. Umeeleweka. Kwa sasa familia iko mkoani. Tumeshampeleka kwa madaktari wa watoto, wanasema waendelee kumuangalia hadi atimize miaka 3, ili dalili zijitokeze. We'll also try the speech therapists. Dhumuni kubwa tusijeambiwa huko mbele kwamba hali ya mtoto ingetengemaa kama tungewahi matibabu.Habari!
Pole kwa yote mnayopitia kifamilia.
Ili kujua kama mtoto au mtu fulani hajaweza kufikia uwezo wake wa kuongea, ni vyema kuwa unafahamu kwa umri wake anatakiwa kuwa ana uwezo upi wa kutengeneza maneno. Wakati mwingine mtoto anaweza kuanza kwa spidi kubwa na kurejea kwenye hali yake tarajiwa au kinyume chake.
Tunazaliwa na uwezo tofauti, lakini mazingira pia huweza kuongezea au kupunguza uwezo husika.
Matatizo ya kutokuweza kutoa maneno kwa kiasi tarajiwa yakibeba maana au bila maana kulingana na umri, kunaweza kusababishwa na mambo haya:
1: Kutokuwa na uwezo wa kusikia
2: matatizo ya misuli ya ulimi
3: maendeleo dumavu ya ubongo
4: tatizo maalumu kwenye cerebral cortex.
5: matatizo ya kisaikolojia
6: mchango hasi au chanya wa mazingira yanayomzunguka mhusika.
7: madhira yaliyoanza tangu wakati wa ujauzito
Ili kuweza kujua kwa uhakika ni nini chanzo, tatizo halisi, kwa kiasi gani na nini kifanyike ni vyema zaidi kuhusisha SPEECH THERAPIST/mtaalamu maalumu wa tiba ya kuongea.
Hospitali kubwa hasa za rufaa huwa na vitengo hivi. Nina uhakika pia kwa hospitali kama Agha Khan/Dar-es-salaam wana kitengo husika. Jaribu kufatilia kwa hospitali za ngazi hiyo hapo unaweza kuwapata wahusika na ukasaidika kupitia wataalamu hawa.
NB: Ufuatiliaji utaanza tangu ujauzito mpaka hapo alipofikia, pia jamii ya wahusika/wazazi ni vyema kupata taarifa zao.
Aisee!! Mungu akusamehe Mkuu.Ndo ushazaa bubu sa utafanyaje?
Sio ana usonji (autism) mpeleke kwa wataalamuWako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.
Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
Hatujui. Ndio tunajaribu kupata experience na misaada ya mawazo ya wadau.Sio ana usonji (autism) mpeleke kwa wataalamu
Ni kweli bado mdogo kumkatia tamaa. Lakini alishaanza kusema mom, dad, one, two... akiwa na mwaka na nusu. Ghafla vikapotea. Ndo tunajaribu kuangalia njia za kurejesha kauli mdomoni mwakeMiaka miwili bado mdogo, hata hivyo unajaribu kumuongelesha...?
Kijana wangu nilikua namwita naanza kumwambia moja, mbili anafuatisha hiyo inasaidia kulainisha ulimi
Bado naamini kwenye njia za asili kumpeleka hospital iwe hatua ya badae