Msaada: Mtoto kupoteza uwezo wa kuongea

Msaada: Mtoto kupoteza uwezo wa kuongea

Pole mkuu kuwa na subira wakati ukifatilia matibabu
 
Ubongo wa mtoto ni karatasi nyeupe, kila unachomlisha kinajaa kwenye akili yake, lakini kumbuka unatumia penseli hivyo basi usisahau kurudia vile unavyomwambia itamsaidia kukariri ama kukumbuka
Asante mkuu. Tuna kaka yake wa miaka 5, tulikwenda nae vyema, japo malezi ya firstborn. All in all tutaongeza juhudi ya kumuongelesha
 
Mwanangu Yuko kama wako, nimepeleka Kwa madoctor wote wa maskio, kinywa wakubwa.lakini wanasema Yuko sawa.ila kuongea haongei.akikasirika anaongea maneno hatuyaelewi. Kama mzazi inaumiza, but I have strong faith that one day she will be able to talk just like other kids.Love my child to death.
Pole sana mkuu. Mungu awafanyie wepesi. And may your faith be rewarded handsomely.
 
Miaka 2/3 ni kawaida sana. Usitishike ataongea. Nimelea watoto naelewa. Wanatofautiana sana. Akifika 4 haongei kabisa hapo una haki ya kuwa na wasiwasi. Kama ukimwita anasikia na huwa unamsikia akiongea baadhi ya maneno hata kama si kwa usahihi usihofu.
Asante sana kwa kutupa moyo. Ubarikiwe
 
Wako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.

Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
Pole sana
 
Aombewe ataongea au bado muda watoto wasikuhizi lazima kitu fulani kinachelewa ila ataongea pwnda kumuongelesha kucheza naye kila ukicheza naye muongeleshe ila mimi ningeenda kwa waganga siku hizi wanadamu. Siwaamini.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa miaka miwili unaanza kupata mawengee...!! Mpe muda mtoto maneno yashakuwa mengi mnamvuruga tuu.. watoto wa kiume wanachelewa sana kuongeaa usijeanza mpa midawaa mtoto
 
Aombewe ataongea au bado muda watoto wasikuhizi lazima kitu fulani kinachelewa ila ataongea pwnda kumuongelesha kucheza naye kila ukicheza naye muongeleshe ila mimi ningeenda kwa waganga siku hizi wanadamu. Siwaamini.
Tunamuombea. Mungu atafanya wepesi kwa wakti sahihi
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa miaka miwili unaanza kupata mawengee...!! Mpe muda mtoto maneno yashakuwa mengi mnamvuruga tuu.. watoto wa kiume wanachelewa sana kuongeaa usijeanza mpa midawaa mtoto
Asante sana kwa ushauri.
 
Wako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.

Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
mpe muda,ukute ana usonji na usonji n dalili ya geniuos
 
Natumai nyote mko vyema. Moja kwa moja kwenye mada, nina mtoto wa kiume ambaye mwezi wa sita mwaka huu ametimiza miaka miwili. Stages nyingine zote kama kukaa, kutambaa, kutembea, kuanza kuota meno etc. alizipitia kwa wakati. Akiwa na around mwaka mpaka mwaka na nusu alikuwa anaweza kusema mom, dady na kutaja vitu vichache. Lakini ghafla alipoteza uwezo wa kuongea. Kwa sasa anatoa tu sauti zisizo na mpangilio wowote wa lugha. Ninaomba kwa yeyote mwenye uzoefu, anayefahamu tatizo na tiba, anayemfahamu daktari au anayeweza kusaidia kwa namna moja ama nyingine, asaidie. Kwa nyumbani anaishi na kaka yake wa miaka 5, ambae anaongea vizuri tu. Tumemuanzisha pia daycare ili achangamane na watoto wenzake, amefanikiwa tu kuchangamka na kuongeza interaction, lakini suala la kuongea bado limekuwa changamoto. Msaada tafadhali
Acha wasiwasi. Kwani mtoto anatakiwa aongee na umri gani.

Miaka 2 bado sana.
 
Wako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.

Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
Hospital gani hiyo mkuu wanakata vilimi??? Mshangao mkubwa sana
 
Back
Top Bottom