Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Ubongo wa mtoto ni karatasi nyeupe, kila unachomlisha kinajaa kwenye akili yake, lakini kumbuka unatumia penseli hivyo basi usisahau kurudia vile unavyomwambia itamsaidia kukariri ama kukumbukaHatujui. Ndio tunajaribu kupata experience na misaada ya mawazo ya wadau.
Ni kweli bado mdogo kumkatia tamaa. Lakini alishaanza kusema mom, dad, one, two... akiwa na mwaka na nusu. Ghafla vikapotea. Ndo tunajaribu kuangalia njia za kurejesha kauli mdomoni mwake
Wangu alitimiza miaka mitatu hatoi neno hata moja!! Nilipeleka kwa wataalam wakasema mzima na alinishtua zaidi alianza kuongea kama bubu!!Wako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.
Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
Hii inaitwa autismWako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.
Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
Mpeleke kwa dr.kija muhimbili hizo ni dalili za autismHatujui. Ndio tunajaribu kupata experience na misaada ya mawazo ya wadau.
Ni kweli bado mdogo kumkatia tamaa. Lakini alishaanza kusema mom, dad, one, two... akiwa na mwaka na nusu. Ghafla vikapotea. Ndo tunajaribu kuangalia njia za kurejesha kauli mdomoni mwake
Kuna uhovyo gani kwenye jibu langu? (Nisaidie ili nielewe nsije kurudia)Aisee!! Mungu akusamehe Mkuu.
Mwenzio anajaribu kutafuta msaada na faraja, Unampa majibu ya hovyo.
Hivi Una mtoto? Unaujua uchungu wa kuwa
Mzazi?
Natamani nikutukane, Ila nimejizuia.
Ukimpa wewe ushauri inatoshaMtoa mada hajahitaji faraja. Kaja kuomba ushauri
Good to knowUkimpa wewe ushauri inatosha
Mitatu bado usikate tamaa wangu ndio anatafuta sita ndo kaweza kuongea asilimia 80, kaanza kidogo kidogo akiwa na miaka 5.Wako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.
Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
Si hadi awe na Imani hizo.Mkumbuke machimbuko yao mababu na mababu zao mizim ile ya ukoo mkasali makaburini muombe dua watoto wapate baraka za wazee wa zamani, mkiendelea kujifanya wakishua mtatesa watoto
madogo hao wapiganyeto...vichwani ni upepo mtupu achana naeAisee, haya maneno sio mazuri hata kidogo, hujafa hujaumbika ndugu. Kama hatuwezi kuwa faraja kwa wengine basi tusiwavunje moyo wanaohitaji hiyo faraja.
Hakuna ububu hapo.Ndio maana tunauliza kama kuna lolote wazazi tunaweza fanya kumsaidia mtoto. Kama Mungu ameamua kutupatia bubu, atakuwa amejua tuna nguvu ya kumlea, na wallah tutamlea.
Aisee nimetafuta hii post. Nliona mtu mwingine amepost same thing on insta jana anasema aliambiwa mtoto amekuwa na too much toxins in the body lead ikiwa ndio kwa kiwango kikubwa. Mwingine akacomment akasema wa kwake aliambiwa ana dalili za autism ndio maana. Sasa sijui which is which labda ujaribu kufanya a little research. Nakutakia mafanikio na namwombea mwanetu awe sawaNatumai nyote mko vyema. Moja kwa moja kwenye mada, nina mtoto wa kiume ambaye mwezi wa sita mwaka huu ametimiza miaka miwili. Stages nyingine zote kama kukaa, kutambaa, kutembea, kuanza kuota meno etc. alizipitia kwa wakati. Akiwa na around mwaka mpaka mwaka na nusu alikuwa anaweza kusema mom, dady na kutaja vitu vichache. Lakini ghafla alipoteza uwezo wa kuongea. Kwa sasa anatoa tu sauti zisizo na mpangilio wowote wa lugha. Ninaomba kwa yeyote mwenye uzoefu, anayefahamu tatizo na tiba, anayemfahamu daktari au anayeweza kusaidia kwa namna moja ama nyingine, asaidie. Kwa nyumbani anaishi na kaka yake wa miaka 5, ambae anaongea vizuri tu. Tumemuanzisha pia daycare ili achangamane na watoto wenzake, amefanikiwa tu kuchangamka na kuongeza interaction, lakini suala la kuongea bado limekuwa changamoto. Msaada tafadhali
Ina maana mwanao hawajakueleza ana usonji?Wako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.
Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
Dalili za usonji hizi mkuuhuwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii..
Usihofu sana, jaribu pia kwenda kumuona speech therapist. Ninajua watoto ambao wameongea na miaka mitatu na zaidi. Kinachotokea inawezekana anachanganyikiwa ni lugha gani ajifunze hasa kama mnatumia lugha zaidi ya moja kuwasiliana hapo nyumbani.Natumai nyote mko vyema. Moja kwa moja kwenye mada, nina mtoto wa kiume ambaye mwezi wa sita mwaka huu ametimiza miaka miwili. Stages nyingine zote kama kukaa, kutambaa, kutembea, kuanza kuota meno etc. alizipitia kwa wakati. Akiwa na around mwaka mpaka mwaka na nusu alikuwa anaweza kusema mom, dady na kutaja vitu vichache. Lakini ghafla alipoteza uwezo wa kuongea. Kwa sasa anatoa tu sauti zisizo na mpangilio wowote wa lugha. Ninaomba kwa yeyote mwenye uzoefu, anayefahamu tatizo na tiba, anayemfahamu daktari au anayeweza kusaidia kwa namna moja ama nyingine, asaidie. Kwa nyumbani anaishi na kaka yake wa miaka 5, ambae anaongea vizuri tu. Tumemuanzisha pia daycare ili achangamane na watoto wenzake, amefanikiwa tu kuchangamka na kuongeza interaction, lakini suala la kuongea bado limekuwa changamoto. Msaada tafadhali
Mkuu nenda hospital watakusaidia zaidi inaweza kuwa ana autism !! Mpeleke kwa madaktari wa akili wako vizuri watakudadavulia kwa usahihi !Wako angalau.. Wangu next mwez wa 9 anatimiza 3yrs. Haongei kabisa. Nshampelema had hosp wakakata kile kilimi cha chini ya ulimi, lkn wapi. Anaongea maneno yasiyoeleweka.. Kusikia anasikia, ukimwita anakuja, katuni akisikia inaimba sebulen na tupo chumban anakurupuka anaenda sebulen. Means anasikia... Kuongea sasa..hasemi hata mma, mama au lolote.
Akitaka maji anakuletea kikombe.. Chooni anavua nguo then anakushika mkono, km kuchangamana apa home na kaa na watoto wawili wengine, achilia mbali majiran.. Ingawa huwa hachezi na wenzie.. Yy anacheza peke yake, na pembeniii.. Au anakaa ndani
Watoto hawafanani ktk ukuaji as long as haumwi. Na hiyo ya kubadilika ni Transformation tu anaenda kuongea vizuri baada ya hapo.Natumai nyote mko vyema. Moja kwa moja kwenye mada, nina mtoto wa kiume ambaye mwezi wa sita mwaka huu ametimiza miaka miwili. Stages nyingine zote kama kukaa, kutambaa, kutembea, kuanza kuota meno etc. alizipitia kwa wakati. Akiwa na around mwaka mpaka mwaka na nusu alikuwa anaweza kusema mom, dady na kutaja vitu vichache. Lakini ghafla alipoteza uwezo wa kuongea. Kwa sasa anatoa tu sauti zisizo na mpangilio wowote wa lugha. Ninaomba kwa yeyote mwenye uzoefu, anayefahamu tatizo na tiba, anayemfahamu daktari au anayeweza kusaidia kwa namna moja ama nyingine, asaidie. Kwa nyumbani anaishi na kaka yake wa miaka 5, ambae anaongea vizuri tu. Tumemuanzisha pia daycare ili achangamane na watoto wenzake, amefanikiwa tu kuchangamka na kuongeza interaction, lakini suala la kuongea bado limekuwa changamoto. Msaada tafadhali