Leejay49 baby hii ni kweli?Kila kitu lazima kiwe na kiasi
Nafikifiri umemuelewa mtoa mada
- Unapokula chakula lazima uwe na kiasi ukizidisha inakuwa dhambi yaani ulafi. Ulafi unakubalika?
- Tendo la ndoa lazima liwe na kiasi, likizidi inakuwa siyo tendo la ndoa tena bali ni chukizo na ni dhambi.
Dah ila sisi sijui tunataka nn 😝😝😝Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Hiyo sex haitumii muda?. Ridhikeni na mnachopewa na wenza wenu!Inaumiza mwenzi wako kutoshare muda na wewe, kuna watu mke/ mume ni kitandani tuu akimaliza katoka.
Nimechekaa snaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unaoa demu kwa sababu ya tako na utamu wa k. Lakini kichwani zero, anachoweza ni kukusikiliza na kuitikia tu NDIO...SAWA, hana cha kuchangia
Certified Hater 😂Hakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
Aswaa 👌Hakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.
Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
Hiyo ni silaha ya mwanaume kuweka distance ili usijue madudu yake. Ukikaa naye so close utadukua mambo yake, mara ushike simu yake.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Mkuu ndivyo ilivyo kama alivyosema hapo ndugu yako ndivyo anavyonifanyiaga..
Shukuru mungu wenzako wanatumia dildoHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Hahahaha kwa kweli Hali ngumu Hadi kwa ndoaAlafu kuna mambwiga wanawazuia machangudoa., Namna hii kweli?
Mume yupi unayemjua ambaye alikuwa anakupa muda wa kuongea na hapendi sex?Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.