Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu lazima kiwe na kiasiSijakuelewa hutaki kugongwa na mumeo?
Tatizo la kupendana mkiwa ndani ya ndoa,ilitakiwa mnapendana kwanza ndiyo mnaingia kwenye ndoa, na siyo mnaingia kwanza kwenye ndoa ndiyo mnaanza kupendana.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
Mruhusu aoe mke wa pili, ili akisex huko kwako zinabaki stori tuHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
haswaa ni kufanya wajibu wako basi mengine mwachie mwenyewe na mihemko yake. Walipoitwa viumbe dhaifu sio kwa bahati mbayaSiku pia akikutana na mkunaji mzuri kuliko wewe , atamwagiwa sifa na wewe kutukanwa. Kweli hapa wanaume ni kufanya unachokiweza na wala usiwawazie.
sio yeye tu wanawake wengi ni makapiHuna akili ww mwanamke
Mmeo ni introvert hata mimi nikiri kipindi cha mwanzo nilikuwa niko hivyo but kadri mda ulivyokuwa unaenda nikawa na change hasa nlikuwa siyo mzungumzaji sana.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
[emoji1787][emoji1787]Babu zetu walikua hawapigi chini, sisi wajukuu kazi ni moja tu akizingua piga chini
Nachukia hii kituHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah %100Jifunze kuzungumza nae...
Utakuta huyo jamaa akiwa na mchepuko anaongea kama redio.