Msaada: Mwanamke niliyezaa naye alienda kwao baada tu ya kujifungua, hataki nimuone mtoto

Kw
Nenda kwao..wakakutambue
Kwao wananitambua hata wakati ameenda kujifungua ni mama yake ndio tulikuwa tunawasiliana nae. Mama zake mdogo wameshawahi kukaa kwangu kwa siku kadhaa kwa vipindi tofauti.
 
Mkuu kitu cha kwanza fungua kesi upime DNA kuthibitisha kama mtoto ni wako,
Kisha mambo mengine yafuate,

Mtoto kaandikishwa kwa jina lako? Yaani kwa ubini wako?
Halali hua haipotei,

Pole sana mkuu,
Good luck
 
Vijana wa siku hizi nani kawaloga? Unahitaji kuambiwa nini kwamba mtoto si wako?

Tafuta mtoto wako kwingine. Acha ujinga
Hahaa mkuu kutafuta sio suala kubwa kama kuthibitisha ili badae tusijuane.
 
Mkuu kitu cha kwanza fungua kesi upime DNA kuthibitisha kama mtoto ni wako,
Kisha mambo mengine yafuate,

Mtoto kaandikishwa kwa jina lako? Yaani kwa ubini wako?
Halali hua haipotei,

Pole sana mkuu,
Good luck
Asante sana mkuu.
Mtoto kaandikishwa kwa jina langu ndio sababu mwanzo process zote zilifanyika kwangu from kupima mimba na kuanza clinic alipokaribia kujifungua ndio akaondoka hata jina la mtoto nilimpa mimi.
 
Sababu ni hii hapa,inaonyesha hakuna mawasiliano mazuri kati yenu na ndio maana hata sasa unaishi na mwanamke mwingine,
Na kama kwao wameshajua una mke mwingine wakati mtoto wao umemzalisha muda si mrefu wamekuchukia.hawakutaki.
La msingi ni kama unavyosema hapo juu wakupe msimamo kama mtoto ni wako uwajibike huduma,na kama si wako upite hivi...
Hapo kuna mambo mengi kati yako na huyo " mzazi" mwenzàko.
 
Hahaa mkuu kutafuta sio suala kubwa kama kuthibitisha ili badae tusijuane.
Unapoteza muda bure. Dada wa watu kajitahidi kukupa ukweli indirectly wewe unashupaa.

Kwani libelous halisimami utafute mtoto wako.

Achana na huyo. Wewe ulikuwa baba mlezi. Baba mzazi kashapewa majukumu yake na kayakubali

Maisha lazima yasonge mbele.
 
Kw
Kwao wananitambua hata wakati ameenda kujifungua ni mama yake ndio tulikuwa tunawasiliana nae. Mama zake mdogo wameshawahi kukaa kwangu kwa siku kadhaa kwa vipindi tofauti.
Kutambua sio kukujua ni kwa kutoa posa na kulipa mahari.bahati mbaya tayari una mtu mwingine unaishi nae
 
Jirani yangu mwanae kampa baba wawili baba og anamuheshimu baba fake anapigwa mizungusho kama wewe na matumizi anatoa
 
Mtoto so wako
 
Asante sana mkuu.
Mtoto kaandikishwa kwa jina langu ndio sababu mwanzo process zote zilifanyika kwangu from kupima mimba na kuanza clinic alipokaribia kujifungua ndio akaondoka hata jina la mtoto nilimpa mimi.
Uhalali wa kujua ni mwanao au sio mwanao utathibitishwa scientifically kupitia DNA test,

Usikate tamaa wala usiache kutoa matumizi ya mtoto,hata kama itakua sio wako basi fanya utakua kama ulitoa sadaka kwa malaika,

Kua strong bro na ukweli utajulikana,jaribu kuongea na Mama wa mtoto ili kujua sababu hasa inayopelekea wao kutokutaka wewe kumuona mtoto,usipopata majibu ya kuridhisha nenda kisheria,

Sheria zipo ili kutatua matatizo kama haya,usivunjike moyo kwa comments za JF.
 
DNA kwa tanzania ukipima lazima upigwe tu labda aende kenya bongo miyeyusho sana kwenye inshu za DNA
 
Achana nae nature itaamua hapo badae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…