- Thread starter
- #41
Nikweli na ndio sababu nikajaribu ongeaMficha maradhi kifo umuumbua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli na ndio sababu nikajaribu ongeaMficha maradhi kifo umuumbua tu
Ndio sababu nikoana bora nifanye hili suala private sababu mwenye nia ya kusaidia ataguswa na kuja niuliza private, ila hapa nitakacho ambulia ni matusi mazito.Wewe ni mwanamke au mwanaume au upinde? Tuanzie hapo kwanza. Maneno "Tanzaman" na "Uwiii" yanakimzana
Hapana sijapatwa na ugonjwa wowote wa ngono ni tatizo lingine.Kwa jinsi unavyoona aibu kuelezea. Watu wengi wamehisi umepata ugonjwa unaoenezwa kwa ngono.
Kuna methali inasema mficha maradhi kifo humuumbua
Ndio sababu nikoana bora nifanye hili suala private sababu mwenye nia ya kusaidia ataguswa na kuja niuliza private, ila hapa nitakacho ambulia ni matusi mazito.
Pole sana. Sasa kwanini usiende Hospital tu?uNajua kuna mambo ukitaka msaada inabidi uombe na atakaye guswa ndio atakupa mshaada wa kweli nikisema niweke hapa wengi watachukulia kama ujinga na hawata nipata ushauri unaopaswa sana sana nitaambulia matusi zaidi.
Kha! Mkuu, kwani mpaka sasa hujapata (Hujaambulia) matusi???uNajua kuna mambo ukitaka msaada inabidi uombe na atakaye guswa ndio atakupa mshaada wa kweli nikisema niweke hapa wengi watachukulia kama ujinga na hawata nipata ushauri unaopaswa sana sana nitaambulia matusi zaidi.
Usiogope.Jipe moyo. Matusi kamwe hayamdhuru mtu lakini hiyo shida yako ambayo ni ya kiafya, yaweza kukudhuru sana.Ndio sababu nikoana bora nifanye hili suala private sababu mwenye nia ya kusaidia ataguswa na kuja niuliza private, ila hapa nitakacho ambulia ni matusi mazito.
Mkuu msaad aisee huu ugonjwa unanisumbua mkuu mimi na wife hiyo uliyoandika ni dawa ganiKama ni Ghono
T.AMOXYCLAV 625MG BD ×7/7
Upo serious? PMMkuu msaad aisee huu ugonjwa unanisumbua mkuu mimi na wife hiyo uliyoandika ni dawa gani
Acha uchokouNajua kuna mambo ukitaka msaada inabidi uombe na atakaye guswa ndio atakupa mshaada wa kweli nikisema niweke hapa wengi watachukulia kama ujinga na hawata nipata ushauri unaopaswa sana sana nitaambulia matusi zaidi.
Shukrani sana kwakoUsiogope.Jipe moyo. Matusi kamwe hayamdhuru mtu lakini hiyo shida yako ambayo ni ya kiafya, yaweza kukudhuru sana.
Sija tukanwa ila kuna maneno ambayo yanaweza pelekea huko .Kha! Mkuu, kwani mpaka sasa hujapata (Hujaambulia) matusi???
Nimesha pata ushauri kwa Dr mmoja teari nanina mshukuru sanaPole sana. Sasa kwanini usiende Hospital tu?
Maana hadi sasa naona watu hawajaguswa.
Shukran kwako ila bahari njema sija patwa na hilo gonjwa .Kama ni Ghono
T.AMOXYCLAV 625MG BD ×7/7
Nilikuwa ninatafuta pa kuanzia nime shapata ushauri kwa sasa nweza kwenda hospitali kwa vipimoKamwone dokta face 2 face kama kujilipua huku JF umeshindwa
Mficha maradhi kifo humuumbua wewe sema tatizo usaidiweInakua ngumu kidogo kuelezea tatizo hapa ningependelea kwa private zaidi kama itawezekana ninashukuru kwa ushauri wako pia
Kunywa maji ya vuguvugu kila asubuhi unapoamkaNimepatwa na mtihani mmoja mzito na sijui kinachoendelea kwa sasa naomba kama kuna doctor humu asiye judge makosa ya mtu nimuelezee anipatie ushauri kwa sababu ni jambo gumu kidogo kulielezea ana kwa ana.
Pole sana kwa mjibu wa data za simu yako wewe ni mwanaume na unafanya ushoga kiufupi unavutiwa na jinsia yakoNimepatwa na mtihani mmoja mzito na sijui kinachoendelea kwa sasa naomba kama kuna doctor humu asiye judge makosa ya mtu nimuelezee anipatie ushauri kwa sababu ni jambo gumu kidogo kulielezea ana kwa ana.