Msaada: Nahitaji Daktari yeyote anisaidie

Msaada: Nahitaji Daktari yeyote anisaidie

Wewe ni mwanamke au mwanaume au upinde? Tuanzie hapo kwanza. Maneno "Tanzaman" na "Uwiii" yanakimzana
Ndio sababu nikoana bora nifanye hili suala private sababu mwenye nia ya kusaidia ataguswa na kuja niuliza private, ila hapa nitakacho ambulia ni matusi mazito.
 
Kwa jinsi unavyoona aibu kuelezea. Watu wengi wamehisi umepata ugonjwa unaoenezwa kwa ngono.

Kuna methali inasema mficha maradhi kifo humuumbua
Hapana sijapatwa na ugonjwa wowote wa ngono ni tatizo lingine.
 
uNajua kuna mambo ukitaka msaada inabidi uombe na atakaye guswa ndio atakupa mshaada wa kweli nikisema niweke hapa wengi watachukulia kama ujinga na hawata nipata ushauri unaopaswa sana sana nitaambulia matusi zaidi.
Pole sana. Sasa kwanini usiende Hospital tu?

Maana hadi sasa naona watu hawajaguswa.
 
uNajua kuna mambo ukitaka msaada inabidi uombe na atakaye guswa ndio atakupa mshaada wa kweli nikisema niweke hapa wengi watachukulia kama ujinga na hawata nipata ushauri unaopaswa sana sana nitaambulia matusi zaidi.
Kha! Mkuu, kwani mpaka sasa hujapata (Hujaambulia) matusi???
 
Ndio sababu nikoana bora nifanye hili suala private sababu mwenye nia ya kusaidia ataguswa na kuja niuliza private, ila hapa nitakacho ambulia ni matusi mazito.
Usiogope.Jipe moyo. Matusi kamwe hayamdhuru mtu lakini hiyo shida yako ambayo ni ya kiafya, yaweza kukudhuru sana.
 
Nimepatwa na mtihani mmoja mzito na sijui kinachoendelea kwa sasa naomba kama kuna doctor humu asiye judge makosa ya mtu nimuelezee anipatie ushauri kwa sababu ni jambo gumu kidogo kulielezea ana kwa ana.
Kunywa maji ya vuguvugu kila asubuhi unapoamka

Kunywa maji kila unapotoka haja ndogo

Kunywa maji ya vuguvugu baada ya kila mlo badala ya maji baridi

Kula matunda kila siku kabla ya mlo wowote

Fanya zoezi la kukutoa jasho, hata kutembea, kila siku

Pumzika muda wa kutosha usiopungua saa 8 kila siku

Usile chakula baada ya saa 2 usiku.

MWISHO

Funga siku tatu, mara baada ya kusoma ushauri huu, kwa kula matunda na kunywa maji tu
 
Nimepatwa na mtihani mmoja mzito na sijui kinachoendelea kwa sasa naomba kama kuna doctor humu asiye judge makosa ya mtu nimuelezee anipatie ushauri kwa sababu ni jambo gumu kidogo kulielezea ana kwa ana.
Pole sana kwa mjibu wa data za simu yako wewe ni mwanaume na unafanya ushoga kiufupi unavutiwa na jinsia yako

Mshaurini katika hili wanajukwaa

Ila namuomba aelezee huu mchezo amejifunza kwa kuona au feeling zilianza tu zenyewe au mazingira au uliwahi kubakwa?

kwa ushauri zaidi njoo PM

Ila wanajukwaa shauri katika hili kama anabisha nalipua mabomu mengine ili ajue namjua zaidi ya yeye karibun
 
Back
Top Bottom