ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,351
- Thread starter
- #221
Penzi langu na huyu dada wa JF limeanzia pale nilipomshirikisha katika suala hili. Yeye ndiye alikuwa akinipa moyo na kunishauri so licha ya mawasiliano na upendo wetu still anajua nampenda huyu changu kuliko yeye lakini bado yupo namimi katika kunisapoti. Nadhani nimeelewekaNahisi Kichwa changu Kizito leo sijakuelewa