Mkuu tatizo ni kwamba sikojoi kila siku ila inaweza kunitokea mara moja kwa miezi sita au maalra moja kwa mweziFanya Hivi tafuta mahindi yaliyotoa ndevu chukua zile ndevu weka kwenye maji yawe ya yaliopoa au ya uvuguvugu baada ya hapo kunywa siku mbili au Tatu then uje unishukuru 0654467798
Dah mkuu hospitali zngne hakuna hyo tiba ya vdnge au mpaka hapo moshi mkuuTafadhali nenda hospital kaeleze tatzo lako kuwa muwaz. Hili tatzo la kukojoa ni fedheha kubwa kuliko. Kipindi nasoma boarding advance kuna jamaa alikua anakojoa ktandani. Asee alifedheheka sana,,,kuanika godoro hawez, akiliacha pale bwenini linatoa harufu kali kama unavojua tena mkojo wa mtu mzma unanuka vibayaaa. Akaenda hospital inaitwa mawenzi kama sikosei,,,, ipo moshi pale,,, kapewa vidonge akanywa kapona fresh mpaka leo hii
Kwel kaka waif yuko cool sana hajawah kunikejeli kwa jambo hilo simuwchi yule mtoto kwa sababu nikimuacha nitakuwa nimemuacha anondoke na siri zangu,na pia mwanamke mtunza siri ni hazina kwa sababu kama anaweza kutunza siri basi na mali zangu atatunza tuKatika wote walioshauri hakuna aliempa pole mkeo.
Kwa niaba ya Ke wote humu , Napenda kuchukua nafasi hii adhimu kumpa Hongera wifi na pole kwa kukuvumilia na kukutunzia siri hakika friji lake linagandisha....maana shilingi ingegeuzwa angekua na mke mwenza zamani sana.
Wife Atakubali kweli...Ukimaliza kufanya mapenzi na mkeo...iache humohumo usiichomoe mpaka asubuhi....utanishukuru baadae
Huu ndio ushauri sahihiNi kweli kabisa. Aende kumtafuta daktari bingwa wa mfumo/njia ya mkojo (UROLOGIST) atamsaidia sana.
Mimi ni dada.Kwel kaka waif yuko cool sana hajawah kunikejeli kwa jambo hilo simuwchi yule mtoto kwa sababu nikimuacha nitakuwa nimemuacha anondoke na siri zangu,na pia mwanamke mtunza siri ni hazina kwa sababu kama anaweza kutunza siri basi na mali zangu atatunza tu
Utakuwa na matatizo fulani kwenye mishipa ya ubongo wako kwenye kusambaza taarifa mbalimbali kwenye mwili wako ,nenda hospital daktari anaweza kukusaidia hiyo sio hali ya kawaida.
Mmepotea sanaUtakuwa mwanaume wa dar wewe
badala umuunganishe na huyo baba yako mdogo bado unampa mzunguko wa kutafuta watu wengine.Duh!! Pole ndugu yangu.
Huko kijijini kwetu hua kuna dawa ya kienyeji, personally sijui inachanganywa na nini au ikoje. But hua najua dingi yangu mdogo mmoja ndo alifundishwa na bibi. Ye ndo hua anaiadminister.
Pamoja na hyo kuna ingine ya kuwacha pombe, hiyo sisi wote tumeikataa. Mtu pekee aliepewa kuitumia ni huyo huyo dingi etu mdogo, na mpka leo hata akoskia puya la pombe mnagombana.
Kuna maza mmoja kijana wake alikua anapiga dude mpka akashindwa kupelekwa boarding alipomaliza primary. So dingi mdogo akaenda huko kumpa hiyo dawa. Siku hizi walaaa hamwagi kojo.
Jaribu kuongea na wa kijijini huko huez kosa mitishamba.
Pia hospitali ni sawa but siez kujua watakusaidiaje
Hivyo hivyo mara moja moja tunachungulia tuMmepotea sana
Tatizo lingine ulilo nalo unachagua dawa na kubishana na "daktari" wako.Mkuu tatizo ni kwamba sikojoi kila siku ila inaweza kunitokea mara moja kwa miezi sita au maalra moja kwa mwezi
Kwa hyo
Naweza kutumia dawa nikahisi nimepona nakaa miezi kazaa ishu inakuja tena.sijui imekaaje hapo kaka
Mzee nataka hiyo ya pombe... kukojoa ni nature wala sihangaiki nayo hiyo!Duh!! Pole ndugu yangu.
Huko kijijini kwetu hua kuna dawa ya kienyeji, personally sijui inachanganywa na nini au ikoje. But hua najua dingi yangu mdogo mmoja ndo alifundishwa na bibi. Ye ndo hua anaiadminister.
Pamoja na hyo kuna ingine ya kuwacha pombe, hiyo sisi wote tumeikataa. Mtu pekee aliepewa kuitumia ni huyo huyo dingi etu mdogo, na mpka leo hata akoskia puya la pombe mnagombana.
Kuna maza mmoja kijana wake alikua anapiga dude mpka akashindwa kupelekwa boarding alipomaliza primary. So dingi mdogo akaenda huko kumpa hiyo dawa. Siku hizi walaaa hamwagi kojo.
Jaribu kuongea na wa kijijini huko huez kosa mitishamba.
Pia hospitali ni sawa but siez kujua watakusaidiaje
Noma sana!Ukimaliza kufanya mapenzi na mkeo...iache humohumo usiichomoe mpaka asubuhi....utanishukuru baadae