Msaada: Namna bora ya kuua paka pori/shume kwa sumu

Ahsante mkuu. Nawanunulia nyama na nitaweka vyote, indocid na sumu ile ya panya.
 
unafeli wapi?wewe ni nani kuwa na mamlaka ya kutoa roha za viumbe?Mimi kama scout hiyo ni kanuni yetu ya nne kuhurumia viumbe hai.punguza roho mbaya.
Roho mbaya wanayo mawakala wa shetani CCM pekee
 
Ilo paka dawa yake manati, litafurahia show mbona
 
Wewe ni vegan?
Kwanini umuue. ..kwani wewe ndiye mwenye haki pekee ya kuishi duniani. .....yaani mtu unaongelea kuua kiumbe as if ni normal thing kweli..?
 
Mie siwapendi paka ile mbaya ila sijawahi kuua hata mmoja. Nilisikia ukiua paka ni nuksi kubwa na unaweza kuandamwa na mikosi, sijui ukweli wa hili.
 
Mapaka shume hawaogopi sumu labda uweke mtego atakaounasa na kuondoa uhai wake
 
[emoji23][emoji23][emoji23]unataka jamaa afie ndani wewe, paka hafungiwi mlango hata siku moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…