Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Mchane asigawe connection.Password lazima nimpe hata mimi nikienda ofisini kwake natumia wifi yake, kuna muda tunatumiana large file
Ahsante sana mkuu, nitafanya hivyo kesho nikifika ofisiniNi simple sana kublock wanaopewa acces bila wewe kuruhusu.
Njia nzuri ni kuwablock kwa kutumia MAC Address.
Fanya kama ifuatavyo:
1. Login kwenye user access yako.
2. Ukishaingia, nenda kwenye DHCP Information.
View attachment 2984905
3. Ukishaclick DHCP Information, click Device List na utaona users wote wanaotumia router yako.
View attachment 2984911
4. Copy MAC Address za Devices ambazo unahitaji kuziblock. Kisha nenda kwenye kipengele cha Firewall.
View attachment 2984914
5. Ukishaclick Firewall, nenda kwenye kipengele cha Filtering Rules. Kisha nenda kwenye MAC Filtering, kisha nenda kwenye Add Rule.
View attachment 2984936
6. Itakuletea popup window ya kujaza MAC Address, ukishaijaza utaconfirm.
View attachment 2984939
7. Mwisho kabisa, uta Save And Apply Rules. Hiyo MAC Address haitakaa ipate internet mpaka utakapoitoa kwenye hiki kifungo.
View attachment 2984940
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sed ubya bassword wode wadadoka audomadically
Unampa ya nin?Habari wakuu,
Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia.
Nimeona kuna tatizo kwenye kifaa chao mfano nilimuunga rafiki yangu kwenye simu yake ya Samsung s20, chakushangaza kwenye simu yake kuna QR code inayomruhusu kushare wifi yangu kwa mtu mwingine bila kutumia password, naomba msaada jinsi ya kuzuia mtu kushare wifi.
Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.
naomba msaada wakuu ili niweze kuwaondoa au kuzuia hili tatizo, nimajaribu kubadilisha password lakini kila nikimpa password rafiki yangu nashangaa baada ya muda users wanaongezeka, binafsi huyu rafiki tunafanya nae biashara ni lazima akija ofisini kwangu atumie wifi yangu.
naunga mkono hoja mkuu njia hii nzuri sanaNi simple sana kublock wanaopewa acces bila wewe kuruhusu.
Njia nzuri ni kuwablock kwa kutumia MAC Address.
Fanya kama ifuatavyo:
1. Login kwenye user access yako.
2. Ukishaingia, nenda kwenye DHCP Information.
View attachment 2984905
3. Ukishaclick DHCP Information, click Device List na utaona users wote wanaotumia router yako.
View attachment 2984911
4. Copy MAC Address za Devices ambazo unahitaji kuziblock. Kisha nenda kwenye kipengele cha Firewall.
View attachment 2984914
5. Ukishaclick Firewall, nenda kwenye kipengele cha Filtering Rules. Kisha nenda kwenye MAC Filtering, kisha nenda kwenye Add Rule.
View attachment 2984936
6. Itakuletea popup window ya kujaza MAC Address, ukishaijaza utaconfirm.
View attachment 2984939
7. Mwisho kabisa, uta Save And Apply Rules. Hiyo MAC Address haitakaa ipate internet mpaka utakapoitoa kwenye hiki kifungo.
View attachment 2984940
Solution yako ipo hapa.Ni simple sana kublock wanaopewa acces bila wewe kuruhusu.
Njia nzuri ni kuwablock kwa kutumia MAC Address.
Fanya kama ifuatavyo:
1. Login kwenye user access yako.
2. Ukishaingia, nenda kwenye DHCP Information.
View attachment 2984905
3. Ukishaclick DHCP Information, click Device List na utaona users wote wanaotumia router yako.
View attachment 2984911
4. Copy MAC Address za Devices ambazo unahitaji kuziblock. Kisha nenda kwenye kipengele cha Firewall.
View attachment 2984914
5. Ukishaclick Firewall, nenda kwenye kipengele cha Filtering Rules. Kisha nenda kwenye MAC Filtering, kisha nenda kwenye Add Rule.
View attachment 2984936
6. Itakuletea popup window ya kujaza MAC Address, ukishaijaza utaconfirm.
View attachment 2984939
7. Mwisho kabisa, uta Save And Apply Rules. Hiyo MAC Address haitakaa ipate internet mpaka utakapoitoa kwenye hiki kifungo.
View attachment 2984940
Router Kampuni gani na model ipi?Unlimited alafu unakuwa mnoko.
Acha ubahili ndugu, ilo bundle la TZS 110,000 bado wanakupiga alafu unashindwa kuwasaidia watu.
Mimi nina router la kuunga watu 200, uswahilini kwangu nimrwagaia bure password wanafurahia data za bure muda wote.
Amwambie ukweliUmesoma umeelewa kweli? Amesema kila akibadili password akimpa rafiki yake, users wengine wanaogezeka. Kumbuka huyo rafiki yake lazima ampe password maana wanafanya kazi pamoja
Router ya kampuni ya NOKIA, mtandao wa simu ni VodaCom.Router Kampuni gani na model ipi?
Simple sana,badili password,na atakapokuja muunganishe na hotspot kutoka kwenye simu yako,ili iwe rahisi kwako kucontrolHabari wakuu,
Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia.
Nimeona kuna tatizo kwenye kifaa chao mfano nilimuunga rafiki yangu kwenye simu yake ya Samsung s20, chakushangaza kwenye simu yake kuna QR code inayomruhusu kushare wifi yangu kwa mtu mwingine bila kutumia password, naomba msaada jinsi ya kuzuia mtu kushare wifi.
Kila nikiangalia kwenye connect list naona kuna users zaidi ya 10, mimi binafsi natumia simu na laptop pekee, nahisi rafiki yangu ame share kwa watu mwengine.
naomba msaada wakuu ili niweze kuwaondoa au kuzuia hili tatizo, nimajaribu kubadilisha password lakini kila nikimpa password rafiki yangu nashangaa baada ya muda users wanaongezeka, binafsi huyu rafiki tunafanya nae biashara ni lazima akija ofisini kwangu atumie wifi yangu.
Simple sana,badili password,na atakapokuja muunganishe na hotspot kutoka kwenye simu yako,ili iwe rahisi kwako kucontrol
Angalia features za router yako then ingia you tube ujifunze ipo sehemu wanakupa option ya kufilter vitu Kama hvoSijaona hii kwenye setting mkuu
Big up mkuu! Safi sana aisee haya madude nlikuwa nayamudu sana kipindi hiko Module Moja ilikua inaitwa NETWORK AND SYSTEM ADMINISTRATIONNi simple sana kublock wanaopewa acces bila wewe kuruhusu.
Njia nzuri ni kuwablock kwa kutumia MAC Address.
Fanya kama ifuatavyo:
1. Login kwenye user access yako.
2. Ukishaingia, nenda kwenye DHCP Information.
View attachment 2984905
3. Ukishaclick DHCP Information, click Device List na utaona users wote wanaotumia router yako.
View attachment 2984911
4. Copy MAC Address za Devices ambazo unahitaji kuziblock. Kisha nenda kwenye kipengele cha Firewall.
View attachment 2984914
5. Ukishaclick Firewall, nenda kwenye kipengele cha Filtering Rules. Kisha nenda kwenye MAC Filtering, kisha nenda kwenye Add Rule.
View attachment 2984936
6. Itakuletea popup window ya kujaza MAC Address, ukishaijaza utaconfirm.
View attachment 2984939
7. Mwisho kabisa, uta Save And Apply Rules. Hiyo MAC Address haitakaa ipate internet mpaka utakapoitoa kwenye hiki kifungo.
View attachment 2984940
Distance covered from the eyesight.?Router ya kampuni ya NOKIA, mtandao wa simu ni VodaCom.
Bundle la internet la 5G kwa VodaCom linaanzia TZS. 120,000.
Ya TZS. 115,000 ni 4G
View attachment 2984979