Msaada: Naomba kupewa gharama za hatua hizi za ujenzi

Msaada: Naomba kupewa gharama za hatua hizi za ujenzi

Mkuu hapo ndipo ukweli ulipo, nimejaribu kuchukua quotations za mafundi watatu naona wapo juu sana kwa gharama na materials pia kwa mfano blunderling mbao sio chini 3*2= 1200, 2*2=1400 kwa kuwa sitting room na dinning room siweki ua naweka ngazi mbili tu simple tu, hapo kuna ukweli.
Duh mbona mbao nyingi sana au hiyo 1200 ni ft sio idadi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za kwenu wanajamvi,

Nakuja hapa nikiomba ushauri/msaada wa dhati kabisa juu ya ujenzi nina 15million ya kumalizia vitu vichache je itatosha? Na kwa sasa najua wengi wenu humu mna uzoefu na mafundi mpo humu, kwa mtu anaejua naomba kujuzwa nyumba yangu ina ukubwa wa 14.6*12.3 Squaremita na vyumba vinne, sasa nipo kwenye hatua ya finishing, naomba msaada wa kujua nyumba ya namna hii yenye vyumba vinne je gharama zikoje katika hatua hizi hapo chini;

Blundering
Kupiga plasta
Kufanya plumbing
Kuweka tiles
Wiringi
Kupiga rangi
Madirisha ya aluminium


Naomba usaidizi gharama za mafundi na materials zikoje?
Fanya finishing ya ndani na madirisha na milango kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alitumia kiasi gani jumla, yeye alitumia 2*2 tu ama alichanganya na 3*2

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbao ya 2*2 ya 20ft ni kama sh 7000 hivi, hiyo ya 2*3 mara nyingi huwa wanachukua 2*6 halafu wanachana kupata 2*3 mbili ambapo bei inategemea na gharama za ushanaji. Kwa makisio mbao zote hazikuzidi 200

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UJEZI UNA FACTORS NYINGI KATIKA KUANGALIA GHARAMA ZA KUFANYIA FINISHING. NA BAADHI YA VIGEZO NI MATERIALS UNATAKA YA BEI RAHISI, YA KATI AU GHALI? UNATAKA ORIGINAL AU COPY? NINACHOKUSHAURI FANYA KIMOJA BAADA YA CHENGINE ILA MWISHO WA SIKU UTAMALIZA KWANI POLEPOLE NDO MWENDO. NA UNAWEZA UKAPIGIWA HESABU HAPA UKAJIPANGA KWA HIYO PESA UKIENDA DUKANI PESA ISITOSHE HATA KUUNULIA MATERIALS NA BADO HUJASAFIRISHA KUPELEKA SITE WALA HUJALIPA FUNDI

KWA USHAURI WA HARAKA WAITE MAFUNDI MUHIMU KATIKA FINISHING KISHA WAKUPE MAKISIOA YA VIFAA ILI UKIENDA KUNUNUA KARIAKOO UNUNUE KWA WINGI ILI UPATE KWA BEI NAFUU KIDOGO .USIDANGANYWE UKANUNUA KWENYE MADUKA YAMITAANI UTAONA PESA ZINAKWISHA NA JENGO HALIISHI .
 
Mbao ya 2*2 ya 20ft ni kama sh 7000 hivi, hiyo ya 2*3 mara nyingi huwa wanachukua 2*6 halafu wanachana kupata 2*3 mbili ambapo bei inategemea na gharama za ushanaji. Kwa makisio mbao zote hazikuzidi 200

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo bonge la idea mkuu ulikua wapi hukuoita hapa, hiyo idea ya kuchukua 2*6 then unachana dah ningeokoa hela nyingi sana mkuu, dah kuna watu mna mawazo mazuri sana nimelipenda wazo lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UJEZI UNA FACTORS NYINGI KATIKA KUANGALIA GHARAMA ZA KUFANYIA FINISHING. NA BAADHI YA VIGEZO NI MATERIALS UNATAKA YA BEI RAHISI, YA KATI AU GHALI? UNATAKA ORIGINAL AU COPY? NINACHOKUSHAURI FANYA KIMOJA BAADA YA CHENGINE ILA MWISHO WA SIKU UTAMALIZA KWANI POLEPOLE NDO MWENDO. NA UNAWEZA UKAPIGIWA HESABU HAPA UKAJIPANGA KWA HIYO PESA UKIENDA DUKANI PESA ISITOSHE HATA KUUNULIA MATERIALS NA BADO HUJASAFIRISHA KUPELEKA SITE WALA HUJALIPA FUNDI

KWA USHAURI WA HARAKA WAITE MAFUNDI MUHIMU KATIKA FINISHING KISHA WAKUPE MAKISIOA YA VIFAA ILI UKIENDA KUNUNUA KARIAKOO UNUNUE KWA WINGI ILI UPATE KWA BEI NAFUU KIDOGO .USIDANGANYWE UKANUNUA KWENYE MADUKA YAMITAANI UTAONA PESA ZINAKWISHA NA JENGO HALIISHI .
Thanks bro, umetoa ushauri mzuri sana uzuri ubarikiwe, sema nilishafanya machache na yamebaki machache sana madirisha ya aluminium, rangi, tiles za ukutani chooni na jikoni, bado vyoo na sinks ni kazi chache zimebaki madirisha ndiyo nilikua nanunua kidogo kidogo kila mwezi naweka oda ofcourse nipo makini na site ipo Arusha huku vitu ni gharama sana, site ingekua dar ningeshamaliza ujenzi siku nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujenzi wa dar vs mkoani, mtu anaejenga mkoni nyumba moja inamgharimu karibia nyumba mbili atakazo jenga dar, ardhi nayo ipo juu kulinganisha na dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo bonge la idea mkuu ulikua wapi hukuoita hapa, hiyo idea ya kuchukua 2*6 then unachana dah ningeokoa hela nyingi sana mkuu, dah kuna watu mna mawazo mazuri sana nimelipenda wazo lako

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechelewa kuuona uzi, pia ungeweza kuichana 2*6 ukapata 2*2 tatu. Mfano kama ulikua unahitaji 2*2 30, basi kwa 2*6 kumi tu zingetosha hitaji lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom