Msaada; Nataka kubadili uraia niwe Mkenya

Fanya chochote kwaajili yako na mwanao(ambaye ndo ndugu yako)...

Kufanya chochote kwaajili ya mwanamke unatafuta dhahma...

Kama utabaki Kenya;baki kwaajili ya mishe zako.
Wanawake wa Kikenya..., afadhali wa Kibongo..
 
Duu hyo nikabila ndogo hstoria yake sina yaweza kuwa niwema ndomana hawavumi kwa maovu.nikuutakie kila lakheri na baraka tele na wepesi pia wakupata uraia
Hawana shida hawa ni kama watoto wa kitanga yaaan watu wa pwani ya kenya
 
Kwanini mke na mtoto wako mtarajiwa usiwalete Tanzania au umeamua kuolewa?!
Ndugu yangu nakuhakikishia dunia hii hakuna mwanamke mwaminifu kiasi cha kumpa moyo wako wote! Wanawake ni vigeugeu na wanabadilikabadilika kwa sababu zisizoeleweka kwahiyo kama umempa moyo wako wote siku moja utajilaumu.
 
Fanya chochote kwaajili yako na mwanao(ambaye ndo ndugu yako)...

Kufanya chochote kwaajili ya mwanamke unatafuta dhahma...

Kama utabaki Kenya;baki kwaajili ya mishe zako.
Wanawake wa Kikenya..., afadhali wa Kibongo..
Kwann unasema hivyooo
 
Kwaiyoo ni bora nije kuishi nao Tanzania sio
 
Mpaka hapo wewe ni mhamiaji haramu sasa kama unataka uraia rudi kwanza tafuta passport na mtaji then nenda kaombe kibali chakufanya kazi kenya anzia hapo
 
Mpaka hapo wewe ni mhamiaji haramu sasa kama unataka uraia rudi kwanza tafuta passport na mtaji then nenda kaombe kibali chakufanya kazi kenya anzia hapo
Sasa hapoo umeongeaa kituu cha maana sanaa ila mm kuna huyuu chifuu ni best sans yeye mdigoo anatak Nifosi majina ni apray I'd sasa hapo si nitakuwa raia mzee unaonajeee hiyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…