Kama ni kweli ulichoandika basi huyu mwanaume atakuja kupata shida sana huko mbele ya maisha yake.. wanaume wengi tunaishi na laana za wanawake tuliowazalisha na kuwatelekeza.. nimejifunza sana kwa mshua wangu anaishi maisha ya kujuta na kulalamika kila siku..
😅😅😅😅Yaani kila mwezi atoe 250k iyo ajira? Ushawahi udhuria ata kikao kimoja cha Ustawi mkuu.? Hesabu haziendi simple hivo. Mtu unakuta ana mshahara wa 2.8M usikute ni Gross. Bado kuna makato unakuta take home 2.1M tu.
Bank? Saccos? Bodi? Etc etc
Bado ana familia nyingine?
Yaani hapo akipata 50k sio mbaya. Ikizidi sana 75k.
Angalau hyo 100k ila 50k mtoto anakula nn hapo😅Hapo labda naweza ungana na Accumen Mo sahivi. Sema 100k hivi.
Ila kama ameshalalamika sana na kufatilia sana bora apambane tu yeye.
You are one in a milion.Pambana lea mwanao, achana nae.
Ushawahi ona jogoo analea vifaranga? Wanaume hawaleagi, its nature....atahudumia mtoto Kama na wewe unamuhudumia, Kama uko tayari kufata matumizi ya mtoto guest endelea kumsumbua, Kama unajali utu wako pambana mwenyewe.....mlezi mkuu ni Mungu, mtoto atakua tu bila yeye.
Angalizo, akileta matumizi usikatae na usimlishe mtoto sumu kumuhusu.
Ni buku Kwa mwezi.sheria za ndoa ni za zamani, usishangae ukapewa buku saba kwa mwezi
Mtoto anapenda maharage yapikwe mengi yafungwe kwa pakti size ndogo yawe iwe kwa freezer,mtoto ale acheni udikteta banaKwamba wanawake wote mna akili sawa?
Hujui kuna wanawake hawajali kitu?
Kwa hiyo hata hulka ya kumbembeleza mwanaume hamtaki kabisa, mnataka kutanguliza mbele umwamba.Kwahiyo mnataka tuwalilie na kuwabembeleza kutoa matumizi?? Mimi binafsi ukishiriki kulea mwanao nitamweka karibu na wewe na nitakuwa namweleza kabisa baba yako anakulea.
Ila usipotunza na mimi sitahangaika na wewe including kumpa habari zako mtaonanaga akiwa mkubwa. Mwanaume anayejua wajibu wake hawezi acha kulea mwanae hata kama amegombana na mama yake.
Sasa wanawake wrngi wako hivyo kama nyie msojua pika chapatiMtoto anapenda maharage yapikwe mengi yafungwe kwa pakti size ndogo yawe iwe kwa freezer,mtoto ale acheni udikteta bana
Kuna wanawake huwa hawajali watoto wao hawapikii vizuru ilimradi hovyo hovyo tu
Imagine una watoto 4 bro kila maza akataka 400k dah. Aisee tutulie kwenye ndoa mzee. 🤣🤣🤣Angalau hyo 100k ila 50k mtoto anakula nn hapo😅
Hahaha nimeshajua mim 😂😂😂Sasa wanawake wrngi wako hivyo kama nyie msojua pika chapati
Eti jamen 😂😂Angalau hyo 100k ila 50k mtoto anakula nn hapo😅
Mnyenyekewe kwenye wajibu wenu?Kwa hiyo hata hulka ya kumbembeleza mwanaume hamtaki kabisa, mnataka kutanguliza mbele umwamba.
Mwanamke mnyenyekevu na mtiifu ndo anayemvutia zaidi mwanaume na mwanaume yupo tayari kujitoa kwa ajili yake.
Zile hazifai, twapenda laini kama za wapemba mtaa wa rufijiHahaha nimeshajua mim [emoji23][emoji23][emoji23]
Kutokujua kupika chapati haimaanishi hujui kupika vingine
Kuna za kumimina tamu tu
Kweli mkuu nikubembeleze kule mtoto wako tena damu yako?? Ni haki hiyo kweli? Nitakubembeleza km ni mpenzi wangu ila sio tumeachana nikubembeleze kulea mwanaoKwa hiyo hata hulka ya kumbembeleza mwanaume hamtaki kabisa, mnataka kutanguliza mbele umwamba.
Mwanamke mnyenyekevu na mtiifu ndo anayemvutia zaidi mwanaume na mwanaume yupo tayari kujitoa kwa ajili yake.
Watoto wanazipenda niacheeeZile hazifai, twapenda laini kama za wapemba mtaa wa rufiji
Eti 😂😂 wanapenda kunyenyekewa upumbavuuuKweli mkuu nikubembeleze kule mtoto wako tena damu yako?? Ni haki hiyo kweli? Nitakubembeleza km ni mpenzi wangu ila sio tumeachana nikubembeleze kulea mwanao
Kama mnakaza mafuvu punguzeni kulialia kama huyu mleta madaMnyenyekewe kwenye wajibu wenu?
Napenda wanawake wanaopika pika.Watoto wanazipenda niacheee
Sijawahi kulalamika kwamba baba mtoto wangu hamtunzi mwanae, tena nilikuwa nasema wazi matumizi ya mwanae anatoa bila shida. He was a man and ahalf enzi hizo alikuwa na tarehe yake akipokea mshahara utaona muamala the same day bila kukumbushwa. Na nilikuwa nampa credit zake kwa hilo usipotoshe mkuu.Huyu keshakuja mara kibao kulalamika humu, fatilia nyuzi zake