Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma


Na ndicho nilichokuwa nasema,
Na hakuna Mtoto anayeweza kumaliza hiyo 100,000/= Kwa mwezi Kwa matumizi ya kawaida. Wengi huishi 50k - 70k
Alafu sasa igawanywe Kwa Watu Wawili yaani Baba na Mama wote wachangie hiyo Pesa.
 
Nimekuelewa vyema sana [emoji4]
 
Reactions: Luv
Calm down, you shall overcome someday
mnanikejeli sana mimi kuomba msaada basi naombeni mnisamehe nina roho ndogo sana naumia kwa kunidhihaki nisameheni pengine sikupaswa kuomba ushauri samahanini ilanjueni sijazaa bila ndoa nmezaa kwa ndoa kabisa
 
mkuu umemweleza ukwel shida uyu single maza anataka aambiwe anachopenda kusikia yy..hataki ukwel na ukimweleza ukwel anakuchukulia tofauti..

Nishaona masingle Maza flani na ma feminist wanamfariji as if yy Hana shida..kiukwel wanazidi mpoteza na atapotea jumla..hataki maridhiano analilia tu kupewa fungu Kila mwisho mwenz...mke anaejitambua angekua anafight how arudi Kwa mme wake na sio kulilia pesa!!!
 
Hao ni Pipa na mfuniko, ye naye kazalishwa tu yupo yupo
 
Hizo sio Amri za Mungu na hazijawahi kuwa.
We umeenda kuzitoa kwenye kidaftari cha RC
 
Usisikilize ushauri wa ndugu,marafiki na majirani. Wewe isikilize sauti ya mtoto wako.
Jamii huwa wanampump mtu halafu wao wanakaa pembeni na hawakusaidii kulea.
Mtafte taratibu mzazi mwenzio,akiona umeonyesha heshima atashuka na mtazungumza
Ashasema ndoa sio priority yake,,asa nazani unaelewa ni mwanamke wa aina gani uyu...
 
asante member barikiwa

Usitumie mihemko kukabiliana na ishu hiyo.
Ukiweza ku-dili naye Kwa Akili na upendo utakula zaidi ya Nusu ya Mshahara wake.
Elewa kuwa Serikali haina uwezo wa kumpangia MTU matumizi ya Mshahara wake.
Hivyo hata angelipwa milioni 10 bado anaweza kumhudumia mtoto Kwa kiwango kidogo cha Pesa.
Hapo ni kucheza na Akili yake tuu. Ambapo. Hapo ndio pagumu Kwa sababu wewe(Wanawake) mnaona ni wajibu wake kumtunza mtoto wake Jambo ambalo ni kweli lakini akitoa hiyo 50k pia itahesabika anatimiza wajibu wake tuu licha ya kuwa anatoa Pesa ambayo utaona ni ndogo.

Ni ishu ya upendo, kama hampendi huyo mtoto au umemuwekea mazingira ya kutompenda mtoto lazima haya yajitokeze
 
Hizo sio Amri za Mungu na hazijawahi kuwa.
We umeenda kuzitoa kwenye kidaftari cha RC
Ziweke hizo ambazo hazipo kwenye kidaftari cha RC..!! Yaani mimi Mu-RC unataka nikachukue kwenye kidaftari cha dhehebu gani? Weka basi zako
 
Hapana,
Kwani kalenda ya uzazi Mungu kaiweka kwa nani kati ya Mwanaume na mwanamke?
Hivyo anayetakiwa kuchukua tahadhari Kwa kujijua zaidi ni nani ?

Ikitokea vinginevyo mhanga atakuwa nani?

Je huwa wanakubaliana kuzaa?
Suala la uzazi wa mpango ni shirikishi, ukimwachia Mwanamke peke yake linaweza kuwa zito mwisho mkajikuta mnapata watoto ambao hamkupanga kuwapata.

Na ukishapata watoto ni wajibu wako Mume kumlea huyo mtoto kwa kuhakikisha anapata huduma zote muhimu.
 
kabila gani hizo zinakataa watoto aisee
Wanawake msiforce wanaume kufuata mipango yenu
 

Nilikuwa namaanisha, kama gharama ni 100,000/= basi mwanaume atachangia Nusu na Mwanamke Nusu. Full stop,
Mtoto ni wawote
 
Ashasema ndoa sio priority yake,,asa nazani unaelewa ni mwanamke wa aina gani uyu...
tatiz unajibu bila kuelewa unajua uyo alisemaje nikamjibu ivo inshort kwa sasa sihitaji kuolewa priority ni kuwalewa watoto wangu period..

maan uyo kaongelea sijui kama utaolewa mara sijui hamna wa kukuoa thus y nikasema ivo kama sikuandikiwa kuolewa hata nifanyaje siwez pata io ndoa basi
 
Mimi aliposema sina shida ya Ndoa ndipo nikastuka na waza tofauti zaidi. Mwanamke ambaye haheshimu na kuitambua ndoa kama taasisi nyetu na priority yake katika Maisha mtazame mara mbili mbili akiwa anazungumzia mahusiano.

Ndoa ndio taasisi namba moja ya mwanamke. Vyote anavyovitafuta hapa Duniank vipo humo. Inastaajabisha sana wanawake wa kisasa kwa wingi wanaidharau sana Ndoa na kuiona kama sehemu ya kupita au kuipuuza ile hali wanataka faida zake.

Watoto huzaliwa ndani ya ndoa sio nje ya ndoa. Matumizi na matunzo ya mwanamke hupatikana ndani ya ndoa sio nje ya ndoa. Kabla hajaolewa atatunzwa katika ndoa ya baba yake na mama yake akiolewa atatunzwa na mumewe katika ndoa yake.

Mwanamke anapata mapenzi ya kitandani ndani ya ndoa akiwa na mumewe si kinyume chake.

Mwanamke anapata faraja, kuliwazwa na kubembelezwa ndani ya ndoa sio nje ya ndoa.

Mwanamke atapata nyumba kwa mume wake ndani ya ndoa sio kwenda kupanga au kujenga huo itakuwa ni maskani sio nyumbani.

Mwanamke anapata baraka za MUNGU akiwa chini ya mumewe akitumikia ndoa yake. Haya maisha ya kidunia sio baraka ni mafanikio ambayo yanaweza kuwa na baraka ama yasiwe nayo.

Maisha ya kidunia hayana faida kwa mwanamke asiye na Ndoa ni mahangaiko, hofu, wasi wasi, huzuni kila saa na matatizo ya kiakili.

Maisha hayataki tamaa yanataka utu.
 
Waliotelekezwa na kufanikiwa ni wangapi?
Tunaweza kukosa takwimu sahihi kwa sasa lakini wapo waliotelekezwa na wakafanikiwa.

Ila kwenda kumuomba msaada mtoto uliyemtelekeza huwa ni aibu na hubaki funzo kwa Wazazi wengine wenye nia hiyo
 
Karibu mumy...amka Sali, oga pendeza, wapende sana wanao. Mafanikio sio rahisi ila pia sio magumu na lazima upitie changamoto ili uyafikie.
Dah me nikajua utasema aamke, asali, aoge, awapende sana wanae , awaogeshe pia halafu ahamie kwako umsaidie kupambana na haya maisha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una uhakika wote tumelelewa na Baba zetu.. vingine ni kama kurithi.. mwanamme aliyekulia mazingira ya kutelekekezwa na Baba na akakua kwa malezi ya Mama kuna uwezekano mkubwa naye akikua akawa katili na kutelekeza watoto.. haoni shida.
Ni sahihi Mkuu, wengi tumeshuhudia wapo hivyo.

Ni kama wanatembea na Kisasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…