Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Hakuna sheria inayosema utapigiwa hesabu ya Mama na mtoto, haipo.. huyo Mama wa mtoto ni mtu mzima na ana wazazi wake na yeye, mkishafika Ustawi. Wanaangalia umri wa mtoto na mahitaji yake ya msingi. Wataangalia kama anakunwa uji kwa mwezi unga na sukari ni sh ngapi, nguo, sabuni, mafuta, nauli ya kwenda clinic mara moja, kama Jamaa ni mtumishi mtoto ana bima tayari hapo kwenye matibabu halambi hata 100 mbovu.. ikipigwa hesabu haiwezi kufika Tsh 100,000 kwa mwezi, hata kama ana mshahara wa milioni 10 haihusiani.. ndo maana wenye Akili huwa wanajishusha tu na kuwa wapole kuna wakati Baba anaweza kutoa pesa kuliko hiyo.. ila ukimpeleka ustawi ndo umemtibua kabisa.. ingekuwa ulaya huko sawa lakini kibongo bongo sijui hata kama ipo sheria ya kumfunga jela mwanamme aliyekataa kuhudumia mtoto..
Na ndicho nilichokuwa nasema,
Na hakuna Mtoto anayeweza kumaliza hiyo 100,000/= Kwa mwezi Kwa matumizi ya kawaida. Wengi huishi 50k - 70k
Alafu sasa igawanywe Kwa Watu Wawili yaani Baba na Mama wote wachangie hiyo Pesa.