Msaada: Nawezaje kuacha tabia ya kuongea peke yangu?

Msaada: Nawezaje kuacha tabia ya kuongea peke yangu?

Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored .. ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili .. mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku pretend kama naimba [emoji23][emoji23] .. nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa .. kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali .. je hii ni kawaida ? .. nawezaje kuacha hii tabia ?? ..
Yaani wewe upo kama mimi na kwangu mimi taaluma yangu ni sheria so kila nikiwa peke yangu ikitokea issue yoyote iwe nimesoma au kusikia sehemu naanza kuongea kwa kujenga hoja za pande zote mbili!
 
Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored .. ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili .. mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku pretend kama naimba [emoji23][emoji23] .. nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa .. kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali .. je hii ni kawaida ? .. nawezaje kuacha hii tabia ?? ..
Lipa madeni yako!
 
Nipo hivyo mkuu, naweza kukaa na kuanza kuchanganua jambo kwa kina mno na pia naweza kuwa labda nipo na watu naangalia Tv ikatokea nimeona kitu cha kufikirisha nitajikuta tu nimeinuka natoka nje na kuanza kuzunguka nje huku nikiwa najadili like jambo .. hapo naweza chukua hata saa nzima mpaka kuja kushtuka tena ..
Wewe ni genius
 
Kujitenga haimanishi kuwa unaongea pekee yako. Ni matatizo uliyonayo
Ungesikiliza kipindi cha jana saa 3 RFA walikuwa wanazungumzia hiki kitu.
Haimanishi ukiwa una hela basi hautaongea peke yako.
Money is not everything
Sijawahi kubeti kabisa mkuu ..
 
Nashangaa watu wameleta utani na hakuna seriousness katika hili. Mimi mwenyewe naongea peke yangu hasa ni kwa kuwa nakosa watu sahihi wa kuongea mada zangu. Unakuta sebuleni wako wanatazama mkurugenzi kaagiza vyoo vifungwe mimi naona ni habari za kipuuzi nazama chumbani kutazama Taliban wamefanyaje. Alafu sasa unakuta nasema mwenyewe "hawa Taliban si ndio juzi hapa walikuwa wanashangaa gym na babywalkers za umeme, sasa wamewezaje kuendesha helicopter si wataanguka hawa?"

alafu nafikiria then najijibu "itakuwa wameteka marubani wa jeshi la serikali iliyopita au jeshini kulikuwa na mamluki wa Taliban". Simply ni kwamba nikikaa na watu tunaelewana siongei mwenyewe
 
Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored .. ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili .. mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku pretend kama naimba [emoji23][emoji23] .. nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa .. kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali .. je hii ni kawaida ? .. nawezaje kuacha hii tabia ?? ..
Inategemea unaongea nini?ila unaweza kuacha taratibu kama unataka kuacha
 
Kama unaouwezo wa kutengeneza kikao kwenye akili yako. Na kichwani mwako hicho kikao kikawa kama kikao kwelikweli mpaka mnabishana na kukubaliana kwa hoja kiufupi Mungu amekupa akili nyingi sana (sijamaanisha za darasani). Wazungu wameshafanya utafiti wanasema watu wenye akili za aina hiyo wana ubunifu wa hali ya juu mno na wengine ni majiniasi kabisa.
Shukrani sana mkuu ..
 
Yaani wewe upo kama mimi na kwangu mimi taaluma yangu ni sheria so kila nikiwa peke yangu ikitokea issue yoyote iwe nimesoma au kusikia sehemu naanza kuongea kwa kujenga hoja za pande zote mbili!
Nashukuru kuona tupo wengi, mwanzoni niliona kama tatizo ..
 
Back
Top Bottom