Msaada: Nawezaje kuacha tabia ya kuongea peke yangu?

Msaada: Nawezaje kuacha tabia ya kuongea peke yangu?

Wala sikushangai, nipo hivyo pia mara nyingi tu huwa napiga stori mi mwenyewe na kujijibu mwenyewe na wala sioni kuwa nina tatizo la kiafya ya akili tena mimi huwa nakuja na majibu imara haswaa kwa maswali ambayo huwa nayatafutia majibu. Kuna watu wanaonizunguka huwa wakikwama kwenye majibu ya yanayowatatiza huwa wakinifuata ni dk 0 tu nimewapatia majibu wanasepa.

Kuna mdada mmoja kaja kunifanya mimi ni gud n close brother of hers, ananiheshimu mno na kunipenda sababu hiyo hiyo ya kumpa na kuresolve yanayomtatiza na wala hakuwahi kuniwazia hivyo. Ndugu, jiamini wewe huna tatizo la kiakili.
 
Wala sikushangai, nipo hivyo pia mara nyingi tu huwa napiga stori mi mwenyewe na kujijibu mwenyewe na wala sioni kuwa nina tatizo la kiafya ya akili tena mimi huwa nakuja na majibu imara haswaa kwa maswali ambayo huwa nayatafutia majibu. Kuna watu wanaonizunguka huwa wakikwama kwenye majibu ya yanayowatatiza huwa wakinifuata ni dk 0 tu nimewapatia majibu wanasepa.

Kuna mdada mmoja kaja kunifanya mimi ni gud n close brother of hers, ananiheshimu mno na kunipenda sababu hiyo hiyo ya kumpa na kuresolve yanayomtatiza na wala hakuwahi kuniwazia hivyo. Ndugu, jiamini wewe huna tatizo la kiakili.
Shukrani sana mkuu [emoji1545] [emoji1545]
 
Jaribu kusoma vitabu vyenye msaada kwenye maisha na uwe unaongea mambo yenye tija. Halafu uwe unavaa earphones, mtu akikusikia atafikiri unaongea na mtu kwenye simu.
Ushauri mzuri nita ufanyia kazi .. [emoji1545][emoji1545]
 
Nashangaa watu wameleta utani na hakuna seriousness katika hili. Mimi mwenyewe naongea peke yangu hasa ni kwa kuwa nakosa watu sahihi wa kuongea mada zangu. Unakuta sebuleni wako wanatazama mkurugenzi kaagiza vyoo vifungwe mimi naona ni habari za kipuuzi nazama chumbani kutazama Taliban wamefanyaje. Alafu sasa unakuta nasema mwenyewe "hawa Taliban si ndio juzi hapa walikuwa wanashangaa gym na babywalkers za umeme, sasa wamewezaje kuendesha helicopter si wataanguka hawa?"

alafu nafikiria then najijibu "itakuwa wameteka marubani wa jeshi la serikali iliyopita au jeshini kulikuwa na mamluki wa Taliban". Simply ni kwamba nikikaa na watu tunaelewana siongei mwenyewe
New hamza in the making Detective Cpl Detective J
 
Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored .. ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili .. mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku pretend kama naimba [emoji23][emoji23] .. nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa .. kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali .. je hii ni kawaida ? .. nawezaje kuacha hii tabia ?? ..
Watu wanaweza wasikuelewe. Ila Mi naelewa.

Yaani mimi naweza jipa safari ya kutembea ili nifanye hiyo kitu, especially nikivaa earphones.

Yangu inaitwa Maladaptive Day Dreaming. Sema haina madhara so naitumia ku-cope na maisha.
 
Niliwahi kusikia watu wanaoongea wenyewe ubongo wao unafanya kazi kuzidi normal, mara nyingi watu wa aina hii huwa wanatakiwa kutumika kwenye taaluma km za utafiti/ugunduzi maabara n.k ila kwa kuwa wabongo hatujawahi kuwa serious huu uzi utajaa replies za utani tu.
Mkuu sijajua unadili na mishe gani ila kwa ushauri ili kuupooza ubongo wako jaribu kuwa na watu ila pia siku hizi kuna mitandao km hivi so waweza kuitumia pia. Kumbuka kila ufanyalo linaratibiwa na ubongo.
Hiki unachokisema nimekumbuka jambo.

Kuna mtu yalimkaba mambo akajiona kafika mwisho wa maamuzi, akaniona siku nyingine akaanza kunielezea yaliyomsibu na uamuzi alioufikia nikamwambia ndugu hayo maamuzi wala siyo suluhu. Nikampa maoni yangu akayafanyie kazi ili yakishindikana ndio akafanye maamuzi yake, haikupita hata masaa matatu akanipigia kuniuliza nilipo nikamuelekeza akafika, ile kufika tu akaniuliza kwani wewe unafanya kazi gani!? Nikamjibu hii unayoifahamu, nikamuuliza kwa nini? Akanijibu, haiwezekani wewe kuna kitu kingine unafanya unatuficha na hii. Akaniuliza tena, mbona una uwezo mkubwa hivi wa kutatua vitu!? Nikamwambia ni kawaida tu mbona, akaguna nikaambiwa nitakuletea zawadi, lile jambo langu limefanikiwa asilimia 100. Akaondoka
 
Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored .. ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili .. mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku pretend kama naimba [emoji23][emoji23] .. nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa .. kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali .. je hii ni kawaida ? .. nawezaje kuacha hii tabia ?? ..
Huwa Unaongea nini?? Tuanzie hapo kwanza.
 
Watu wanaweza wasikuelewe. Ila Mi naelewa.

Yaani mimi naweza jipa safari ya kutembea ili nifanye hiyo kitu, especially nikivaa earphones.

Yangu inaitwa Maladaptive Day Dreaming. Sema haina madhara so naitumia ku-cope na maisha.
Nipo hivyo pia, naweza kujipa safari tu nikawa natembea tu bila kuwa na sehemu specific ninayokwenda ..
 
Nipo hivyo pia, naweza kujipa safari tu nikawa natembea tu bila kuwa na sehemu specific ninayokwenda ..
Pole man. Haina side effects sana zaidi ya kupoteza muda na kuchoka kutokua productive.

Ila inasaidia kutoa hasira, mawazo, stress na kupass time.

Soma soma kuhusu Maladaptive Day Dreaming.
 
Huwezi kuacha Sababu huo ndio uhalisi wako.
 
Back
Top Bottom