Shukrani sana mkuu [emoji1545][emoji1545] ..Pole man. Haina side effects sana zaidi ya kupoteza muda na kuchoka kutokua productive.
Ila inasaidia kutoa hasira, mawazo, stress na kupass time.
Soma soma kuhusu Maladaptive Day Dreaming.
Hivyo ndivyo ulivyo Mkuu.Nahisi hivyo pia, sababu nimesha jaribu mara nyingi lakini nimeshindwa ..
Hiyo ni dalili ya IQ kubwa,nilisoma mahali kuwa kuongea peke yako ni sifa kubwa ya watu wenye uwezo wa hali ya juu kiakiliBinafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored .. ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili .. mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku pretend kama naimba [emoji23][emoji23] .. nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa .. kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali .. je hii ni kawaida ? .. nawezaje kuacha hii tabia ?? ..
Ndiyo Tena jini la uchizi umetupiwa Fanya hima ulitoeKila mwenye jini ana ongea peke yake sio ? ..
Chizi kwenye ubora wakeWatu wanaweza wasikuelewe. Ila Mi naelewa.
Yaani mimi naweza jipa safari ya kutembea ili nifanye hiyo kitu, especially nikivaa earphones.
Yangu inaitwa Maladaptive Day Dreaming. Sema haina madhara so naitumia ku-cope na maisha.
Unakuwa upo kwenye personal meeting, endelea tu mkuuBinafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili.
Mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku-pretend kama naimba [emoji23][emoji23]
Nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali.
Je, hii ni kawaida? Nawezaje kuacha hii tabia?
Hapa duniani hakuna cha peke yako ukiexperience jambo jua kuna watu wengine pia wenye jambo kama hilo.Nashukuru kuona tupo wengi, mwanzoni niliona kama tatizo ..
First born wangu yupo hivyo ila ni kichwa hatari...walimu wake wanasema mtihani hata uwe ngumu vipi huwa hazidi saa moja amemaliza paper ..mwanzo ilibidi wamuwekee mtego wakidhani ameingia na majibu!Niliwahi kusikia watu wanaoongea wenyewe ubongo wao unafanya kazi kuzidi normal, mara nyingi watu wa aina hii huwa wanatakiwa kutumika kwenye taaluma km za utafiti/ugunduzi maabara n.k ila kwa kuwa wabongo hatujawahi kuwa serious huu uzi utajaa replies za utani tu.
Mkuu sijajua unadili na mishe gani ila kwa ushauri ili kuupooza ubongo wako jaribu kuwa na watu ila pia siku hizi kuna mitandao km hivi so waweza kuitumia pia. Kumbuka kila ufanyalo linaratibiwa na ubongo.
ππππππNiliwahi kusikia watu wanaoongea wenyewe ubongo wao unafanya kazi kuzidi normal, mara nyingi watu wa aina hii huwa wanatakiwa kutumika kwenye taaluma km za utafiti/ugunduzi maabara n.k ila kwa kuwa wabongo hatujawahi kuwa serious huu uzi utajaa replies za utani tu.
Mkuu sijajua unadili na mishe gani ila kwa ushauri ili kuupooza ubongo wako jaribu kuwa na watu ila pia siku hizi kuna mitandao km hivi so waweza kuitumia pia. Kumbuka kila ufanyalo linaratibiwa na ubongo.
Hamza na taarifa za kimataifa labda hakuwa anazisomaNew hamza in the making Detective Cpl Detective J
Funga mdomo na rubber band, kama bado, tumia solar tape kabisa ubane mdomo wote, funga zungushia na koo yote banaa banaa. Kama bado, chukua bubble gum uwe unatafuna tafuna kila siku. Kama bado nenda haraka Mirembe hosp upate matibabu haraka, huo ni ukichaa.Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili.
Mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku-pretend kama naimba [emoji23][emoji23]
Nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali.
Je, hii ni kawaida? Nawezaje kuacha hii tabia?