Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
- Thread starter
- #21
Kuna mtu tarehe saba ndo namuagizia akaniekee booking nilishampa maelekezo akate ya basi hilo.Nikupe na namba yao ya Simu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu tarehe saba ndo namuagizia akaniekee booking nilishampa maelekezo akate ya basi hilo.Nikupe na namba yao ya Simu??
Unataka uje uniteke sio.Trinity utafika kwetu kigali bila tatizo lolote.karibu kwetu ukifika unishitue tusalimiane aisee
Haha mambo hayo kwetu hayapoUnataka uje uniteke sio.
Safi sana shem na hata Ethiopian najua umeshapanda.Trinity nimeshalipanda zur dereva anakaa mkono wa kushotooo
Tena kuna ticket yangu hapo walinikatia wk mbili zilizopita baadae nikaahilisha safari wakagoma kunirudishia hela wakaniambia nikitaka kusafiri nije nisafiri na hiyo ticket kama ukipenda naeeza nikawasiliana nao ukaitumia.Haha mambo hayo kwetu hayapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila wew shem mm nimeenda Na ile Friends ya kigali naloo zuri balaaaSafi sana shem na hata Ethiopian najua umeshapanda.
Naenda kukata ya kwangu.Tena kuna ticket yangu hapo walinikatia wk mbili zilizopita baadae nikaahilisha safari wakagoma kunirudishia hela wakaniambia nikitaka kusafiri nije nisafiri na hiyo ticket kama ukipenda naeeza nikawasiliana nao ukaitumia.
Ulienda kufanya nn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila wew shem mm nimeenda Na ile Friends ya kigali naloo zuri balaaa
Hakuna nchi iliokua haina watu wasiojulikana.Haha mambo hayo kwetu hayapo
Kula bataaaUlienda kufanya nn
Mambo yako mazuri basi.Kula bataaa
Msaidie bwanaa ,usifanye ivyoNaenda kukata ya kwangu.
Kwani kaomba msaada gani?Msaidie bwanaa ,usifanye ivyo
Chukua namba weweKuna mtu tarehe saba ndo namuagizia akaniekee booking nilishampa maelekezo akate ya basi hilo.
Ni pmChukua namba wewe
Akifika huku akikuambia limejaa
Kwanini usichukue namba ukaomba siti ya mbele kabisa
Ufurahie mema ya Mwenyenzi Mungu Mkuu
Mkono wa kushoto nouma sanaTrinity nimeshalipanda zur dereva anakaa mkono wa kushotooo
Iweke hapa ili kama kuna na wengine wafaidike kwa ujumla.Nikupe na namba yao ya Simu??