Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
- Thread starter
- #61
Kesho mkuu ndo naondoka nalo.Trinity only DAR to KIGALI direct
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho mkuu ndo naondoka nalo.Trinity only DAR to KIGALI direct
Kesho mkuu ndo nategemea kuondoka nalo kwa hilo usijali ni pm wasap namba.Trinitu utafika kwetu kigali bila tatizo lolote.karibu kwetu ukifika unishitue tusalimiane aisee
Mkuu tupeane deal za biashara aisee mitaji tunayo lakin mawazo ya Biashara hatuna.. Ila iwe biashara ya kati ya UG na tz au Rwanda na Tz au Zambia na TzKesho mkuu ndo nategemea kuondoka nalo kwa hilo usijali ni pm wasap namba.
Gari gani??Ni 75,000/= mkuu.
Tunakuhitaji uhamiaji haraka SanaMnyambo wa Rwanda
Tatizo basi zenu za Trinity ni za stearing ni left drive, zikishushia barabarani hapa kwetu abiria wanashukia barabarani, ni hatari. Mlango wa abiria kwa hapa kwetu uko upande wa kulia.Trinitu utafika kwetu kigali bila tatizo lolote.karibu kwetu ukifika unishitue tusalimiane aisee
Iko fair.Nauli ni 80000/= dar to kgl
Kama una mtaji anza kuzungusha Tz kwanza uangalie itakuaje.Mkuu tupeane deal za biashara aisee mitaji tunayo lakin mawazo ya Biashara hatuna.. Ila iwe biashara ya kati ya UG na tz au Rwanda na Tz au Zambia na Tz
Tz nisha zungusha sana mambo hayaendi.. Nimefunga biashara zote noa naenda UG ijumaa.. Kuna Biashara nafuatilia kutoka kwa wanao fanya nikapate ujuzi kidogoKama una mtaji anza kuzungusha Tz kwanza uangalie itakuaje.
Hilo nililoambiwa na muungwana mmoja huko kwenye maelezo ya juu.Gari gani??
Okay.. Mm nilichomekea hapo kutaka kujua Gari nzuri za kwenda Uganda na nauli ni bei gan??Hilo nililoambiwa na muungwana mmoja huko kwenye maelezo ya juu.
Hata hilo la Trinity nahisi linaenda Uganda maana nakumbuka kwenye ubao wao jana nilipokwenda kukata tiketi nikaona wameandika Dar - Kigali to Kampala.Okay.. Mm nilichomekea hapo kutaka kujua Gari nzuri za kwenda Uganda na nauli ni bei gan??
Kama ndivyo litakuwa linazunguka sana kama sikosei.. Ngoja nifuatilieHata hilo la Trinity nahisi linaenda Uganda maana nakumbuka kwenye ubao wao jana nilipokwenda kukata tiketi nikaona wameandika Dar - Kigali to Kampala.
Halafu mkuu mimi si mfanya biashara kwa msaada zaidi pm broo Mshana.Kama ndivyo litakuwa linazunguka sana kama sikosei.. Ngoja nifuatilie
Hahahahaah Mshana mganga au mshana yup?Halafu mkuu mimi si mfanya biashara kwa msaada zaidi pm broo Mshana.
[emoji106] [emoji106] [emoji106]Hahahahaah Mshana mganga au mshana yup?
Hilo litamzunguusha yaani atapelekwa mpaka Kigali then Kampala na nauli itakuwa kubwa....kwa kutokea Dar njia rahisi ni Dar to Nairobi then Kampala...ukiondoka saa 12 alfajiri kesho yake saa 3 ama 4 upo Kampala hiyo ni non stop. Kama unatokea Mwanza kuna bus linaitwa Friends likiondoka alfajiri linafika saa 1 jioni KampalaHata hilo la Trinity nahisi linaenda Uganda maana nakumbuka kwenye ubao wao jana nilipokwenda kukata tiketi nikaona wameandika Dar - Kigali to Kampala.
Nauli mpaka Kigali stendi bei gan?Naunga mkono hoja, nililiona kahama, ni zaidi ya basi lina vigezo vyote. Rwanda ni nchi ndogo ila wametuzidi sana kwenye sekta ya usafiri.