Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TaqwaNa Dar -Lubumbashi ,bus gani zuri na nauli bei gani?
Liko vzr? Nauli yake ikoje?Taqwa
Ha ha ha nyie watanzania kwa uongo mtaacha liniTatizo la trinity dereva anakaa kushoto.... YAANI GARI INAENDESHWA NA WATU WAWILI. siku moja kidogo tugongwe na lory kisa dereva wa kulia alisinzia na huyu wa kushoto alitaka kuovertake.
Kawaida tu mkuu sema tumecherewa kufika maana lilipata punch ndo tunaikaribia Kigali mda huu halina shida.Nakushauri uwe na pesa ya dharura upandapo hilo trinity
Karibu sana mkuuKawaida tu mkuu sema tumecherewa kufika maana lilipata punch ndo tunaikaribia Kigali mda huu halina shida.
Kwa upande wa Tanzania anakua na mwenzake anamwelekeza sababu kuu ni kama ifutavyo:-Ha ha ha nyie watanzania kwa uongo mtaacha lini
Bus la Trinity dereva anakaa kushoto na mlango Wa kuingilia abiria uko kulia , sababu kubwa ni kuwa Rwanda wanafuata system ya ufaransa ndio maana wako hivyo
Na dereva ni mmoja ila wanabadilishana
Tupunguze uongo
TrinityGari gani??
75Nauli mpaka Kigali stendi bei gan?
Border vipi hakuna janja janja..?
KivipiBorder vipi hakuna janja janja..?
Kama ni upekuzi kama kawaida mwanzo mwisho.Border vipi hakuna janja janja..?
Aisee..vipi kuhusu yellow fever faccination card huko hawasumbui?Kama ni upekuzi kama kawaida mwanzo mwisho.View attachment 741517
Hawaulizi..Aisee..vipi kuhusu yellow fever faccination card huko hawasumbui?
Poa mkuu...enjoy your stay..Hawaulizi..