Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
- Thread starter
- #121
Naona watoto wazuri wazuri wakikatisha tu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha enjoy brotherNaona watoto wazuri wazuri wakikatisha tu hapa.View attachment 741524View attachment 741525
Bdo uko nyabugogo?Haha enjoy brother
Huo mfuko jiandae kuuacha bodaKama ni upekuzi kama kawaida mwanzo mwisho.View attachment 741517
Upi mkuu.Huo mfuko jiandae kuuacha boda
EAC ni passport + yellow fever vaccinationHivi rwanda unaingia na kibari au hivyo hivyo tu
Lakini muhimu awe nayoHawaulizi..
Hii gari inaanzia safari Shinyanga?Naunga mkono hoja, nililiona kahama, ni zaidi ya basi lina vigezo vyote. Rwanda ni nchi ndogo ila wametuzidi sana kwenye sekta ya usafiri.
Kwa sababu ya basi la Trinity? Hebu jazia nyama kidogoNaunga mkono hoja, nililiona kahama, ni zaidi ya basi lina vigezo vyote. Rwanda ni nchi ndogo ila wametuzidi sana kwenye sekta ya usafiri.
Mkuu hili gari lina sukani mbili au?Tatizo la trinity dereva anakaa kushoto.... YAANI GARI INAENDESHWA NA WATU WAWILI. siku moja kidogo tugongwe na lory kisa dereva wa kulia alisinzia na huyu wa kushoto alitaka kuovertake.
Unafananisha Rwanda na Tz???Naunga mkono hoja, nililiona kahama, ni zaidi ya basi lina vigezo vyote. Rwanda ni nchi ndogo ila wametuzidi sana kwenye sekta ya usafiri.
We unazingua nilikwambia tukutane ukapotea hewani..Bdo uko nyabugogo?
Nilishaondoka...halafu nilikutana na dada yako hajui kiswahili wala kingereza cha kujuana ilinibidi nimtongoze kwa ishara ila neno 'I LOVE YOU' analijua.Bdo uko nyabugogo?
Haha mm mbona nipo jamanWe unazingua nilikwambia tukutane ukapotea hewani..
Haha ulifanikiwa kula tunda mkuuNilishaondoka...halafu nilikutana na dada yako hajui kiswahili wala kingereza cha kujuana ilinibidi nimtongoze kwa ishara ila neno 'I LOVE YOU' analijua.
Hapana alishukia njiani mimi nikaenda Rubavu.Haha ulifanikiwa kula tunda mkuu
Enjoy mkuuHapana alishukia njiani mimi nikaenda Rubavu.
Kile kituo cha nyuma yake kinaitwajwe ndo alishuka kama vipi nikupasie namba umtafute ni dogo dogo.Enjoy mkuu