kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Nauli bei gan, Dar-Kigali kwa bus hiloTrinity!ni basi zuri na jema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauli bei gan, Dar-Kigali kwa bus hiloTrinity!ni basi zuri na jema!
Safar inachukua muda gan, na nauli ni bei gan?Trinity only DAR to KIGALI direct
Linaendeshwaje na wawili fafanua kidogo tujua hatari iliyopoTatizo la trinity dereva anakaa kushoto.... YAANI GARI INAENDESHWA NA WATU WAWILI. siku moja kidogo tugongwe na lory kisa dereva wa kulia alisinzia na huyu wa kushoto alitaka kuovertake.
Mkuu, tujue na njia linapopita bus, tupe route ili tujue vyakula vya kubeba0 752 733431 trinity ubungo office
Naomba namba yakeNilimshuhudia huyu dereva anavyoliondoa Ubungo stand asubuhi, aisee ilikuwa ni balaa, watu wanamshangilia jinsi alivyokuwa analiondoa kwa ustadi mkubwa huku akiongeza na manjonjo, hatari!
Hii ni nn?Ni 75,000/= mkuu.
But kwa rwanda si unashukia upande wa safe, au?Tatizo basi zenu za Trinity ni za stearing ni left drive, zikishushia barabarani hapa kwetu abiria wanashukia barabarani, ni hatari. Mlango wa abiria kwa hapa kwetu uko upande wa kulia.
MuaguajiHahahahaah Mshana mganga au mshana yup?
Friends Nairobi linaingia saa ngap?Hilo litamzunguusha yaani atapelekwa mpaka Kigali then Kampala na nauli itakuwa kubwa....kwa kutokea Dar njia rahisi ni Dar to Nairobi then Kampala...ukiondoka saa 12 alfajiri kesho yake saa 3 ama 4 upo Kampala hiyo ni non stop. Kama unatokea Mwanza kuna bus linaitwa Friends likiondoka alfajiri linafika saa 1 jioni Kampala
Weka picha.Naunga mkono hoja, nililiona kahama, ni zaidi ya basi lina vigezo vyote. Rwanda ni nchi ndogo ila wametuzidi sana kwenye sekta ya usafiri.
TrinityKama mada inavyosema hapo juu kwa wale ambao wanafaham basi lenye ubora (luxury) ambalo lina sehemu ya kuchajia, full a/c.
Hapana wale ni bujumburaHivi taqwa halifiki Rwanda?
Mkuu usipate shida.Mkuu, tujue na njia linapopita bus, tupe route ili tujue vyakula vya kubeba
Soma hapo...Mkuu usipate shida.
VIP LA ghorofa km ya south,wadada huwa hawasababishi ajiraTrinity..harafu dereva mdada mremboooo..
Hee basi sasa nimepata uhakika ni wewe tulikuwa wote siku hiyo safariniTrinity nimeshalipanda zur dereva anakaa mkono wa kushotooo
Nauli ya kutoka Dar to Kigali...Hii ni nn?