Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
marafiki, familia..... au hata sehemu za dini wanatoa misaadaWatu gani fafanua
Kifo humuweka mtu huruHata ukifa mkuu watazaliwa wengine, dunia haijawahi kuishiwa watu...
Zaidi kwa dunia ya sasa, kifo cha mtu mmoja no faida kwa watu kibao kuanzia wapishi, wauza maua, wauza jeneza, sanda, wasafirisha misiba n.k...
Nitaka kusema maneno haya haya kwa apache alolo. Wakati mwingine mtu aliye kwenye ukiwa akijichanyanganya na watu wenye furaha, anaweza kuwa kwenye hali mbaya zaidi. Njia nzuri sana ni kujumuika na watu walio kwenye shida kuliko wewe. Kwa mfano unaweza kwenda maeneo ya uswazi, vilabu vya pombe za kienyeji au bei chini...Hapa ndo atadata kabisa
aiseeNiachie chaja yako ya simu nimekuwahi
Yaani umekata tamaa ya maisha uende beach ukute watu wameshika viuno vya watoto wabichi😃😃😃Nitaka kusema maneno haya haya kwa apache alolo. Wakati mwingine mtu aliye kwenye ukiwa akijichanyanganya na watu wenye furaha, anaweza kuwa kwenye hali mbaya zaidi. Njia nzuri sana ni kujumuika na watu walio kwenye shida kuliko wewe. Kwa mfano unaweza kwenda maeneo ya uswazi, vilabu vya pombe za kienyeji au bei chini...
Unavyomuonea huruma kama kweli!?🤣, anayetaka kijiua hakimbilii JF anaenda kununua kamba au sumu fasta. Sasa huyu akiulizwa hasemi anakabiliwa na nini hapohapo anasubiri kujibu post za watu. Kuna jamaa alitaka kujiua akaenda kununua sumu halafu akakomalia chenji yake Sasa sijui ilikuwa ya nini!?😂, Huyu anawazuga tu hajiui leo wala kesho, anaonekana mtu wa kudeka kutafuta kubembelezwa.So ni serious??
Mbona muda ule ulikuwa OK 🤔
After simu yako kuna simu iliingia imenivurugaSo ni serious??
Mbona muda ule ulikuwa OK 🤔