Msaada: Ni mara ya pili nataka kujidhuru

Msaada: Ni mara ya pili nataka kujidhuru

Hata ukifa mkuu watazaliwa wengine, dunia haijawahi kuishiwa watu...

Zaidi kwa dunia ya sasa, kifo cha mtu mmoja no faida kwa watu kibao kuanzia wapishi, wauza maua, wauza jeneza, sanda, wasafirisha misiba n.k...
 
Au umekabidhiwa mikoba ukaikataa...
Ndio sababu upo rejected na maajali na Roho ya kujiua...

Fungukaaa tukusaidie
 
Hata ukifa mkuu watazaliwa wengine, dunia haijawahi kuishiwa watu...

Zaidi kwa dunia ya sasa, kifo cha mtu mmoja no faida kwa watu kibao kuanzia wapishi, wauza maua, wauza jeneza, sanda, wasafirisha misiba n.k...
Kifo humuweka mtu huru
 
Hapa ndo atadata kabisa
Nitaka kusema maneno haya haya kwa apache alolo. Wakati mwingine mtu aliye kwenye ukiwa akijichanyanganya na watu wenye furaha, anaweza kuwa kwenye hali mbaya zaidi. Njia nzuri sana ni kujumuika na watu walio kwenye shida kuliko wewe. Kwa mfano unaweza kwenda maeneo ya uswazi, vilabu vya pombe za kienyeji au bei chini...
 
Nitaka kusema maneno haya haya kwa apache alolo. Wakati mwingine mtu aliye kwenye ukiwa akijichanyanganya na watu wenye furaha, anaweza kuwa kwenye hali mbaya zaidi. Njia nzuri sana ni kujumuika na watu walio kwenye shida kuliko wewe. Kwa mfano unaweza kwenda maeneo ya uswazi, vilabu vya pombe za kienyeji au bei chini...
Yaani umekata tamaa ya maisha uende beach ukute watu wameshika viuno vya watoto wabichi😃😃😃
 
Umekula kwanza isije ikawa una njaa au tukuulize una muda gani hujanywa mirinda
 
So ni serious??

Mbona muda ule ulikuwa OK 🤔
Unavyomuonea huruma kama kweli!?🤣, anayetaka kijiua hakimbilii JF anaenda kununua kamba au sumu fasta. Sasa huyu akiulizwa hasemi anakabiliwa na nini hapohapo anasubiri kujibu post za watu. Kuna jamaa alitaka kujiua akaenda kununua sumu halafu akakomalia chenji yake Sasa sijui ilikuwa ya nini!?😂, Huyu anawazuga tu hajiui leo wala kesho, anaonekana mtu wa kudeka kutafuta kubembelezwa.
 
So ni serious??

Mbona muda ule ulikuwa OK 🤔
After simu yako kuna simu iliingia imenivuruga

Imagen mtu anatumia madhaifu yako ili anufaike mimi huwa sina roho mbaya watu wananitumia kwafaida zao mwisho wasiku mimi nabaki pale pale wanapenda kuona nikiwa palepale ili wakiwa na shida niwasaidie chap lakini ishu inapikuja kuwa ya kwangu hawaipi kipaumbele kama mimi navyo wapa wao kipaumbele na kujituma ili wafurahi nimetumia nguvu nyingi sana kumuaminisha kuwa naweza kufanya makubwa mwisho wa siku ananiamin then ananiachia kazi naifanya kwa ufasihi bila tamaa mwisho mtu wake wakaribu anakuja kukutupia matusi na kauli za kejeri kana kwamba hakuna kitu ulichokifanya baada ya hapo akijua umeumia anakuja kujirudi uku akisingizia mtu mwingine ambaye haja sema hivyo ila niyeye mdio amesema ukiangalia ni mtu mzima uwezi mjibu wala kumtukana unamuacha kusema kesho atabadirika kesho anarudia tena zaid ya jana sasa nawaza ukimya wangu unampa jeuri ya yeye kuendelea kufanya anacho ifanyia

Watu tunawekeza iman kubwa kwa watu ili watu amini af mtu mmoja anakuja kuivunja iman iyo bila kuheshimu jaman hiyo ni sawa?
 
Uyu jamaa naona mshahara aloupokea bado unapumua, hata huu uzi kauandikia baa siyo siri ,ama kweli bia tamu...
 
Back
Top Bottom