Msaada: Ni mara ya pili nataka kujidhuru

Msaada: Ni mara ya pili nataka kujidhuru

Pole sana mkuu

Tatizo linakuja pale unapotarajia watu wawe pamoja na wewe.
Kubali upweke kisha anza upya ukiwa mwenyewe.

kama kuna wanaokutegemea angalia usiwaumize kwa kifo chako utakuwa huna tofauti na ndugu wanaokuchora leo.

Ongeza upendo kwa watu wote, wala usitarajie wakulipe kama ufanyavyo.

Kumbuka hata sisi tunaokushauri inawezekana tunapitia magumu zaidi yako.
 
Mkuu kila mtu maisha magumu.Me mwenyewe nawaza mawazo mabaya tu miezi 2 sasa.

Hali ya maisha ngumu na pesa hamna hali si hali.Hapa yenyewe sielewi nitakula nini? Lakini najipa moyo kuwa hali hii itapita
 
After simu yako kuna simu iliingia imenivuruga

Imagen mtu anatumia madhaifu yako ili anufaike mimi huwa sina roho mbaya watu wananitumia kwafaida zao mwisho wasiku mimi nabaki pale pale wanapenda kuona nikiwa palepale ili wakiwa na shida niwasaidie chap lakini ishu inapikuja kuwa ya kwangu hawaipi kipaumbele kama mimi navyo wapa wao kipaumbele na kujituma ili wafurahi nimetumia nguvu nyingi sana kumuaminisha kuwa naweza kufanya makubwa mwisho wa siku ananiamin then ananiachia kazi naifanya kwa ufasihi bila tamaa mwisho mtu wake wakaribu anakuja kukutupia matusi na kauli za kejeri kana kwamba hakuna kitu ulichokifanya baada ya hapo akijua umeumia anakuja kujirudi uku akisingizia mtu mwingine ambaye haja sema hivyo ila niyeye mdio amesema ukiangalia ni mtu mzima uwezi mjibu wala kumtukana unamuacha kusema kesho atabadirika kesho anarudia tena zaid ya jana sasa nawaza ukimya wangu unampa jeuri ya yeye kuendelea kufanya anacho ifanyia

Watu tunawekeza iman kubwa kwa watu ili watu amini af mtu mmoja anakuja kuivunja iman iyo bila kuheshimu jaman hiyo ni sawa?
You are too soft my friend, hilo la kukufanya utake kujitoa roho!?,mtu anafiwa wazazi na ndugu zake wote akiwa mdogo anabaki yeye na anateswa na wanaomtunza na bado anapambana, wewe unataka kujitoa roho Kwa hizi sababu za kitoto??., Hii Dunia ni ya kupambana sio lelemama.
 
After simu yako kuna simu iliingia imenivuruga

Imagen mtu anatumia madhaifu yako ili anufaike mimi huwa sina roho mbaya watu wananitumia kwafaida zao mwisho wasiku mimi nabaki pale pale wanapenda kuona nikiwa palepale ili wakiwa na shida niwasaidie chap lakini ishu inapikuja kuwa ya kwangu hawaipi kipaumbele kama mimi navyo wapa wao kipaumbele na kujituma ili wafurahi nimetumia nguvu nyingi sana kumuaminisha kuwa naweza kufanya makubwa mwisho wa siku ananiamin then ananiachia kazi naifanya kwa ufasihi bila tamaa mwisho mtu wake wakaribu anakuja kukutupia matusi na kauli za kejeri kana kwamba hakuna kitu ulichokifanya baada ya hapo akijua umeumia anakuja kujirudi uku akisingizia mtu mwingine ambaye haja sema hivyo ila niyeye mdio amesema ukiangalia ni mtu mzima uwezi mjibu wala kumtukana unamuacha kusema kesho atabadirika kesho anarudia tena zaid ya jana sasa nawaza ukimya wangu unampa jeuri ya yeye kuendelea kufanya anacho ifanyia

Watu tunawekeza iman kubwa kwa watu ili watu amini af mtu mmoja anakuja kuivunja iman iyo bila kuheshimu jaman hiyo ni sawa?
wacha kudeka maisha hayako ivyo mkuu we kitinda mimba sio
 
Unataka kujirusha ghorofani ufe. Si Bora ufie pale Riverside!
Tuseme nzi kafia kidondani.
 
Hi,

Kiukweli nina mawazo sana, sana, leo nimenusurika kugongwa na gari mara mbili. Mara ya kwaza ilikuwa pale Mbuyuni, mara ya pili Morocco. Binafsi sioni humuhimu wa mimi kuishi, nawonea wivu wale waliotangulia mbele za haki, mapambano yamekuwa magumu sana, peke yangu siwezi kabisa.

Mara ya kwaza nilitaka kujirusha kwenye gorofa la NSSF Posta kuna mtu akaniona sikuweza, ila hali hii imekuwa ikijirudia sana, mawazo kwangu hayaishi. Kila siku mambo mapya, hakuna siku inayoisha vizuri kwangu.

Sioni walau wakunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.

Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
Mwombe Yesu Kristo akusaidie hata kama humwamini au umefanya dhambi kubwa kiasi gani utaona matokeo.
 
Poleh sana
Usisahau kuwa Mwenyezi Mungu haikalifishi nafsi zaidi ya uwezo wake
Jipe moyo pambana
Wote tuna shida arif, sana tu
Ila tunaona ngoja tukae tuone what next
 
Pole sana kaza moyo mkuu kuombe mungu sana na jichanganye na jamii inayokupa furaha pia
 
Hi,

Kiukweli nina mawazo sana, sana, leo nimenusurika kugongwa na gari mara mbili. Mara ya kwaza ilikuwa pale Mbuyuni, mara ya pili Morocco. Binafsi sioni humuhimu wa mimi kuishi, nawonea wivu wale waliotangulia mbele za haki, mapambano yamekuwa magumu sana, peke yangu siwezi kabisa.

Mara ya kwaza nilitaka kujirusha kwenye gorofa la NSSF Posta kuna mtu akaniona sikuweza, ila hali hii imekuwa ikijirudia sana, mawazo kwangu hayaishi. Kila siku mambo mapya, hakuna siku inayoisha vizuri kwangu.

Sioni walau wakunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.

Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
Una elimu gan , jinsia?
 
Hi,

Kiukweli nina mawazo sana, sana, leo nimenusurika kugongwa na gari mara mbili. Mara ya kwaza ilikuwa pale Mbuyuni, mara ya pili Morocco. Binafsi sioni umuhimu wa mimi kuishi, nawonea wivu wale waliotangulia mbele za haki, mapambano yamekuwa magumu sana, peke yangu siwezi kabisa.

Mara ya kwaza nilitaka kujirusha kwenye gorofa la NSSF Posta kuna mtu akaniona sikuweza, ila hali hii imekuwa ikijirudia sana, mawazo kwangu hayaishi. Kila siku mambo mapya, hakuna siku inayoisha vizuri kwangu.

Sioni walau wa kunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.

Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
Mkuu pole sana, mwaka 2013 mimi nilikuwa najiskia nitafute kamba nijinyonge na nilipitia hayo unayopitia, nilivuka kwa kumtafuta Mchungaji, akaniombea mara ya kwanza sikukaa sawa mara ya pili ndipo nikakaa sawa.
Umetupiwa pepo kwa sababu una kitu cha thamani umebeba.
 
Hi,

Kiukweli nina mawazo sana, sana, leo nimenusurika kugongwa na gari mara mbili. Mara ya kwaza ilikuwa pale Mbuyuni, mara ya pili Morocco. Binafsi sioni umuhimu wa mimi kuishi, nawonea wivu wale waliotangulia mbele za haki, mapambano yamekuwa magumu sana, peke yangu siwezi kabisa.

Mara ya kwaza nilitaka kujirusha kwenye gorofa la NSSF Posta kuna mtu akaniona sikuweza, ila hali hii imekuwa ikijirudia sana, mawazo kwangu hayaishi. Kila siku mambo mapya, hakuna siku inayoisha vizuri kwangu.

Sioni walau wa kunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.

Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
Kimbilia kanisani kwa wachungaji wakakuombee haraka.umetupiwa jini akutoe roho
 
Back
Top Bottom