Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume

Nenda kale kwanza, ukirudi ndiyo utwambie kama zipo au hazipo.
Kuna nyakati hata jua halitoki, mvua hazinyeshi, mapigo ya moyo hubadilika, mwili huishowa nguvu, hupatwa magonjwa, hamu ya kula hutoweka and list of scenario goes on just like that.
Sasa ulitaka nguvu za kiume zenyewe anytime zowe vilevile kama sanamu ya askari au Bismark stones?
Hebu kuweni makini, huko ni kutoielewa mili yenu, au kutojielewa matokeo yake mnajitengenezea hofu ambazo hupelekea tatizo kuzaliwa kweli ndani yenu.
Zisipo simama sasa fanya mambo mengine, mwili ukijirekebisha hali itarudi yenyewe.
 
hhah
hahahhahahahaaa
pole mwaya 🤣 🤣 🤣
 
Mkuu pole sana kwa hayo maradhi yako ukiweza nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 
inapatikanwaje mkuu?

 
Mkuu hapo umeua👊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…