Baba Vladmir
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 373
- 627
Kama ana matatizo mengine ya msingi,hata akitumia hizo juice hawezi kurecover!Mkuu hapo umeua[emoji109]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ana matatizo mengine ya msingi,hata akitumia hizo juice hawezi kurecover!Mkuu hapo umeua[emoji109]
Wewe una tatizo kubwa la msingi,likitibiwa vyema nguvu za kiume zitarudi automatically.Eleza vyema tuone namna ya kukusaidia.Wapendwa naomba msaada nimeishiwa nguvu za kiume miezi miwili sasa hata nimekuwa kero kwa mwenza wangu. Uume umepungua hata ningebanwa mkojo haustuki unabaki umelegea.
Maumivu ya kiuno ni makubwa na hayo yana zaidi ya miaka kumi. Hospitali wamekuwa wakinipa dawa za kupaka tu na za maumivu.
Duh,watu mna dawa,ulishawahi kuwa saidia kazi kwa mganga nini bloangu?Dawa ya mitishamba, ebu chukua ndevu za kwenye mahindi ziko pembeni mwa mhindi halafu nenda kwenye midizi kuchukua ndevu utaziona pembeni wa mkonga wa ndizi weka kwenye sufuria weka maji chemsha kunywa hayo maji asubuhi pumzika na jioni kunywa halafu cheki mazingira kama mnara unasoma hii ina nguvu sana
[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38]miaka 49 bado unataka kutomba tuu
Wapendwa naomba msaada nimeishiwa nguvu za kiume miezi miwili sasa hata nimekuwa kero kwa mwenza wangu. Uume umepungua hata ningebanwa mkojo haustuki unabaki umelegea.
Maumivu ya kiuno ni makubwa na hayo yana zaidi ya miaka kumi. Hospitali wamekuwa wakinipa dawa za kupaka tu na za maumivu.
Mkuu ushapona tayar amaThank you so much
Kama ana matatizo mengine ya msingi,hata akitumia hizo juice hawezi kurecover!
mkuu naomba msaada tatizo la kutokua na nyegenyege nazo zimeisha? maana unaweza sema n nguvu za kiume kumbe nyege huna pia
Thank you so much
Hizi ndio nguvu za kiume....
Aione dronedrake kwenye faili. Na wengine wenye matatizo yanayosababishwa na CHAPUTA hii ndo comment yenu ya kuwasaidia.Pole ndugu.
Fanya hivi, chukua likizo ya 30 days bila kusex wala kuchungulia video za ngono. Ikiwa utafanya ivo for 90 days utapona kabisa.
Muhimu zingatia lishe bora, matunda, Maziwa na kupata muda wa kutosha kupumzika. Punguza mawazo nakujishtukia kuwa huna nguvu, relax bana.
Aione dronedrake kwenye faili. Na wengine wenye matatizo yanayosababishwa na CHAPUTA hii ndo comment yenu ya kuwasaidia.
mh!
kweliSamahani sana ndugu ila hayo yaweza kuwa matokeo ya matumizi mabaya ya ujana yani punyeto nyingi, midawa ya kupaka au kumeza wakati wa sex.
Au umechepuka na mke wa mtu au mwanamke ambae alikuelewa kisha ukamuacha vibaya.
Kuna vyakula unatakiwa kutafuna kila siku bila kuchoka mfano karanga, tende, korosho, karoti, vitunguu swaumu, spinachi nk. Usisahau mazoezi
diaphragm pump, hujambo ?
umepona?diaphragm pump, hujambo ?
Niko hatua za mwishoumepona?