Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

Hata hapa utapata msaada, kuwa na imani...wanaotoa msaada watakuja in a way hutaelewa🤣

Yote kwa yote pole sana, tumia simu, bank, kufanya savings
 
Habari, Jamani naomba msaada wa aina yeyote ile, nimechanganyikiwa sana sana. Niende kwenye mada;

Mimi ni dada ambaye najishughulisha na biashara ya kuuza matunda, sasa basi nimepanga mahala naishi mwenyewe, nina tabia ya kuhifadhi pesa ndani, yaani ule mfumo wa kuweka kwenye kibubu. Yaani hizi ambazo naweka kwenye kibubu ni kwa ajili ya kulipa Kodi, kwahiyo ndio maana nahifadhi ndani.

Nimeanza kuweka pesa toka mwezi wa 5 mwaka huu, nahifadhi kwa ajili ya kulipa Kodi kwa ajili ya muhula unaofata, Kodi yangu yaisha mwezi wa 10.

Jana wakati nimepumzika nikajikuta natamani kujua hadi sasa nimefikisha sh. ngap ili nione kama naweza kulipa kabisa au niongeze ili itimie nilipe Kodi yangu ya mwezi unaofata, chumba nalipa elf 50 ambayo huwa nalipa kwa miezi 6 ili niwe huru kufanya mambo mengine.

Cha ajabu nilichokuta sijui hata niseme nini, yaani niliishia kulia na kucheka kwa pamoja! Nimekuta elf 30 tu wakati nilikuwa lazima ingekuwa hata laki 2 au zaidi.

Jamani jamni hali ilivyo ngumu halafu unapata janga kama hili kiukweli niliishiwa nguvu, tangu jana hadi leo sijatoka kwenda kokote, nahisi kama naumwa.

Jamani kwa anayefahamu haya mambo ya Chuma Ulete naweza rudisha pesa yangu na kama inawezakana je nifanyeje au ndio nishikuru tuu niongee na mwenye nyumba mapema anipe muda wa kujitafuta?

Yaani sijui hata la kufanya, please please naomba mnisaidie cha kufanya sielewi nifanye nini!
Ongeza kiwango cha saving.....hakuna miracle hapooo...jibane zaidiii
 
Hapo ukute hakuna Cha chuma ulete Wala Nini Bali mwamba anayekwendaga kula mzigo ndio kakifyatua kiaina hicho kibubu na kukomba mkwanja
 
Dah..... omba msaada tukusaidie sasa acha kulia lia.
 
Habari, Jamani naomba msaada wa aina yeyote ile, nimechanganyikiwa sana sana. Niende kwenye mada;

Mimi ni dada ambaye najishughulisha na biashara ya kuuza matunda, sasa basi nimepanga mahala naishi mwenyewe, nina tabia ya kuhifadhi pesa ndani, yaani ule mfumo wa kuweka kwenye kibubu. Yaani hizi ambazo naweka kwenye kibubu ni kwa ajili ya kulipa Kodi, kwahiyo ndio maana nahifadhi ndani.

Nimeanza kuweka pesa toka mwezi wa 5 mwaka huu, nahifadhi kwa ajili ya kulipa Kodi kwa ajili ya muhula unaofata, Kodi yangu yaisha mwezi wa 10.

Jana wakati nimepumzika nikajikuta natamani kujua hadi sasa nimefikisha sh. ngap ili nione kama naweza kulipa kabisa au niongeze ili itimie nilipe Kodi yangu ya mwezi unaofata, chumba nalipa elf 50 ambayo huwa nalipa kwa miezi 6 ili niwe huru kufanya mambo mengine.

Cha ajabu nilichokuta sijui hata niseme nini, yaani niliishia kulia na kucheka kwa pamoja! Nimekuta elf 30 tu wakati nilikuwa lazima ingekuwa hata laki 2 au zaidi.

Jamani jamni hali ilivyo ngumu halafu unapata janga kama hili kiukweli niliishiwa nguvu, tangu jana hadi leo sijatoka kwenda kokote, nahisi kama naumwa.

Jamani kwa anayefahamu haya mambo ya Chuma Ulete naweza rudisha pesa yangu na kama inawezakana je nifanyeje au ndio nishikuru tuu niongee na mwenye nyumba mapema anipe muda wa kujitafuta?

Yaani sijui hata la kufanya, please please naomba mnisaidie cha kufanya sielewi nifanye nini!
Yaani unahifadhi pesa nyumbani wakati benki zipo, na hujui zipo kiasi gani! Acheni ujinga mnaishi karne ya 18 huko nyie?
 
Pole sana dada yangu. Najua unapitia mazingira magumu sana maana hali kama yako imewahi kunikuta. Pole kwa mara ya pili.

1.....
Nakumbuka nilikua nimepata hela yangu ya boom nikaweka geto kwangu juu ya meza baada ya siku tatu sikuikuta na hapo hakuna mtu alieingia ndani kwangu nikawaza sana imekuaje ila sikupata jibu

2....
Kwa mara nyingine tena nikapata boom kama kawaida nikaweka ndani ya begi langu hapo ilikua ni ijumaa. Nakumbuka mpaka ijumaa tatu nilikua nimenunua vitu kama vya 30,000 ila cha ajabu kwenda kuangalia salio nikakuta zaidi ya laki moja hakuna hapo nikapagawa tena

3.....
Baada ya matukio yote hayo nikabadili njia ya kutunza pesa ikawa nikichukua hata 100 ya kununua kitunguu naandika ( pesa bila daftari huisha bira habari ) lakini haikusaidia kitu maana kwenye daftari langu nakuta balance ni tofauti na cash in hand ( nakuta labda daftari linasema salio ni 140,000 ila cash ni 120,000 ) hapo twenty wamebeba.

Finally nikapata conclusion or conclution ( sijui ni ipi kati ya hizo ) kuwa huo mchezo ni ule wa chuma ulete

Solution....
Muda huu naifadhi pesa zangu M-PESA japo makato ya kutoa kwa wakala ni tatizo sana kwangu

ANGALIZO

Kama swala kama hilo halijawahi kukutokea basi acha maneno ya kebehi na dharau. Hujui kiasi gani mtu anapitia maumivu makali ya moyo kwa pesa kupotelewa kimiujiza.... So painfull

DONT TAKE THINGS EASILY...DONT SIMPLFY.....Life is not piece of cake.. Pesa inauma sana
 
Mimi ni mdau wa vibubu.
Mara Moja tu niliona negative ya sh. 50k ila nahisi ni issue ya kihesabu tu
Mara nyingi nakuta pesa yangu taslimu maana nahesabu Kila nikiweka, muda mwingine nakuta kaongezeko kidogo.
Wewe ni mweupe ndio maana unachezewa
 
Mimi ni mdau wa vibubu.
Mara Moja tu niliona negative ya sh. 50k ila nahisi ni issue ya kihesabu tu
Mara nyingi nakuta pesa yangu taslimu maana nahesabu Kila nikiweka, muda mwingine nakuta kaongezeko kidogo.
Wewe ni mweupe ndio maana unachezewa
Anaweza asikuelewe, akadhani unazungumzia weupe wa rangi ya ngozi😊
 
Habari, Jamani naomba msaada wa aina yeyote ile, nimechanganyikiwa sana sana. Niende kwenye mada;

Mimi ni dada ambaye najishughulisha na biashara ya kuuza matunda, sasa basi nimepanga mahala naishi mwenyewe, nina tabia ya kuhifadhi pesa ndani, yaani ule mfumo wa kuweka kwenye kibubu. Yaani hizi ambazo naweka kwenye kibubu ni kwa ajili ya kulipa Kodi, kwahiyo ndio maana nahifadhi ndani.

Nimeanza kuweka pesa toka mwezi wa 5 mwaka huu, nahifadhi kwa ajili ya kulipa Kodi kwa ajili ya muhula unaofata, Kodi yangu yaisha mwezi wa 10.

Jana wakati nimepumzika nikajikuta natamani kujua hadi sasa nimefikisha sh. ngap ili nione kama naweza kulipa kabisa au niongeze ili itimie nilipe Kodi yangu ya mwezi unaofata, chumba nalipa elf 50 ambayo huwa nalipa kwa miezi 6 ili niwe huru kufanya mambo mengine.

Cha ajabu nilichokuta sijui hata niseme nini, yaani niliishia kulia na kucheka kwa pamoja! Nimekuta elf 30 tu wakati nilikuwa lazima ingekuwa hata laki 2 au zaidi.

Jamani jamni hali ilivyo ngumu halafu unapata janga kama hili kiukweli niliishiwa nguvu, tangu jana hadi leo sijatoka kwenda kokote, nahisi kama naumwa.

Jamani kwa anayefahamu haya mambo ya Chuma Ulete naweza rudisha pesa yangu na kama inawezakana je nifanyeje au ndio nishikuru tuu niongee na mwenye nyumba mapema anipe muda wa kujitafuta?

Yaani sijui hata la kufanya, please please naomba mnisaidie cha kufanya sielewi nifanye nini!
Wenzako wanaweka kwenye kibubu cha tigopesa, hapo kuna panya anazila.
 
Habari, Jamani naomba msaada wa aina yeyote ile, nimechanganyikiwa sana sana. Niende kwenye mada;

Mimi ni dada ambaye najishughulisha na biashara ya kuuza matunda, sasa basi nimepanga mahala naishi mwenyewe, nina tabia ya kuhifadhi pesa ndani, yaani ule mfumo wa kuweka kwenye kibubu. Yaani hizi ambazo naweka kwenye kibubu ni kwa ajili ya kulipa Kodi, kwahiyo ndio maana nahifadhi ndani.

Nimeanza kuweka pesa toka mwezi wa 5 mwaka huu, nahifadhi kwa ajili ya kulipa Kodi kwa ajili ya muhula unaofata, Kodi yangu yaisha mwezi wa 10.

Jana wakati nimepumzika nikajikuta natamani kujua hadi sasa nimefikisha sh. ngap ili nione kama naweza kulipa kabisa au niongeze ili itimie nilipe Kodi yangu ya mwezi unaofata, chumba nalipa elf 50 ambayo huwa nalipa kwa miezi 6 ili niwe huru kufanya mambo mengine.

Cha ajabu nilichokuta sijui hata niseme nini, yaani niliishia kulia na kucheka kwa pamoja! Nimekuta elf 30 tu wakati nilikuwa lazima ingekuwa hata laki 2 au zaidi.

Jamani jamni hali ilivyo ngumu halafu unapata janga kama hili kiukweli niliishiwa nguvu, tangu jana hadi leo sijatoka kwenda kokote, nahisi kama naumwa.

Jamani kwa anayefahamu haya mambo ya Chuma Ulete naweza rudisha pesa yangu na kama inawezakana je nifanyeje au ndio nishikuru tuu niongee na mwenye nyumba mapema anipe muda wa kujitafuta?

Yaani sijui hata la kufanya, please please naomba mnisaidie cha kufanya sielewi nifanye nini!
Uje nikupe 1000000
 
Habari, Jamani naomba msaada wa aina yeyote ile, nimechanganyikiwa sana sana. Niende kwenye mada;

Mimi ni dada ambaye najishughulisha na biashara ya kuuza matunda, sasa basi nimepanga mahala naishi mwenyewe, nina tabia ya kuhifadhi pesa ndani, yaani ule mfumo wa kuweka kwenye kibubu. Yaani hizi ambazo naweka kwenye kibubu ni kwa ajili ya kulipa Kodi, kwahiyo ndio maana nahifadhi ndani.

Nimeanza kuweka pesa toka mwezi wa 5 mwaka huu, nahifadhi kwa ajili ya kulipa Kodi kwa ajili ya muhula unaofata, Kodi yangu yaisha mwezi wa 10.

Jana wakati nimepumzika nikajikuta natamani kujua hadi sasa nimefikisha sh. ngap ili nione kama naweza kulipa kabisa au niongeze ili itimie nilipe Kodi yangu ya mwezi unaofata, chumba nalipa elf 50 ambayo huwa nalipa kwa miezi 6 ili niwe huru kufanya mambo mengine.

Cha ajabu nilichokuta sijui hata niseme nini, yaani niliishia kulia na kucheka kwa pamoja! Nimekuta elf 30 tu wakati nilikuwa lazima ingekuwa hata laki 2 au zaidi.

Jamani jamni hali ilivyo ngumu halafu unapata janga kama hili kiukweli niliishiwa nguvu, tangu jana hadi leo sijatoka kwenda kokote, nahisi kama naumwa.

Jamani kwa anayefahamu haya mambo ya Chuma Ulete naweza rudisha pesa yangu na kama inawezakana je nifanyeje au ndio nishikuru tuu niongee na mwenye nyumba mapema anipe muda wa kujitafuta?

Yaani sijui hata la kufanya, please please naomba mnisaidie cha kufanya sielewi nifanye nini!
Anza kutumia M Koba ya Voda

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mamy! Badili njia ya uhifadhi pesa uone
 
Pole Sana nadhani maumivu ya PESA ndo maumivu yanayoumiza Sana hapa Duniani
 
Kuna fundi alikua ananionesha maujuzi ya kuiba hela kwenye vibubu hasa alivyotengeneza yeye na bila kuacha ushahidi.

Jinsi ya kufungua madirisha mbalimbali bila kuacha ushahidi.

Huenda sio chuma ulete ni mtu anakulia timing tu.

Nje ya mada, unakaa wapi mkuu wmbako room ni 50k??
 
Back
Top Bottom