Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

watengenezajiwwenyewe ndio wanaviwekea usinunue kibubu kiennyeji
 
Kububu sio njia salama sana ya kutunza fedha yako…bora kweny lain

Napo kibubu hakitakusaidia kukuza misuli yako ya utunzaji fedha

Ifike point mtu uweze kuweka fedha sehemu ya wazi ama kwenye simu na unakua na uwezo wa kutoitumia bila utaratibu.

Hii n point muhmu kwnye maisha,sio fedha n yako lkn Una struggle kuipata Una struggle na kuitunza…
 
Ukweli nami nina kibubu. Naweka hela nzuri tu. Nimeshaambiwa kuhusu haya mambo ya chuma ulete. Itabidi niamini tu, ila sina mpango wa kukivunja kwa sasa. Huwa nakitikisa kusikiliza, nasikia noti.za kutosha.

Namuuliza dada huyo, hakuwa akitikisa kupima kiasi? Binafsi nataka nikusanye kwa mwaka mzima na nikija kuvunja nikute mil 6 hivi
 
Kibubu noma sita sahau nlikuta elfu 70 pesa tulikua tuna save kila siku elf 20 kwa miezi 5
 
Hiyo pesa imechukuliwa na mtu wako wa karibu (mpenzi, rafiki au ndugu).. Kumbuka ndani ya kipindi chote ulichokuwa unaweka pesa kwenye kibox, kama kuna mmoja kati yao alikutembelea na kumwacha ndani walau dk kadhaa akiwa peke yake..

Mambo ya chuma ulete yapo lakini kwa suala lako sidhani kama ni chuma ulete..
 
Haya mambo mpaka yakupate ndio uta pata experience vinginevyo unaweza hisi mzaha
 
Haya mambo mpaka yakupate ndio uta pata experience vinginevyo unaweza hisi mzaha
Sijakataa kuwa hayapo bali nilichomaanisha ni kuwa watu wa karibu yako ndio wanaokuibia.. Mtu anaiba kwenye kibenki kwa kuwa anajua wewe muhusika huwezi kujua kwa haraka na inaweza pita hata miezi kadhaa ndipo uje kugundua kuwa umeibiwa..

Mwizi wa kwenye kibenki anaiba kila anpopata nafasi na hata ukimwuliza mtoa mada hiyo 30k aliyoikuta ni pesa ambayo anaiweka ndani ya wiki mbili tu.
 
Nenda NMB fungua acc ya chapchap achana na vibubu ukute fundi ndo muhusika wa hiyo mbanga
 
Nadhani kwanza tujiulize hela yake imepoteaje? Sidhani kama ni chuma ulete.

Mimi nahisi alimpa mtu siri hasa likijana fulani jobless limpenzi lake, lilipofika likamvizia kaenda bafuni au dukani likafungua kibubu chake.

Kama ni kibubu vha mbao kufungua ni dakika sifuri tu.

Sasa bi dada hebu tuambie hakuna mtu unamsuspect??
 
Umeibiwa tu kawaida dada. Hakunaga Cha chuma ulete Wala Nini.
Ni ujinga na upuuzi tu kuamini ushirikina kiasi hicho. Weka mtego Kuna mtu kakuzunguka
 
Natamani kukuuliza unaishi na nani, unatembelewa na nani, nani unamwamini anabaki ndani kwako wakati mwingine.... Si kila pesa inayopotea inachukuliwa na chuma ulete
 
Vibubu almost vyote huwa vinaleta hizi shida, sjajua sababu ni nini lakini mashaka juu ya watengeneza vibubu siwaamini kabisa. Wanajua lazima utahifadhia pesa tu na wanaweza weka chochote ili kukupiga wewe . Kwahivo masuala ya vibubu siyo mazuri kabisa ni Bora ufungue account ya benki. Na simu pia muda Mwingine mtu unapigwa bila kutarajia na matapeli. #BANK MUHIMU SANA NA PIA POLE SANA
 
Natamani kukuuliza unaishi na nani, unatembelewa na nani, nani unamwamini anabaki ndani kwako wakati mwingine.... Si kila pesa inayopotea inachukuliwa na chuma ulete
Vibubu MzeeWakazi sio Poa Kabisa, Siyo huyo tu wengine wanaviwekea na kufuri kabisa lakini akija kuhesabu ni empty mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…